Ukaribu wa Diamond na Wasanii wa Marekani waliochuja una tija yoyote kweli kwa Taifa?

Ukaribu wa Diamond na Wasanii wa Marekani waliochuja una tija yoyote kweli kwa Taifa?

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Alianza kutoa ngoma na Neyo haikufika popote,akaja kwa Rick Rose nako chali,sasa hivi kahamia kwa Swizbeat na Alicia Keys wote zilipendwa,dogo atafute ukatibu na watu wa maana km kina Jayzee na Pdidy,beyonce ambao hata setikali ikiwaomba msaada wa vitabu vya sayansi kimu wanatoa bila masharti..
IMG_20200229_111637_868.jpg
 
Alianza kutoa ngoma na Neyo haikufika popote,akaja kwa Rick Rose nako chali,sasa hivi kahamia kwa Swizbeat na Alicia Keys wote zilipendwa...
Watu wengine bana sijui wakoje

Badala ya kukaa na kuwaza ni jinsi gani maisha haya watatoboa wao kazi yao ni kukaa na kuwaza maisha ya watu wengine wanafikiri kufeli kwao kuna tija ktk maisha yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alianza kutoa ngoma na Neyo haikufika popote,akaja kwa Rick Rose nako chali,sasa hivi kahamia kwa Swizbeat na Alicia Keys wote zilipendwa,dogo atafute ukatibu na watu wa maana km kina Jayzee na Pdidy,beyonce ambao hata setikali ikiwaomba msaada wa vitabu vya sayansi kimu wanatoa bila masharti..View attachment 1372369
Hivi unafatilia mziki kweli?? Unajua uzito wa Swiz na Alicia. ???

nguvu ya anonymous [emoji185]
 
Kila mtu na mtizamo wake wakati wewe huku wa dunia ya tatu unamwona Swizz Kachuja,bilionea Jaz Z, Beyonce, Nas ,Cris Brown wakitaka kutoa album producer wa kwanza kumfikiria,wana mfikiria Swizz.

Utakuta hapo ana kazi kibao za wasanii wakubwa wanao trend billboard ana zifanyia mixing.
 
Watu wengine bana sijui wakoje

Badala ya kukaa na kuwaza ni jinsi gani maisha haya watatoboa wao kazi yao ni kukaa na kuwaza maisha ya watu wengine wanafikiri kufeli kwao kuna tija ktk maisha yao

Sent using Jamii Forums mobile app

Watu wengine bana sijui wakoje

Badala ya kukaa na kuwaza ni jinsi gani maisha haya watatoboa wao kazi yao ni kukaa na kuwaza maisha ya watu wengine wanafikiri kufeli kwao kuna tija ktk maisha yao

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20200229_112650_262.jpg
 
Alianza kutoa ngoma na Neyo haikufika popote,akaja kwa Rick Rose nako chali,sasa hivi kahamia kwa Swizbeat na Alicia Keys wote zilipendwa,dogo atafute ukatibu na watu wa maana km kina Jayzee na Pdidy,beyonce ambao hata setikali ikiwaomba msaada wa vitabu vya sayansi kimu wanatoa bila masharti..View attachment 1372369
Poor people are always so insecure.
 
Alianza kutoa ngoma na Neyo haikufika popote,akaja kwa Rick Rose nako chali,sasa hivi kahamia kwa Swizbeat na Alicia Keys wote zilipendwa,dogo atafute ukatibu na watu wa maana km kina Jayzee na Pdidy,beyonce ambao hata setikali ikiwaomba msaada wa vitabu vya sayansi kimu wanatoa bila masharti..View attachment 1372369
Hiyo nyimbo na NEYO ina viewer wangapi youtube?na unajua wanavyolipa? acha ujinga hebu fanya kazi hata upate mud wa kupiga picha na Amberruty.
 
Back
Top Bottom