Aaronrweumbiza
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 577
- 711
Uliona wapi USA wakampa bandari mwarabu kuiendesha, acha story za Buza.Hao wa dubai, wanaendesha bandari hadi US,, kiufupi ni wataalamu,, lakini hili la kwamba wanapewaAn
Ile bandar wapewe tu,, hao wanaendesha bandari hadi za marekani,, ufanisi wa bandari ya dubai umewafanya wapate kandarasi za kuendesha bandari mbalimbalo duniani