commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,956
Harufu ya "Mashaka" ni Kali, kuliko harufu ya "Ukweli!"
Hoja kwamba Bilioni 8 za miaka ile na Bilioni 7.5 za sasa, thamani ni tofauti sana, sio kweli.
Chukua exchange rate ya wakati ule na exchange rate ya sasa!
Wataalamu wakichambua zile Bil 7.5 za ukarabati wa MV. Magogoni. Walisema hivi:
1. Kile kivuko kinaendeshwa na engine 4.
2. Engine zile ni za caterpillar yaani zile machine kama za kuunda barabara.
3. Engine moja haiwezi zidi mil 350
4. Kwa kukadiria tu engine zote nne ni kati ya bil 1.2 na bil 1.5
5. Hiyo sehemu ya engine ndio project yenye, kubeba gharama kubwa zaidi kuliko sehemu nyinginezo zote.
6. Ukarabati mwingine ni Kukwangua rangi na kupaka mpya, kukarabati viti vyote vya abiria, kubadilisha Raba za milango, Rada nk.
Swali tunalohoji hapo ni:
Kama engine 4 ni kati ya bil 1.2 na 1.5, na matengenezo mengine tuchukulie basi mil 700, je hizi karibia bil 5.3 zinaenda wapi?
Nani yupo nyuma ya upigaji huu?
Nani alipanga matumizi haya akiwa na nani au kamati gani?
Waziri wa fedha anajua hili na aliwajibika kufatilia?
Kwa nini tukatengenezee Kenya wakati tuna Songoro marine ltd mnajaribu kwenda kuficha nini?
Je, TAKUKURU imeingilia kuchunguza sakata hili maana sio kitu cha kawaida na ukisikia minong'ono kibao ujue kuna uwalakini mahali.
Je, hapa si ndio malengo na madhumuni ya kuanzishwa kwa TAKUKURU yangeonekana?
Tafakari na chukua Hatua!
Hili suala sio la kisiasa!
Tunaongelea pesa za walipa kodi na wavuja jasho wa nchi hii.
Tunaongelea Tozo tunazotozwa kila uchao.
#Kataa wahuni
Pia soma bandiko langu la awali kuhusiana na hili sakata!
"Hili la Magogoni Wacha Tutunze Kumbukumbu."
www.jamiiforums.com
Hoja kwamba Bilioni 8 za miaka ile na Bilioni 7.5 za sasa, thamani ni tofauti sana, sio kweli.
Chukua exchange rate ya wakati ule na exchange rate ya sasa!
Wataalamu wakichambua zile Bil 7.5 za ukarabati wa MV. Magogoni. Walisema hivi:
1. Kile kivuko kinaendeshwa na engine 4.
2. Engine zile ni za caterpillar yaani zile machine kama za kuunda barabara.
3. Engine moja haiwezi zidi mil 350
4. Kwa kukadiria tu engine zote nne ni kati ya bil 1.2 na bil 1.5
5. Hiyo sehemu ya engine ndio project yenye, kubeba gharama kubwa zaidi kuliko sehemu nyinginezo zote.
6. Ukarabati mwingine ni Kukwangua rangi na kupaka mpya, kukarabati viti vyote vya abiria, kubadilisha Raba za milango, Rada nk.
Swali tunalohoji hapo ni:
Kama engine 4 ni kati ya bil 1.2 na 1.5, na matengenezo mengine tuchukulie basi mil 700, je hizi karibia bil 5.3 zinaenda wapi?
Nani yupo nyuma ya upigaji huu?
Nani alipanga matumizi haya akiwa na nani au kamati gani?
Waziri wa fedha anajua hili na aliwajibika kufatilia?
Kwa nini tukatengenezee Kenya wakati tuna Songoro marine ltd mnajaribu kwenda kuficha nini?
Je, TAKUKURU imeingilia kuchunguza sakata hili maana sio kitu cha kawaida na ukisikia minong'ono kibao ujue kuna uwalakini mahali.
Je, hapa si ndio malengo na madhumuni ya kuanzishwa kwa TAKUKURU yangeonekana?
Tafakari na chukua Hatua!
Hili suala sio la kisiasa!
Tunaongelea pesa za walipa kodi na wavuja jasho wa nchi hii.
Tunaongelea Tozo tunazotozwa kila uchao.
#Kataa wahuni
Pia soma bandiko langu la awali kuhusiana na hili sakata!
"Hili la Magogoni Wacha Tutunze Kumbukumbu."
Hili la MV Magogoni, Wacha tutunze kumbukumbu!
Kama huku ndio kufungua nchi! Yaani Tozo mnazotoza wananchi, halafu mnakwenda kuzifisadi namna hii temesa Kivuko kijengwe kwa Billion 8 na baadae kukarabati bilioni 7.5? Halafu mnasema mama anaupiga mwingi! Muda utawadia ambapo tutarudi na hizi rekodi zoote,msipokuwepo wahusika,Chawa wenu...