Ukarabati 7.5B, Magogoni twende Kwa Facts! Mnaobisha Njooni Mnijibu

Ukarabati 7.5B, Magogoni twende Kwa Facts! Mnaobisha Njooni Mnijibu

Harufu ya "Mashaka" ni Kali, kuliko harufu ya "Ukweli!"

Hoja kwamba Bilioni 8 za miaka ile na Bilioni 7.5 za sasa, thamani ni tofauti sana, sio kweli.
Chukua exchange rate ya wakati ule na exchange rate ya sasa!

Wataalamu wakichambua zile Bil 7.5 za ukarabati wa MV. Magogoni. Walisema hivi:

1. Kile kivuko kinaendeshwa na engine 4.
2. Engine zile ni za caterpillar yaani zile machine kama za kuunda barabara.
3. Engine moja haiwezi zidi mil 350
4. Kwa kukadiria tu engine zote nne ni kati ya bil 1.2 na bil 1.5
5. Hiyo sehemu ya engine ndio project yenye, kubeba gharama kubwa zaidi kuliko sehemu nyinginezo zote.
6. Ukarabati mwingine ni Kukwangua rangi na kupaka mpya, kukarabati viti vyote vya abiria, kubadilisha Raba za milango, Rada nk.

Swali tunalohoji hapo ni:

Kama engine 4 ni kati ya bil 1.2 na 1.5, na matengenezo mengine tuchukulie basi mil 700, je hizi karibia bil 5.3 zinaenda wapi?

Nani yupo nyuma ya upigaji huu?
Nani alipanga matumizi haya akiwa na nani au kamati gani?
Waziri wa fedha anajua hili na aliwajibika kufatilia?
Kwa nini tukatengenezee Kenya wakati tuna Songoro marine ltd mnajaribu kwenda kuficha nini?

Je, TAKUKURU imeingilia kuchunguza sakata hili maana sio kitu cha kawaida na ukisikia minong'ono kibao ujue kuna uwalakini mahali.

Je, hapa si ndio malengo na madhumuni ya kuanzishwa kwa TAKUKURU yangeonekana?

Tafakari na chukua Hatua!
Hili suala sio la kisiasa!
Tunaongelea pesa za walipa kodi na wavuja jasho wa nchi hii.
Tunaongelea Tozo tunazotozwa kila uchao.

#Kataa wahuni

Pia soma bandiko langu la awali kuhusiana na hili sakata!
"Hili la Magogoni Wacha Tutunze Kumbukumbu."
Na mkataba ulisainiwa mama akiwa ameenda Ethiopia Kama sijakosea....Kuna viongozi wa chini ndio wanaoiangusha serikali...shame
 
Suluhisho lilikuwa sio kuikarabati, bali ni kupiga mnada na kununua chombo kingine kipya; wataalamu wa mahesabu kuna kitu huwa wanakiita 'depreciation', kama ilikuwa iko ziro au kukaribia na ziro kuna uwezekano matengenezo yakawa sawa na gharama ya kununua chombo kipya, na kama ilifikia hiyo hatua, matengenezo yalikuwa sio ya lazima.​
 
Ebu pitia na hii taarifa ya whistle blower mwingine humu JF.
"
Kwa taarifa za uhakika kabisa ni kuwa waarabu wa Dubai na Saudia wanelekea kishiwa maeneo nyeti ya Taifa letu. Bandari ya Dar es Salaam tipo mbioni kukabidhiwa kampuni ya Dubai. Ndio maana jana mmeona Waziri wa Mambo ya Nje wa UAE alikuwa Zanzibar kukamilisha mazungumzo, hamkuambiwa kwenye press ya Ikulu walizungumza nini.

Huu ni mwendelezo wa ziara ya yule mwana mfalme aliyekuja majuzi toka UAE akakutana na Pindi Chana Waziri wa kipindi kile wa maliasili ambaye aliondolewa siku mbili baadaye baada ya kuonekana mrasimu.

Kama haitoshi wizara ya maliasili akapelekwa waziri mkwe na Katibu Mkuu rafikiye ili wakamilishe madili na waarabu. Kama haitoshi Said Yakubu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu pale Utamaduni akapandishwa Cheo kuwa Katibu Mkuu Utamaduni na leo hii yupo Saudi Arabia na Mwamfalme Binti eti wanaongea mambo ya utamaduni. Saidi huyu alikuwa msaidizi binafasi wa Ndugai ambaye maadili yake ni mashaka tupu, ni mbadhirifu na mdanganyifu na mpiga dili.

Kwa hili la UAE kupewa Bandari tayari kundi la kwanza la Wabunge lilipelekwa Dubai kuangalia namna hiyo Kampuni inavyoendesha bandari za huko na kundi la pili wanaenda India mwishoni mwa mwezi huu. Lengo ni kuwaziba midomo dili likikamilika kati kati ya mwaka huu.

Sikumpenda Magufuli kwa udikteta, wizi na ujambazi lakini angalau alijitahidi kulinda strategic resources za nchi kusalama kama bandari. Huyu wa sasa na hawa waarabu tunarudi enzi za Mwinyi na Loliondo. Nadhani tuutizame Muungano wetu vizuri pengine vya watanganyika vinafanywa kuwa vya bure pale mzanzibari anapokuwa rais."
Hao wa dubai, wanaendesha bandari hadi US,, kiufupi ni wataalamu,, lakini hili la kwamba wanapewaAn
Ebu pitia na hii taarifa ya whistle blower mwingine humu JF.
"
Kwa taarifa za uhakika kabisa ni kuwa waarabu wa Dubai na Saudia wanelekea kishiwa maeneo nyeti ya Taifa letu. Bandari ya Dar es Salaam tipo mbioni kukabidhiwa kampuni ya Dubai. Ndio maana jana mmeona Waziri wa Mambo ya Nje wa UAE alikuwa Zanzibar kukamilisha mazungumzo, hamkuambiwa kwenye press ya Ikulu walizungumza nini.

Huu ni mwendelezo wa ziara ya yule mwana mfalme aliyekuja majuzi toka UAE akakutana na Pindi Chana Waziri wa kipindi kile wa maliasili ambaye aliondolewa siku mbili baadaye baada ya kuonekana mrasimu.

Kama haitoshi wizara ya maliasili akapelekwa waziri mkwe na Katibu Mkuu rafikiye ili wakamilishe madili na waarabu. Kama haitoshi Said Yakubu aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu pale Utamaduni akapandishwa Cheo kuwa Katibu Mkuu Utamaduni na leo hii yupo Saudi Arabia na Mwamfalme Binti eti wanaongea mambo ya utamaduni. Saidi huyu alikuwa msaidizi binafasi wa Ndugai ambaye maadili yake ni mashaka tupu, ni mbadhirifu na mdanganyifu na mpiga dili.

Kwa hili la UAE kupewa Bandari tayari kundi la kwanza la Wabunge lilipelekwa Dubai kuangalia namna hiyo Kampuni inavyoendesha bandari za huko na kundi la pili wanaenda India mwishoni mwa mwezi huu. Lengo ni kuwaziba midomo dili likikamilika kati kati ya mwaka huu.

Sikumpenda Magufuli kwa udikteta, wizi na ujambazi lakini angalau alijitahidi kulinda strategic resources za nchi kusalama kama bandari. Huyu wa sasa na hawa waarabu tunarudi enzi za Mwinyi na Loliondo. Nadhani tuutizame Muungano wetu vizuri pengine vya watanganyika vinafanywa kuwa vya bure pale mzanzibari anapokuwa rais."
Ile bandar wapewe tu,, hao wanaendesha bandari hadi za marekani,, ufanisi wa bandari ya dubai umewafanya wapate kandarasi za kuendesha bandari mbalimbalo duniani
 
Screenshot_20230222-183445.png
 
1. Mchanganuo wa kwenye tender unaufahamu au una assume Wana replace engine pekee?? Yaani hakuna ukarabati wowote ule mwingine zaidi ya spare pekee??

2. Hapo unasema USD 1 Million inatosha kununua kivuko kipya!!! Yaani Kwa kuwa vifaa ni hiko kiasi basi hakuna cost zingine zozote? Kwa staili hii Kuna siku mtapiga bei ya simenti na kokote mtasema ni million 2 inatosha kujenga shule nzima!!!

3. Hoja pia ni kuhusu bei, kwa taarifa ni kwamba tender za humu ndani walitaka 10 B je kwa muono wako wangepewa usingeona ni ufisadi zaidi?

Nadhani kama hakuna mwenye documents humu then tutakua tunfanya speculation
Hiko kivuko kiligharimu tsh billion 8.5

Kimetengenezwa/kuundwa hapahapa Tanzania na kampuni ya kijerumani M/S Neue Ruhrorter Schiffswerfts. Lakini ata ndani ya nchi kuna taasisi zinaweza fanya hiyo kazi leo.

Kuunda kipya components za engine specification umewekewa kwenye hiyo link niliyoweka unaweza google ukaona bei ya used engine au kuomba quote ya engine mpya from caterpillar wenyewe wanaotengeneza. Kwa engine nne mpya za hilo pantone pamoja na gearbox na hayo ma-propeller sidhani kama yanazidi a million dollar ata kwa bei ya leo.

Sasa gharama kubwa nyingine kwenye direct material costs zinabakia kwenye steel frame. Hii wanatumia ile ile iliyopo vinginevyo kama wanabadili na frame hiko sasa ni kivuko kipya.

Kwa ivyo kama frame ni ile ile gharama zinazobaki baada ya manunuzi ya engine zipo kwenye admin costs ambazo ni labour hours and overhead costs. Na hizo aziwezi justify remaining tsh 5 billion baada ya kununua engine kama gharama za repairs tu za kubadili na kupaka rangi ferry.

Vinginevyo hizo gharama zinakaribikiana na, za kuunda chombo kipya ambapo kuna gharama za ku design, kuagiza chuma, kukata, kuunda (kuchomea), polishing, rangi, viti, wiring and so forth which adds up to so many labour hours costs.

Isitoshe hizo engine zenyewe zina lifespan ya miaka 30 kama wanabadili zote nne ina maana ivyo vivuko havina scheduled maintenance hadi zote kuwa chali.

Kwa kifupi ni overpriced maintenance given direct components na admin costs required on just doing repairs.

Soma link niliyoweka kwenye post uliyo quote uone direct materials za kuunda hiko chombo, tafuta hiyo contract ya matengenezo uone nini kinafanyika on repairs eitherway the price quote is not justified even with educational guess on the costs.
 
Harufu ya "Mashaka" ni Kali, kuliko harufu ya "Ukweli!"

Hoja kwamba Bilioni 8 za miaka ile na Bilioni 7.5 za sasa, thamani ni tofauti sana, sio kweli.
Chukua exchange rate ya wakati ule na exchange rate ya sasa!

Wataalamu wakichambua zile Bil 7.5 za ukarabati wa MV. Magogoni. Walisema hivi:

1. Kile kivuko kinaendeshwa na engine 4.
2. Engine zile ni za caterpillar yaani zile machine kama za kuunda barabara.
3. Engine moja haiwezi zidi mil 350
4. Kwa kukadiria tu engine zote nne ni kati ya bil 1.2 na bil 1.5
5. Hiyo sehemu ya engine ndio project yenye, kubeba gharama kubwa zaidi kuliko sehemu nyinginezo zote.
6. Ukarabati mwingine ni Kukwangua rangi na kupaka mpya, kukarabati viti vyote vya abiria, kubadilisha Raba za milango, Rada nk.

Swali tunalohoji hapo ni:

Kama engine 4 ni kati ya bil 1.2 na 1.5, na matengenezo mengine tuchukulie basi mil 700, je hizi karibia bil 5.3 zinaenda wapi?

Nani yupo nyuma ya upigaji huu?
Nani alipanga matumizi haya akiwa na nani au kamati gani?
Waziri wa fedha anajua hili na aliwajibika kufatilia?
Kwa nini tukatengenezee Kenya wakati tuna Songoro marine ltd mnajaribu kwenda kuficha nini?

Je, TAKUKURU imeingilia kuchunguza sakata hili maana sio kitu cha kawaida na ukisikia minong'ono kibao ujue kuna uwalakini mahali.

Je, hapa si ndio malengo na madhumuni ya kuanzishwa kwa TAKUKURU yangeonekana?

Tafakari na chukua Hatua!
Hili suala sio la kisiasa!
Tunaongelea pesa za walipa kodi na wavuja jasho wa nchi hii.
Tunaongelea Tozo tunazotozwa kila uchao.

#Kataa wahuni

Pia soma bandiko langu la awali kuhusiana na hili sakata!
"Hili la Magogoni Wacha Tutunze Kumbukumbu."
Walimuita magufuli mshamba kwa kuwabana upigaji hela ya umma. Sasa tuko kwenye awamu ya wajanja wenye ruksa kula kwa urefu wa kamba ya mbuzi.🤣😂
 
Suluhisho lilikuwa sio kuikarabati, bali ni kupiga mnada na kununua chombo kingine kipya; wataalamu wa mahesabu kuna kitu huwa wanakiita 'depreciation', kama ilikuwa iko ziro au kukaribia na ziro kuna uwezekano matengenezo yakawa sawa na gharama ya kununua chombo kipya, na kama ilifikia hiyo hatua, matengenezo yalikuwa sio ya lazima.​
Chombo kikidepreciate kwenye vitabu hadi 0 sio sababu ya kukiuza. Kwanza jiulize kwa nini mwingine akinunue.
Ujanja wa kipigaji aina hii ndio ulipelekea vigogo serikalini kujiuzia nyumba za serikali kwa bei sawa na sifuri wakijidai hawaoni thamani ya ardhi zilipojengwa nyumba hizo.
 
Watanzania mmekomalia pesa ya ukarabati kwamba kuna upigaji ilhali hata hamjui hata kwenye manunuzi kulikuwa na upigaji kiasi gani.

Ombeni document za manunuzi ndio mtajua.
 
Hiko kivuko kiligharimu tsh billion 8.5

Kimetengenezwa/kuundwa hapahapa Tanzania na kampuni ya kijerumani M/S Neue Ruhrorter Schiffswerfts. Lakini ata ndani ya nchi kuna taasisi zinaweza fanya hiyo kazi leo.

Kuunda kipya components za engine specification umewekewa kwenye hiyo link niliyoweka unaweza google ukaona bei ya used engine au kuomba quote ya engine mpya from caterpillar wenyewe wanaotengeneza. Kwa engine nne mpya za hilo pantone pamoja na gearbox na hayo ma-propeller sidhani kama yanazidi a million dollar ata kwa bei ya leo.

Sasa gharama kubwa nyingine kwenye direct material costs zinabakia kwenye steel frame. Hii wanatumia ile ile iliyopo vinginevyo kama wanabadili na frame hiko sasa ni kivuko kipya.

Kwa ivyo kama frame ni ile ile gharama zinazobaki baada ya manunuzi ya engine zipo kwenye admin costs ambazo ni labour hours and overhead costs. Na hizo aziwezi justify remaining tsh 5 billion baada ya kununua engine kama gharama za repairs tu za kubadili na kupaka rangi ferry.

Vinginevyo hizo gharama zinakaribikiana na, za kuunda chombo kipya ambapo kuna gharama za ku design, kuagiza chuma, kukata, kuunda (kuchomea), polishing, rangi, viti, wiring and so forth which adds up to so many labour hours costs.

Isitoshe hizo engine zenyewe zina lifespan ya miaka 30 kama wanabadili zote nne ina maana ivyo vivuko havina scheduled maintenance hadi zote kuwa chali.

Kwa kifupi ni overpriced maintenance given direct components na admin costs required on just doing repairs.

Soma link niliyoweka kwenye post uliyo quote uone direct materials za kuunda hiko chombo, tafuta hiyo contract ya matengenezo uone nini kinafanyika on repairs either the price quote is not justified even with calculated guess on the costs.
Muzeye unatisha kinyama.
 
Watanzania mmekomalia pesa ya ukarabati kwamba kuna upigaji ilhali hata hamjui hata kwenye manunuzi kulikuwa na upigaji kiasi gani.

Ombeni document za manunuzi ndio mtajua.
Documents vs uhalisia, ndo issue ilipo muzee.
 
Documents vs uhalisia, ndo issue ilipo muzee.
Tanzania utaambiwa kitu fulani kimenunuliwa bei fulani ila ushahidi haupo ndio maana hadi leo TRA wanapambana na kutaka watu wadai stakabadhi wafanyapo manunuzi.

Umeshakuwa utamaduni bei inashushwa watu wapate cha juu na hakuna stakabadhi halisia.
 
Harufu ya "Mashaka" ni Kali, kuliko harufu ya "Ukweli!"

Hoja kwamba Bilioni 8 za miaka ile na Bilioni 7.5 za sasa, thamani ni tofauti sana, sio kweli.
Chukua exchange rate ya wakati ule na exchange rate ya sasa!

Wataalamu wakichambua zile Bil 7.5 za ukarabati wa MV. Magogoni. Walisema hivi:

1. Kile kivuko kinaendeshwa na engine 4.
2. Engine zile ni za caterpillar yaani zile machine kama za kuunda barabara.
3. Engine moja haiwezi zidi mil 350
4. Kwa kukadiria tu engine zote nne ni kati ya bil 1.2 na bil 1.5
5. Hiyo sehemu ya engine ndio project yenye, kubeba gharama kubwa zaidi kuliko sehemu nyinginezo zote.
6. Ukarabati mwingine ni Kukwangua rangi na kupaka mpya, kukarabati viti vyote vya abiria, kubadilisha Raba za milango, Rada nk.

Swali tunalohoji hapo ni:

Kama engine 4 ni kati ya bil 1.2 na 1.5, na matengenezo mengine tuchukulie basi mil 700, je hizi karibia bil 5.3 zinaenda wapi?

Nani yupo nyuma ya upigaji huu?
Nani alipanga matumizi haya akiwa na nani au kamati gani?
Waziri wa fedha anajua hili na aliwajibika kufatilia?
Kwa nini tukatengenezee Kenya wakati tuna Songoro marine ltd mnajaribu kwenda kuficha nini?

Je, TAKUKURU imeingilia kuchunguza sakata hili maana sio kitu cha kawaida na ukisikia minong'ono kibao ujue kuna uwalakini mahali.

Je, hapa si ndio malengo na madhumuni ya kuanzishwa kwa TAKUKURU yangeonekana?

Tafakari na chukua Hatua!
Hili suala sio la kisiasa!
Tunaongelea pesa za walipa kodi na wavuja jasho wa nchi hii.
Tunaongelea Tozo tunazotozwa kila uchao.

#Kataa wahuni

Pia soma bandiko langu la awali kuhusiana na hili sakata!
"Hili la Magogoni Wacha Tutunze Kumbukumbu."
Bandari ya Bagamoyo itaiua ya Dar....Lakini........ nadhani ni kelele hazina maana
 
Ilikuwa ni open bidding. Huyo Songoro Marine alisema angehitaji Tsh 10 Bilion, kwa hiyo akawa siyo responsive.

Technical wise ndugu commonmwananchi huwezi kuleta balanced argument hapa bila kuweka Tender Document.

Wataalamu wa Procument wanajua tender document ilikuwa inataka ukatabati wa aina gani!!
Kabla ya hapo ukiwahi kuambiwa tatizo ni Nini kwenye hicho kivuko?
Utajuaje kama engine zikikarababtiwa na kuzirudhiia hizohizo na wakasema wameweka mpya?

Je body lilikua limeoza au ?
Maisha yataendelea ila siku mungu akinuna watauina moto wa sodoma
 
Hilo nalo mkalitazame!

Nani wa kulitazama sasa?

Fisi unamuachia bucha halafu unasema suala la nyama kupotea buchani akalitazame?

Upigaji upigaji kila kona
 
1. Mchanganuo wa kwenye tender unaufahamu au una assume Wana replace engine pekee?? Yaani hakuna ukarabati wowote ule mwingine zaidi ya spare pekee??

2. Hapo unasema USD 1 Million inatosha kununua kivuko kipya!!! Yaani Kwa kuwa vifaa ni hiko kiasi basi hakuna cost zingine zozote? Kwa staili hii Kuna siku mtapiga bei ya simenti na kokote mtasema ni million 2 inatosha kujenga shule nzima!!!

3. Hoja pia ni kuhusu bei, kwa taarifa ni kwamba tender za humu ndani walitaka 10 B je kwa muono wako wangepewa usingeona ni ufisadi zaidi?

Nadhani kama hakuna mwenye documents humu then tutakua tunfanya speculation

Na Katiba ya Nchi Imekataza Speculations?
 
1. Mchanganuo wa kwenye tender unaufahamu au una assume Wana replace engine pekee?? Yaani hakuna ukarabati wowote ule mwingine zaidi ya spare pekee??

2. Hapo unasema USD 1 Million inatosha kununua kivuko kipya!!! Yaani Kwa kuwa vifaa ni hiko kiasi basi hakuna cost zingine zozote? Kwa staili hii Kuna siku mtapiga bei ya simenti na kokote mtasema ni million 2 inatosha kujenga shule nzima!!!

3. Hoja pia ni kuhusu bei, kwa taarifa ni kwamba tender za humu ndani walitaka 10 B je kwa muono wako wangepewa usingeona ni ufisadi zaidi?

Nadhani kama hakuna mwenye documents humu then tutakua tunfanya speculation

Na Katiba ya Nchi Imekataza Speculations?
 
1. Mchanganuo wa kwenye tender unaufahamu au una assume Wana replace engine pekee?? Yaani hakuna ukarabati wowote ule mwingine zaidi ya spare pekee??

2. Hapo unasema USD 1 Million inatosha kununua kivuko kipya!!! Yaani Kwa kuwa vifaa ni hiko kiasi basi hakuna cost zingine zozote? Kwa staili hii Kuna siku mtapiga bei ya simenti na kokote mtasema ni million 2 inatosha kujenga shule nzima!!!

3. Hoja pia ni kuhusu bei, kwa taarifa ni kwamba tender za humu ndani walitaka 10 B je kwa muono wako wangepewa usingeona ni ufisadi zaidi?

Nadhani kama hakuna mwenye documents humu then tutakua tunfanya speculation

Na Katiba ya Nchi Imekataza Kufanya Speculations?
 
1. Mchanganuo wa kwenye tender unaufahamu au una assume Wana replace engine pekee?? Yaani hakuna ukarabati wowote ule mwingine zaidi ya spare pekee??

2. Hapo unasema USD 1 Million inatosha kununua kivuko kipya!!! Yaani Kwa kuwa vifaa ni hiko kiasi basi hakuna cost zingine zozote? Kwa staili hii Kuna siku mtapiga bei ya simenti na kokote mtasema ni million 2 inatosha kujenga shule nzima!!!

3. Hoja pia ni kuhusu bei, kwa taarifa ni kwamba tender za humu ndani walitaka 10 B je kwa muono wako wangepewa usingeona ni ufisadi zaidi?

Nadhani kama hakuna mwenye documents humu then tutakua tunfanya speculation

Na Katiba ya Nchi Imekataza Kufanya Speculations?
 
Kingenunuliwa tu kingine kuepusha maneno mengi na ujanja ujanja
Suluhisho lilikuwa sio kuikarabati, bali ni kupiga mnada na kununua chombo kingine kipya; wataalamu wa mahesabu kuna kitu huwa wanakiita 'depreciation', kama ilikuwa iko ziro au kukaribia na ziro kuna uwezekano matengenezo yakawa sawa na gharama ya kununua chombo kipya, na kama ilifikia hiyo hatua, matengenezo yalikuwa sio ya lazima.​
 
Back
Top Bottom