Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinga Sana Wewe, utasubiri SanaNajaribu ku compile list ya watu ambao itabidi directly au indirectly wamehusika na hii ajali ambao itabidi wawajibike, wawajibishwe, watumbuliwe kisha washtakiwe.
Kusema tuu waziri haitoshi hapa tutaja majina na vyeo vyao tutaendelea ku update as we go along.
Leteni majina ya wengine lakini kwa kuanza naanza na hawa:
WIZARA YA UJENZI UCHUKUZI NA MAWASILIANO
1. Isack Kamwelwe : Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano
2. Mhandisi Atashasta Nditiye Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10
WIZARA YA SERA,BUNGE, KAZI, VIJANA, AJIRA NA WALEMAVU
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
SUMATRA
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
OSHA
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
Huko kwenu kuna nini?, Bwawa la mungu, tetetete![emoji16]Wanaume wa mwanza mnashindwa kuogelea 50m?
Sasa nyie mnaweza nini???
Kwani watu walikuwa awaoni feri imejaa kosa la marehemu
Nini sasa hiki ulichoandika Mkuu!?View attachment 875048
Wakati rais amenyoa nywele zote kichwani na kunyoa/kuondoa 'O' yake kwa ajili ya kuomboleza msiba huu, eti Waziri mkuu yeye bado anaendelea kupaka Piko lile Afro lake huku wateule wengine kama wakuu wa wilaya na mikoa hakuna hata mmoja anayeiga style ya mkuu katika kuomboleza.
Wao wanachoweza kuiga ni ubabe na kamata kamata sababu vinawafanye waogopeke lakini kunyoa hawaigi kisa wataonekana vituko.
Yuko sawa mnoAmani ya bwana.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mh John Mongella akihojiwa na vyombo vya habari ametolea ufafanuzi ule upotoshaji mkubwa uliofanywa na wanasiasa watafuta kiki mara baada ya kutokea ajali ya kuzama kwa kivuko cha Mv Nyerere kwenye ziwa victoria.
RC Mongella amesema yeye ni mkuu wa mkoa tu na wala si mtalaamu wa maswala ya uokoaji, hivyo alichokifanya na anachokifanya sasa hivi ni kupokea na kufanyia kazi maoni ya watalaamu wa uokoaji majini (divers).
Kabla ya kusitisha zoezi la uokoaji siku ya kwanza aliambiwa hali ya maji ziwani imeanza kuwa mbaya na kutokana na usiku ,hivyo angetumia kofia yake ya ukuu wa mkoa kulazimisha divers waendelee na kazi angeweza kusababisha madhara zaidi na angeweza hata kuwapoteza hao wataalamu wa uokoaji.
Maelezo ya mkuu wa mkoa ni majibu safi kabisa kwa wanasiasa wakurupukaji wanaopenda kudandia mambo bila kuwa na ushahidi wa maelezo ya kutosha.
Mara baada ya kutokea ajali hiyo wanasiasa kama Zito, Mbowe na Mbatia walikuwa na uwezo wa kufika eneo la tukio na kushirikiana na wafiwa kwa haraka mno hata kwa kutumia ndege lakini hawakufanya hivyo badala yake wakaanza kuitisha waandishi wa habari wakiwa Dar kutoa matamko na kupotosha watu ,huku wakijifanya wanaijua sana hali ya ajali kuliko watu waliopo eneo la tukio!!
Hali hiyo ya kutafuta kiki za kisiasa kupitia ajali na matatizo ya watanzania ilikemewa vikali na Rais wetu mpendwa Dr Magufuli. View attachment 875133
Hapa tutaokoa muda na kuepuka kuwasumbua wananchi
View attachment 875132
Ungekuwa wewe ungewalazimisha diversMajibu hovyo kabisa. Mimi ni auditor wa usalama na mifumo ya usalama mahali pa kazi kwa ngazi ya kimataifa.
Ajali hii imetuumiza sote lakini kama Taifa, kuna uzembe wa hali ya juu.
Kwenye usalama huwa tunasema, 'All accidents are avoidable except natural disasters and terrorism.