Uchaguzi 2020 Ukara: Wananchi wamuua mtu aliyetaka kumteka mgombea udiwani wa kata ya Bwisya kwa tiketi ya CHADEMA

haya sasa green guard mmoja ametangulizwa futi 6 ardhini buku 7 imemponza.
 
NAOMBA KUSAHIHISHA siyo BWISHA ni BWISYA na pia tukio hiil limetokea UKARA KATA YA NYAMANGA.

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Heshima yako mkuu.

Mkuu nimeshaweka maoni yangu humu (nisingependa kurudia) na kuna hoja nyingi nilizojaribu kueleza juu ya shaka yangu kwa uhusika wa ccm kwenye haya matukio, nadhani ukiwa unapitia humu utayaona tu na kama nimekosea kwenye hoja basi pia utakosoa mkuu.

Ila kwa kifupi tu, nitaita wajinga sana ccm Kama kweli wao ndio wanaratibu mauaji na utekaji sababu haina faida kwao badala yake ni hasara tu kwa kujishushie Imani kwa wale ambao bado wanaimani nao.

Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kutumia mbinu ya kijinga kiasi hiki huku akiwa anatazamwa naamini hata ungekuwa wewe usingefanya hivyo hata mara moja.
 
Historia ya dunia inaoneshakwamba umwagaji damu ukishaanza haukatiki hadi nduli atorokee burigi
 
Hahaha hawa wakara walitakiwa waende Dodoma leo kulinda maslahi ya chama chao, wanaonekana kumudu kazi yao.

Kaijage angekuwa keshamtangaza Lisu mgombea.
 
Mkuu Kwenye UMEME
1/.unafanya wayering
2/.unachora ramani
3/.unakaguliwa (wepesi wako)

NGoma Ipo KWENYE kULIPIa ili upewe risit ,ndo ukafungiwe MITA.

Utaambiwa Mtandao unasumbua ,acha no. Ya simu mtandao ukikaa sawa utapigiwa uje kulipia.

Ndo imetoka hiyo.
Utakaa miaka BUKU mpaka utasahau habari za umeme.

Utaishia kuona kwenye mitandao
umeme nchi nzima 27,000/=.
 
Yes haya ndio mambo tunayotaka kusikia kutoka kwa wananchi, BAVICHA amkeni pigeni kisawa sawa hadi akili ziwakae sawa hongereni sana bado watoto wa Sryoo.
 
Hii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Yaani hili la kutaka asiuliwe ndo tujue waliomtuma, wakati inajulikana kabsa. Hao ndo wametoa fundisho nzr kwamba watu wamechoka na ushamba wanaofanya ccm
 
Kweli kamanda!
Ndio maana tunasema Lisu akichukua nchi tutang'oa nguzo zote huko vijijini. na hizo hospitali alizojenga zikae tayari. Na tutarudisha vyeti feki kama kawa.
Hatutaki maendeleo ya vitu sisi.
Maendeleo gani hayo wakati hatuko huru kuropokaropoka na kuandamana
 
Tatizo ni ushabiki kwasasa wanachama wa Ccm wanaamini hata akikuua alhatqfanywa lolote, na wanaamini akifanya jambo la kuumiza wapinzani atapandishwa cheo ndio maana wanaofanya hawajifichi wapo hadharani
1.Makonda alimpiga vibao jaji Joseph warioba akapewa ukuu wa wilaya.
2.Alexender mnyeti alihamasisha na kutoa rushwa kuhamisha wapinzani kujiunga Ccm akapewa ukuu wa mkoa.
3.Mkuu wa wilaya (mpya) wa Arusha alitoa kauli ya kumuua zito hadharani akapewa ukuu wa wilaya
4.Sabaya ametukana wapinzani akapewa ukuu wa wilaya

Haya yote yanafanyika mchana kweupe na hawa wanaofanya haya wanajianika hadharani ili wapate uteuzi
Na hawatofanywa lolote polisi imewakamata kama Geresha tu ila polisi haina nguvu yoyote juu ya wana CCM

TANZANIA NI YETU SOTE TUWE WAZALENDO NYUMBA IKIUNGUA HAKUNA ALIYE SALAMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…