zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Ukaribu unaua hisia kweli kabisa.
Nadhani imewahi kukutokea hali unampenda mkaka/mdada licha ya kuwa hamfahamiani. Unajikuta unatamani kumwambia ni jinsi gani unavyompenda.
Ila baada ya wewe kuonana naye. Hisia zako kwake zinaanza kupungua kabisa na unajikuta unampotezea au mnabaki kuwa marafiki tu.
Hii inaonesha kuwa ukaribu unaua hisia ndiyo maana huwezi kumpenda kaka yako/dada yako kwasababu mmeshazoeana mnaheshimiana.
Ila unapokuwa mbali vile vichat vilivyoshamiri message za kuchombeza hunogesha penzi.
Hivyo unapo mpenda mdada/mkaka ni heri umwambie mapema kabla hamjajenga ukaribu na kuzoeana sana anaweza kupoteza hisia zake kwako na kukuona kama rafiki yako.
Nadhani imewahi kukutokea hali unampenda mkaka/mdada licha ya kuwa hamfahamiani. Unajikuta unatamani kumwambia ni jinsi gani unavyompenda.
Ila baada ya wewe kuonana naye. Hisia zako kwake zinaanza kupungua kabisa na unajikuta unampotezea au mnabaki kuwa marafiki tu.
Hii inaonesha kuwa ukaribu unaua hisia ndiyo maana huwezi kumpenda kaka yako/dada yako kwasababu mmeshazoeana mnaheshimiana.
Ila unapokuwa mbali vile vichat vilivyoshamiri message za kuchombeza hunogesha penzi.
Hivyo unapo mpenda mdada/mkaka ni heri umwambie mapema kabla hamjajenga ukaribu na kuzoeana sana anaweza kupoteza hisia zake kwako na kukuona kama rafiki yako.