Wangeenda wangepewa kesi ya kukibidua kivukoHuko ukerewe si sehemu ya "CHAGA LAND"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangeenda wangepewa kesi ya kukibidua kivukoHuko ukerewe si sehemu ya "CHAGA LAND"
Mbunge wa Ukerewe unamjua?!Mbona mbunge wao hakupewa nafasi ya kuongea wala kuweka shada la maua badala yake wakapewa akina Lubingas.
Nilihisi ubaguzi wa kisiasa kwa mbali.
Wakati mwingine sisi raia ni shida unaona kama chimbo cha usafiri shaji kimejaa lkn bado tunakazania kupanda.....Pia na sisi Raia tubadilike jamani! Meli au Kivuko kimejaa usilazimishe kupanda..Pale mwendokasi pia inabidi serikali itoe tamko la msisitizo Basi moja abiria wangapi wa kusimama maana majanga yapo tu huwa yanatokea. Idadi ya watu ikizidi katika chombo lawama itaangukia serikali..kila mamlaka ijitahidi kuwajibika..pressure zote zinaelekezwa ikulu, Hayati Mwl JKN aliwahi sema ikulu sio mahali rahisi kama raia ambavyo huwa tunafikiri
wangekamatwa kuwa wanaingiza siasa kwenye misiba tumeshazoea sasa!Hakuna binadamu yoyote asiyependa kufarijiwa, CDM wangeenda kuwafariji wana Ukerewa, wafiwa, wapiga kura wao. Jimbo la Ukerewe lipo CDM tangu 2010, kweli CDM wameshindwa kuwapa heshima au hata faraja tu wana Ukerewe?
Mkuu kumbuka kuna waziri alitolewa na mojw ya sababu mamlaka ya uteuzi ilisema ajali za mabasi mbeya...mkuu akasema kachoka kutuma rambirambi.Mawaziri wanahusika vp na kuzama kwa Kivuko?
Kwahiyo mnawakataa wapiga kura wenu?wangekamatwa kuwa wanaingiza siasa kwenye misiba tumeshazoea sasa!
Msiba mkubwa huu ninhetegemea Hoja yako inge rely Kwa muhusika Mkuu kutokwenda Kuhani msiba sio CHADEMA! Propaganda at its lowest level!!
Kumbe hujuiMawaziri wanahusika vp na kuzama kwa Kivuko?
Nahisi huelewi hata unajibu nini!Kwahiyo mnawakataa wapiga kura wenu?
asanteweka na clip ya baada ya mbunge kutoa hiyo hoja kilichofanyika ni nini, yani hata wewe GT, bdo unarudia mle mle ambpo unashindia mtandaoni kila siku na majibu unayo kuwa kilikarabatiwa na kikafungiwa injini 2 mwezi wa saba...na pili kivuko hakikuzama kwa xbbu ya ubovu, bali kilikuwa overloaded hata kingekuwa kipya cha siku moja, kwa style hii kingezama tu, tuache kujitoa ufahamu muda wte kwa kuweka siasa hata kile kilichoko wazi.
ameweza kwa haraka sana kuwatumbua wahusika ila kwa bashitte ni kimbembe ukimgusia bashittekuhusu majanga yake ya kufoji vyeti,, kuhujumu uchumi kuleta makontena kisanii huwa anatetemekeJohn pombe magufuru
Raisi jamhuri ya muungano wa Tanzania
tunaimani na serikali, safari hii wamesema watatumia kujengea mnara wa waathira na majina yakae hapo....Wale wa Kagera walipewa hela zao?
hivi wewe unaakili kweli? mtu wa mwisho kuokolewa akiwa hai alipatikana siku ya ngapi? hivi unajua tz hii kuna watu walikaa chini ya ardhi kwa siku ngapi bila ya kuwa na mahitaji muhimu?Kuna binadamu anaweza ishi chini ya maji bila vifaa vyovyote vya upumuaji?Kivuko kilipinduka saa 8,unafikir masaa manne mbele bado kulikua na kitu kinachoitwa UOKOAJI?Au zoezi lilikua UOPOAJI?
Muhusika mkuu,waziri mkuu unajua ni nani katka hii NCHI? yawezekana bado hujajua wadhifa wa WAZIRI MKUU ukishajua utajua kwann Huyo unaetaka aende hajaenda.wangekamatwa kuwa wanaingiza siasa kwenye misiba tumeshazoea sasa!
Msiba mkubwa huu ninhetegemea Hoja yako inge rely Kwa muhusika Mkuu kutokwenda Kuhani msiba sio CHADEMA! Propaganda at its lowest level!!
Nina akili nafikiri zaidi ya wewe unayehoji akili yangu.Huyo aliyepatikana siku ya tatu inasemekana alikua kwenye air pocket. Hiki ni chumba maalum Injinia hukaa huko,licha ya maswali mengi lkn tuseme ni kweli alikua huko.Tuje kwenye fact sasa,ukiachana na huyo injinia ni nani mwingine anaweza baki hai zaid ya masaa mawili chini ya maji na atakua amejificha sehem gan ya kumwezesha yy kusurvive chini ya maji zaid ya saa nzima?NB:Elezea mazingira ya kivuko yalivyo huku ukihusisha na ajali yenyewe. Ukijibu haya nafikiri hutahoji tena akili yanguhivi wewe unaakili kweli? mtu wa mwisho kuokolewa akiwa hai alipatikana siku ya ngapi? hivi unajua tz hii kuna watu walikaa chini ya ardhi kwa siku ngapi bila ya kuwa na mahitaji muhimu?
kama wanajua kuna vyumba maalum mtu anaweza kukaa huko kwanini wasitishe zoezi? huoni walikuwa warisk maisha ya huyo aliyekuwa kwenye hicho chumba?Nina akili nafikiri zaidi ya wewe unayehoji akili yangu.Huyo aliyepatikana siku ya tatu inasemekana alikua kwenye air pocket. Hiki ni chumba maalum Injinia hukaa huko,licha ya maswali mengi lkn tuseme ni kweli alikua huko.Tuje kwenye fact sasa,ukiachana na huyo injinia ni nani mwingine anaweza baki hai zaid ya masaa mawili chini ya maji na atakua amejificha sehem gan ya kumwezesha yy kusurvive chini ya maji zaid ya saa nzima?NB:Elezea mazingira ya kivuko yalivyo huku ukihusisha na ajali yenyewe. Ukijibu haya nafikiri hutahoji tena akili yangu