Harufu ya "Mashaka" ni Kali, kuliko harufu ya "Ukweli!"
Hoja kwamba Bilioni 8 za miaka ile na Bilioni 7.5 za sasa, thamani ni tofauti sana, sio kweli.
Chukua exchange rate ya wakati ule na exchange rate ya sasa!
Wataalamu wakichambua zile Bil 7.5 za ukarabati wa MV. Magogoni. Walisema hivi:
1. Kile kivuko kinaendeshwa na engine 4.
2. Engine zile ni za caterpillar yaani zile machine kama za kuunda barabara.
3. Engine moja haiwezi zidi mil 350
4. Kwa kukadiria tu engine zote nne ni kati ya bil 1.2 na bil 1.5
5. Hiyo sehemu ya engine ndio project yenye, kubeba gharama kubwa zaidi kuliko sehemu nyinginezo zote.
6. Ukarabati mwingine ni Kukwangua rangi na kupaka mpya, kukarabati viti vyote vya abiria, kubadilisha Raba za milango, Rada nk.
Swali tunalohoji hapo ni:
Kama engine 4 ni kati ya bil 1.2 na 1.5, na matengenezo mengine tuchukulie basi mil 700, je hizi karibia bil 5.3 zinaenda wapi?
Nani yupo nyuma ya upigaji huu?
Nani alipanga matumizi haya akiwa na nani au kamati gani?
Waziri wa fedha anajua hili na aliwajibika kufatilia?
Kwa nini tukatengenezee Kenya wakati tuna Songoro marine ltd mnajaribu kwenda kuficha nini?
Je, TAKUKURU imeingilia kuchunguza sakata hili maana sio kitu cha kawaida na ukisikia minong'ono kibao ujue kuna uwalakini mahali.
Je, hapa si ndio malengo na madhumuni ya kuanzishwa kwa TAKUKURU yangeonekana?
Tafakari na chukua Hatua!
Hili suala sio la kisiasa!
Tunaongelea pesa za walipa kodi na wavuja jasho wa nchi hii.
Tunaongelea Tozo tunazotozwa kila uchao.
#Kataa wahuni
Pia soma bandiko langu la awali kuhusiana na hili sakata!
"Hili la Magogoni Wacha Tutunze Kumbukumbu."
Kama huku ndio kufungua nchi! Yaani Tozo mnazotoza wananchi, halafu mnakwenda kuzifisadi namna hii temesa Kivuko kijengwe kwa Billion 8 na baadae kukarabati bilioni 7.5? Halafu mnasema mama anaupiga mwingi! Muda utawadia ambapo tutarudi na hizi rekodi zoote,msipokuwepo wahusika,Chawa wenu...
Tupe mchanganuo kama huu kwenye kile kivuko cha mv.bagamoyo alichokinunua MEKO,ambacho thamani yake ilitaka kulingana na fast ferry ya azamu(ambayo ni ya kisasa kabisa).Ambacho gharama ya mafuta tu kutoka dar hadi bagamoyo ni kubwa kuliko jumla ya nauli za abiria wote kikiwa kimejaa!!!
Harufu ya "Mashaka" ni Kali, kuliko harufu ya "Ukweli!"
Hoja kwamba Bilioni 8 za miaka ile na Bilioni 7.5 za sasa, thamani ni tofauti sana, sio kweli.
Chukua exchange rate ya wakati ule na exchange rate ya sasa!
Wataalamu wakichambua zile Bil 7.5 za ukarabati wa MV. Magogoni. Walisema hivi:
1. Kile kivuko kinaendeshwa na engine 4.
2. Engine zile ni za caterpillar yaani zile machine kama za kuunda barabara.
3. Engine moja haiwezi zidi mil 350
4. Kwa kukadiria tu engine zote nne ni kati ya bil 1.2 na bil 1.5
5. Hiyo sehemu ya engine ndio project yenye, kubeba gharama kubwa zaidi kuliko sehemu nyinginezo zote.
6. Ukarabati mwingine ni Kukwangua rangi na kupaka mpya, kukarabati viti vyote vya abiria, kubadilisha Raba za milango, Rada nk.
Swali tunalohoji hapo ni:
Kama engine 4 ni kati ya bil 1.2 na 1.5, na matengenezo mengine tuchukulie basi mil 700, je hizi karibia bil 5.3 zinaenda wapi?
Nani yupo nyuma ya upigaji huu?
Nani alipanga matumizi haya akiwa na nani au kamati gani?
Waziri wa fedha anajua hili na aliwajibika kufatilia?
Kwa nini tukatengenezee Kenya wakati tuna Songoro marine ltd mnajaribu kwenda kuficha nini?
Je, TAKUKURU imeingilia kuchunguza sakata hili maana sio kitu cha kawaida na ukisikia minong'ono kibao ujue kuna uwalakini mahali.
Je, hapa si ndio malengo na madhumuni ya kuanzishwa kwa TAKUKURU yangeonekana?
Tafakari na chukua Hatua!
Hili suala sio la kisiasa!
Tunaongelea pesa za walipa kodi na wavuja jasho wa nchi hii.
Tunaongelea Tozo tunazotozwa kila uchao.
#Kataa wahuni
Pia soma bandiko langu la awali kuhusiana na hili sakata!
"Hili la Magogoni Wacha Tutunze Kumbukumbu."
Kama huku ndio kufungua nchi! Yaani Tozo mnazotoza wananchi, halafu mnakwenda kuzifisadi namna hii temesa Kivuko kijengwe kwa Billion 8 na baadae kukarabati bilioni 7.5? Halafu mnasema mama anaupiga mwingi! Muda utawadia ambapo tutarudi na hizi rekodi zoote,msipokuwepo wahusika,Chawa wenu...
Tupe mchanganuo kama huu kwenye kile kivuko cha mv.bagamoyo alichokinunua MEKO,ambacho thamani yake ilitaka kulingana na fast ferry ya azamu(ambayo ni ya kisasa kabisa).Ambacho gharama ya mafuta tu kutoka dar hadi bagamoyo ni kubwa kuliko jumla ya nauli za abiria wote kikiwa kimejaa!!!
Hiyo maintenance ilitakiwa kufanywa na wakandarasi wa TEMESA au kampuni ya wazawa ya songoro marine, hapa lazima kuna ubutuaji.........unajipimia kadri kamba yako inavyokuruhusu, si ndiyo? acha wakenya wakaweke humo injini za yutong wabaki na injini orijino.
Hiyo maintenance ilitakiwa kufanywa na wakandarasi wa TEMESA au kampuni ya wazawa ya songoro marine, hapa lazima kuna ubutuaji.........unajipimia kadri kamba yako inavyokuruhusu, si ndiyo? acha wakenya wakaweke humo injini za yutong wabaki na injini orijino.
Kwani kila tender lazima iwe awarded, hiyo inabidi irudiwe maana hizo gharama ziko exaggerated kwa kadri ya maelezo ya mleta mada, kama vipi tutumie karakana na mafundi wetu kuokoa gharama, hii pia itasaidia vijana wetu walio mafunzoni kupata ujuzi zaidi wa mambo haya......
Miongoni mwa mapungufu makubwa ya Ma Sa100 ni eneo la ufuatiliaji..anaamini mno wasaidizi(mkalitazame) matokeo yake wanamuingiza chaka kishenzi.
Hata Dodoma machinga complex imejengwa kwa gharama ya bilioni 9+ wakati material yote ni ya hapa nchini hivyo costs zisingefika hata nusu yake.
Wananchi tunapigwa kwelikweli awamu hii hakuna wa kututetea.
Kodi zetu na tozo zitakoma awamu ya 6 Mungu tusaidie.
Miongoni mwa mapungufu makubwa ya Ma Sa100 ni eneo la ufuatiliaji..anaamini mno wasaidizi(mkalitazame) matokeo yake wanamuingiza chaka kishenzi.
Hata Dodoma machinga complex imejengwa kwa gharama ya bilioni 9+ wakati material yote ni ya hapa nchini hivyo costs zisingefika hata nusu yake.
Wananchi tunapigwa kwelikweli awamu hii hakuna wa kututetea.
Kodi zetu na tozo zitakoma awamu ya 6 Mungu tusaidie.
Huku kwenye maiamala ya simu na mabenki wanakusanya kiulaini tu, labda ndo maana hawana uchungu na hizo pesa, zinaingia kiulaini na kutoka kiulaini......
Harufu ya "Mashaka" ni Kali, kuliko harufu ya "Ukweli!"
Hoja kwamba Bilioni 8 za miaka ile na Bilioni 7.5 za sasa, thamani ni tofauti sana, sio kweli.
Chukua exchange rate ya wakati ule na exchange rate ya sasa!
Wataalamu wakichambua zile Bil 7.5 za ukarabati wa MV. Magogoni. Walisema hivi:
1. Kile kivuko kinaendeshwa na engine 4.
2. Engine zile ni za caterpillar yaani zile machine kama za kuunda barabara.
3. Engine moja haiwezi zidi mil 350
4. Kwa kukadiria tu engine zote nne ni kati ya bil 1.2 na bil 1.5
5. Hiyo sehemu ya engine ndio project yenye, kubeba gharama kubwa zaidi kuliko sehemu nyinginezo zote.
6. Ukarabati mwingine ni Kukwangua rangi na kupaka mpya, kukarabati viti vyote vya abiria, kubadilisha Raba za milango, Rada nk.
Swali tunalohoji hapo ni:
Kama engine 4 ni kati ya bil 1.2 na 1.5, na matengenezo mengine tuchukulie basi mil 700, je hizi karibia bil 5.3 zinaenda wapi?
Nani yupo nyuma ya upigaji huu?
Nani alipanga matumizi haya akiwa na nani au kamati gani?
Waziri wa fedha anajua hili na aliwajibika kufatilia?
Kwa nini tukatengenezee Kenya wakati tuna Songoro marine ltd mnajaribu kwenda kuficha nini?
Je, TAKUKURU imeingilia kuchunguza sakata hili maana sio kitu cha kawaida na ukisikia minong'ono kibao ujue kuna uwalakini mahali.
Je, hapa si ndio malengo na madhumuni ya kuanzishwa kwa TAKUKURU yangeonekana?
Tafakari na chukua Hatua!
Hili suala sio la kisiasa!
Tunaongelea pesa za walipa kodi na wavuja jasho wa nchi hii.
Tunaongelea Tozo tunazotozwa kila uchao.
#Kataa wahuni
Pia soma bandiko langu la awali kuhusiana na hili sakata!
"Hili la Magogoni Wacha Tutunze Kumbukumbu."
Kama huku ndio kufungua nchi! Yaani Tozo mnazotoza wananchi, halafu mnakwenda kuzifisadi namna hii temesa Kivuko kijengwe kwa Billion 8 na baadae kukarabati bilioni 7.5? Halafu mnasema mama anaupiga mwingi! Muda utawadia ambapo tutarudi na hizi rekodi zoote,msipokuwepo wahusika,Chawa wenu...
Nimekuja spidi nikidhani umeweka hesabu za exchange rate ya wakati huo Ili kulinganisha na Sasa pia hakuna Cha mfumuko wa bei Wala Nini!?
Ni kweli CCM ni mafisadi ila ni vizuri ungeweka facts hapo za exchange rate iendane na heading ya Uzi wako. Alafu hizo thamani za engine n.k ni kwa bei ya Sasa au ya wakati ule? Engine zake wewe ndio umeziona au umechukua speculation za hao "wataalamu" kwenye vijiwe vya kahawa??
Kwani kila tender lazima iwe awarded, hiyo inabidi irudiwe maana hizo gharama ziko exaggerated kwa kadri ya maelezo ya mleta mada, kama vipi tutumie karakana na mafundi wetu kuokoa gharama, hii pia itasaidia vijana wetu walio mafunzoni kupata ujuzi zaidi wa mambo haya......
Sasa huyo songoro ali tender 10B,na huyo mwingine 7.5B!!Huyo mleta mada inajulikana yuko upande gani,ndio maana kila kitu anachokileta hata kama kina uhalisia inaonekana ana lake jambo!!ndio maana kuna sehemu nimemuomba atuletee na mchanganuo wa kile cha mv.bagamoyo.Kote ni upigaji tu ni suala la kipokezana tu!!!
Ebu pitia na hii taarifa ya whistle blower mwingine humu JF.
"
Kwa taarifa za uhakika kabisa ni kuwa waarabu wa Dubai na Saudia wanelekea kishiwa maeneo nyeti ya Taifa letu. Bandari ya Dar es Salaam tipo mbioni kukabidhiwa kampuni ya Dubai. Ndio maana jana mmeona Waziri wa Mambo ya Nje wa UAE alikuwa Zanzibar kukamilisha mazungumzo, hamkuambiwa kwenye press ya Ikulu walizungumza nini.
Huu ni mwendelezo wa ziara ya yule mwana mfalme aliyekuja majuzi toka UAE akakutana na Pindi Chana Waziri wa kipindi kile wa maliasili ambaye aliondolewa siku mbili baadaye baada ya kuonekana mrasimu.
Kama haitoshi wizara ya maliasili akapelekwa waziri mkwe na Katibu Mkuu rafikiye ili wakamilishe madili na waarabu. Kama haitoshi Said Yakubu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu pale Utamaduni akapandishwa Cheo kuwa Katibu Mkuu Utamaduni na leo hii yupo Saudi Arabia na Mwamfalme Binti eti wanaongea mambo ya utamaduni. Saidi huyu alikuwa msaidizi binafasi wa Ndugai ambaye maadili yake ni mashaka tupu, ni mbadhirifu na mdanganyifu na mpiga dili.
Kwa hili la UAE kupewa Bandari tayari kundi la kwanza la Wabunge lilipelekwa Dubai kuangalia namna hiyo Kampuni inavyoendesha bandari za huko na kundi la pili wanaenda India mwishoni mwa mwezi huu. Lengo ni kuwaziba midomo dili likikamilika kati kati ya mwaka huu.
Sikumpenda Magufuli kwa udikteta, wizi na ujambazi lakini angalau alijitahidi kulinda strategic resources za nchi kusalama kama bandari. Huyu wa sasa na hawa waarabu tunarudi enzi za Mwinyi na Loliondo. Nadhani tuutizame Muungano wetu vizuri pengine vya watanganyika vinafanywa kuwa vya bure pale mzanzibari anapokuwa rais."
Speculations!! Hivi si wote mlipinga TICTS kuongezewa mkataba na serikali ikasema TPA isimamie Bado mnalalamika..... Bandari ya Bagamoyo wote tulipinga financing ila mradi Kila mtu alitaka ufanyike. Bandari imetengewa bajeti Tena inajengwa kwa pesa za ndani ila Bado mnalalama mnataka Nini? Hiyo tender angepewa mtu binafsi Bado Tena mnalalamika!!
Wote hatupendi ufisadi ila tujaribu kuwa na facts, speculations hazisaidii kitu.
NB: Najua ulicholenga ni hiyo sentence uliyomtaja JPM. Ila trust me angepewa huyo mzawa kwa bei ya 10 B Bado mngesema ni ufisadi!! Na mngesema hiyo tender ni ya waziri!!
Engine wanayotumia hiyo hapo unaweza omba quote ya bei directly from caterpillar wenyewe. Ila sidhani kama inazidi ata $70000 brand new. Maana nimeona used nyingi bei aizidi $20000.
Main parts zote za kuendesha hilo pantoni hizo hapo juu na sidhani kama zinafika ata $1 million brand new kwa pamoja.
Tells you ata hiyo billion 8 ya kununulia mpya gharama kubwa inaonekana zilikuwa kwenye steel, charged labour hours kwenye kuunda na faida ya muuzaji. Otherwise it’s a cheap ferry.
Sasa kama chuma sio chakavu hiyo gharama ya billion saba inatokana na nini wakati replacement parts azifiki ata billion mbili za kitanzania tena brand new.
Na kama chuma ni chakavu what’s point of repairing something which is worthless than it’s residual value at scrap metal price.
Anyway wacha na wengine wale hela yenyewe ni ya vitafunio vya chai tu ata kwa viwango vya Rugemalila seuse serikali yenye mihela mingi.
Hao watoto wa shule washazoea kukaa kwenye matofali na sakafuni anyway. Wasubiri raisi mwenye kujali kwa sasa ni kulamba asali tu.
Ujambazi huko kule kwenye matrillion ambayo bi tozo kaonya PPRA wasiulize kuhusu hizo tender.
1. Mchanganuo wa kwenye tender unaufahamu au una assume Wana replace engine pekee?? Yaani hakuna ukarabati wowote ule mwingine zaidi ya spare pekee??
2. Hapo unasema USD 1 Million inatosha kununua kivuko kipya!!! Yaani Kwa kuwa vifaa ni hiko kiasi basi hakuna cost zingine zozote? Kwa staili hii Kuna siku mtapiga bei ya simenti na kokote mtasema ni million 2 inatosha kujenga shule nzima!!!
3. Hoja pia ni kuhusu bei, kwa taarifa ni kwamba tender za humu ndani walitaka 10 B je kwa muono wako wangepewa usingeona ni ufisadi zaidi?
Nadhani kama hakuna mwenye documents humu then tutakua tunfanya speculation
Tupe mchanganuo kama huu kwenye kile kivuko cha mv.bagamoyo alichokinunua MEKO,ambacho thamani yake ilitaka kulingana na fast ferry ya azamu(ambayo ni ya kisasa kabisa).Ambacho gharama ya mafuta tu kutoka dar hadi bagamoyo ni kubwa kuliko jumla ya nauli za abiria wote kikiwa kimejaa!!!
Kwa wasiojua ufisadi wa Magufuli basi tunawataarifu kuwa alianza na Bagamoyo Boat/Ferry. Alipiga ufisadi wa kutisha halafu kivuko hakikuwahi kubeba abiria yeyote kwenda Bagamoyo wakati huo alikuwa waziri tu kwenye Serikali ya JK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.