Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiyo unaweka siasa mbele.Hebu jaribu kufikiri mara mbali mkuu kuna kitu hapa hakiko sawa.
Ila Kama utaweka mbele siasa zaidi basi sawa utakuwa sahihi kwa upande wako, najua hata hao wanao fanya matukio ya hivi wanalenga kutujengea Imani fulani ambayo ukiweka tu siasa mbele bila kufikiri nje ya box lazima tu utaingia kwenye mtego wao.
Ni wajanja sana hawa jamaa na Kama wakiendelea na mbinu hii na vyombo vya usalama visipo washitukia mapema na hii mihemko ya kisiasa tulio nayo basi lazima tu watafanikiwa kutuvuruga vibaya sana.
Hapana asee asingeshindwa kusema katumwa na chadema hao hao, ilo somo liwafikie na wengine wanaotumika kuvuruga uchaguzi..Hii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Nchi hii ni yetu sote siyo Mali binafsi ya ccm na wanachama wake.Hebu jaribu kufikiri mara mbali mkuu kuna kitu hapa hakiko sawa.
Ila Kama utaweka mbele siasa zaidi basi sawa utakuwa sahihi kwa upande wako, najua hata hao wanao fanya matukio ya hivi wanalenga kutujengea Imani fulani ambayo ukiweka tu siasa mbele bila kufikiri nje ya box lazima tu utaingia kwenye mtego wao.
Ni wajanja sana hawa jamaa na Kama wakiendelea na mbinu hii na vyombo vya usalama visipo washitukia mapema na hii mihemko ya kisiasa tulio nayo basi lazima tu watafanikiwa kutuvuruga vibaya sana.
Mkuu Kiukweli ni mjinga tu ndio ataamini kuwa haya matukio yanaratibiwa na ccm, yaani wafanye huu utekaji na uuaji kwa makusudi kabisa huku wakijua kabisa lawama zitatupwa kwao na kuwapaka matope tena kwenye kipindi hiki cha uchaguzi?
Basi kama ni hivo watakuwa wapumbavu kweli kweli.
Naam, inasikitisha kupoteza uhai. Wanao teka ni CCM na dola ikiwasapoti, wala huitaji darubini kuona hilo. Tusingekuwq na state capture, tume wangeshafanya kitu zamani sana ku discourage hiyo tabia ya CCM. Tume ingewapa nafasi nyengine ya pekee wagombea/ chama kinacho poteza nafasi ya ushiriki kwa kufanyiwa hujuma za kihuni kama hizo. Hayo yote yanatokea tume ipo kimyaaaa!!!!!!..... na wakati mwengine maafisa wa tume hushiriki moja kwa moja na kwa uwazi kufanikisha hujuma hizo.Hii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Kwamba ccm ndo haijulikani?.....Hilo lingekuwa jema zaidi ni kukamata kipigo wataje waliowatuma
Ni kwa kuwa hayo yoote hayana tija kwa Mwananchi wa kawaidaHofu ya nini kama tumenunua ndege, flyover, madaraja na nchi ni ya uchumi wa kati?
Popote inapomwagika damu jua dhuruma ilianza kwa baadhi kujiona Wana haki kuliko wengine.
Sisi ni binadamu kama wa Somalia, Mali, Congo ama Sudani.
Hivyo yanayotoke huko hata hapa yanaweza kutokea.
Mheshimiwa Raisi Magufuli huu ndio ulikuwa muda wa kuwaunganisha Watanzania kwa vitendo.
Sababu Jicho linalotuangalia huko nje sio la kheri, Wanasubiri tusambaratike wapite katikati.
Mungu iepushe Tanzania na hili pepo linalotunyemelea.
Mbona watumaji wanajulikana tuuHii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Ni huko kanda ya ziwaDah! Ukara ni wapi huko ambako hawataki masiala? Natamani wote wapate kilo ya sukari kwa gharama zao, wanywe wajipongeze!
Mkuu Kiukweli ni mjinga tu ndio ataamini kuwa haya matukio yanaratibiwa na ccm, yaani wafanye huu utekaji na uuaji kwa makusudi kabisa huku wakijua kabisa lawama zitatupwa kwao na kuwapaka matope tena kwenye kipindi hiki cha uchaguzi?
Basi kama ni hivo watakuwa wapumbavu kweli kweli.
IGP aliposema waliorusha mawe wapatikane mbona wamepatikana, unganisha Dot.Mkuu Kiukweli ni mjinga tu ndio ataamini kuwa haya matukio yanaratibiwa na ccm, yaani wafanye huu utekaji na uuaji kwa makusudi kabisa huku wakijua kabisa lawama zitatupwa kwao na kuwapaka matope tena kwenye kipindi hiki cha uchaguzi?
Basi kama ni hivo watakuwa wapumbavu kweli kweli.
Tatizo wananchi wamesha choka na wana hasira na chuki kubwa kutokana na matendo wanayo fanyiwaHii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Ni moja ya visiwa vinavyounda UKEREWE nadhani hilo genge la uporaji wa fomu litaanza kustaafu kwa hiariDah! Ukara ni wapi huko ambako hawataki masiala? Natamani wote wapate kilo ya sukari kwa gharama zao, wanywe wajipongeze!