Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Mfano mzuri ni Kigwangala alivyopata ajali Vs Mv Nyerere kusitisha shughuli za uokoaji mpaka asbh
 
View attachment 875419
Kwa wakerere, wakara, wajita, wakwaya na waruri kilichotokea ni kupinduka (KWIFUMA) na siyo kuzama (KUSIKA). Kama ingesika (kuzama) ni hakika wangetumia uzoefu wao wa kuogelea na wangeokoka wengi. Kwa vile imepinduka ikawafunika ndiyo maana wamekufa kibudu na wengi kiasi hicho. MUNGU AWAPE PUMZIKO LA AMANI
Aisee me nlijua imezama kumbe ilipinduka afuu pale itakuwa kina kifupi serikali ingefanya Juhudi za dhati wangeponaa wengi
 
Siku zote mchawi ndio huwa analia na kujionyesha sana msibani
Mkuu vp ulishawakimbia hao rafik zako?? We si ulikua kindak ndak, wamekufanya nn hao wenzako?
 
Wacha niagizie nusu kilo ya sehemu ya mbavu pamoja na ndizi 4.

Wakati nashushia na kinywaji nitajaribu kusoma tena huu uzi. Nisipoelewa silipi bili.
 
nifanunulie basi panzi
Nuhu alisimamia na kidhibiti safina pamoja na uzito uliokusudiwa na haikuzama!

Sumatra wangesababisha tembo, twiga, Noah! Kuishia majini (kuzama kama mv. Nyerere) kama picha zinavyojileza.
 
Mkuu hujui kama kwenye jamii yetu michawi ndiyo inayowahi msibani mapema kujionyesha na kukaa viti vya mbele, inaonyesha huzuni kuliko hata ndugu za marehemu wakati yenyewe ndiyo iliyosababisha.
 
Ni kweli kabisa.
Hivi walikosa hata taa za mchina ?
Au Generator za kawaida za kuwasha taa.
Watu wanatapatapa kujaribu kujiokoa halafu waokoaji wanaenda kulala usingizi mnono nyumbani..!
Hii ni Tanzania Pekee
 
Well said walahi!
B418C14E-545C-4126-9942-B3F99DF3FD5B.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Nuhu alisimamia na kidhibiti safina pamoja na uzito uliokusudiwa na haikuzama!

Sumatra wangesababisha tembo, twiga, Noah! Kuishia majini (kuzama kama mv. Nyerere) kama picha zinavyojileza.
Huo mpango wa Mungu
 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema baadhi ya pesa zitakazopatikana katika michango ya Watanzania zitatumika kujenga uzio na mnara katika makaburi ya watu waliokufa katika ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere.



Fedha hizo zinachangwa kupitia akaunti maalumu iliyofunguliwa katika benki ya NMB pamoja na namba maalumu ya Tigo kupitia simu ya mkononi.
Soma zaidi: RC Mongella awapongeza wananchi, wavuvi wa Ukara




Akizungumza katika shughuli ya mazishi leo Septemba 23,2018 visiwani Ukawa wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza amesema baadhi ya miili ya watu waliokufa katika ajali hiyo fedha hizo hazitatumika katika shughuli yoyote nje ya tukio hilo.



"Fedha hizi ni za wafiwa hivyo hatuna budi kuzitumia kulingana na mwenendo wa tukio," amesema Majaliwa.
Amesema ili kuhakikisha wananchi wa eneo hilo hawapati tabu Serikali iko katika mkakati wa kuleta kivuko cha muda.



"Tutafanya ukarabati wa kutosha katika baadhi ya vivuko ikiwemo Mv Misungwi, Sengerema ili kuimarisha usafiri wa majini katika maeneo yote," amesema Kassim.
Soma zaidi: Polepole: CCM kuisimamia Serikali ili kuimarisha usafiri Ziwa Victoria
Majaliwa amewaomba Watanzania kuwatia moyo wafiwa badala ya kuwaambia maneno yanayoweza kuwasababishia maumivu.



"Watu hawa wamepoteza ndugu zao wa muhimu hivyo ni vyema kuwapatia maneno mazuri yanayotia moyo badala ya kuwajaza maneno ya upotoshaji na tuiache Serikali ifanye jitihada zake," amesema Majaliwa.



Amesema muda wowote kuanzia sasa tume ya uchunguzi itaundwa ili kubaini chanzo cha ajali hiyo na Serikali ikiwa tayari iko katika mazungumzo juu ya matumizi ya Meli ya Mv Nyahunge.
Kivuko cha Mv Nyerere mpaka sasa takwimu zinaonyesha kilikuwa na watu 265 ambao kati yake 224 wamepatikana wakiwa tayari wamepoteza maisha huku 41 wakipatikana wazima.
Hapo penye uzio na mnara ndipo kivuko kinapoanza kupiga kona.
 
Ni maajabu ya mwaka... Labda walikuwa na uhakika ya kwamba hakuna abiria aliyekuwa hai kwa usiku ile
 
Back
Top Bottom