Ukaribu wa Diamond na Wasanii wa Marekani waliochuja una tija yoyote kweli kwa Taifa?

Ukaribu wa Diamond na Wasanii wa Marekani waliochuja una tija yoyote kweli kwa Taifa?

Watanzania roho mbaya ndio zinaturudisha nyuma sio watu tu hata media zinachangia.Badala ya kufurahi msanii kutoka nchini kwako anawakilisha nchi nyingine wewe una kazi ya kuponda.Diamond ingawa watu wanamchukulia poa Ila anastahili pongezi kijana amepambana haswa. All the best to him
 
Dah wanabang na meja kunta, domo anadandia makonneksheni
 
Alianza kutoa ngoma na Neyo haikufika popote,akaja kwa Rick Rose nako chali,sasa hivi kahamia kwa Swizbeat na Alicia Keys wote zilipendwa,dogo atafute ukatibu na watu wa maana km kina Jayzee na Pdidy,beyonce ambao hata setikali ikiwaomba msaada wa vitabu vya sayansi kimu wanatoa bila masharti..View attachment 1372369
Wewe Mulaga, si umesema unaenda kupumzisha bichwa lako? Kulikoni tena huku na fake news zako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msanii kutoka Africa 'aliyenusa' tobo la Marekani ni Burnaboy, tena bila collabo.

Hawa wengine ujinga mtupu. Tena ukiona msanii wa US anafanya collabo na msanii wa Afrika ujue ni kama CHARITY tu ( Namna ya kurudisha kwa jamii ).

Maana hakuna faida yoyote atapata kufanya kazi na wewe, ndio maana Rick Ross kwenye wimbo wa Waka Waka kaimba mashairi ya kupromote pombe zake tu, kitu ambacho ni tofauti na maudhui ya wimbo
Huna unalojua.
Kwa taarifa yako nyimbo nyingi za Rick Rose huwa anazungumzia starehe, maisha ya ghetto (uhuni) na kadhalika so kupromote pombe kwenye ngoma ya Mondi haishangazi.
Ulitaka aimbe kuomba barabara kwa Rais!!?? Wenzetu huko walishatoka kitambo, mziki kwao ni starehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
du, watoto wa juzi bhana utawalaumu bure tu, et alicia keys kachuja! thats fun
Alicia hajachuja but lets keep it real hao wengne walobak wamechuja...na hata kukutana na Alicia ni bahat tu itakuwa mchongo wa swizz au amemkuta studio kimazabe....ila miaka 10000 Alicia hawez fanya collabo na mbana pua....naweka mke wangu, tigo yangu na shingo yangu.
Ni sawa uskie collabo ya Celine dion na meja kunta
 
Hao unaosema wamechuja kwa kuwa wako karibu na mondi ndio maana unasema hivyo lkn angekuwa karibu na Jay-Z na p diddy ungesemema mondi yuko karibu na wazee ni wivu tu roho zenu mbaya ndio zilizowajaa kiba kawaambukiza kitu kibaya sana .. yani kama alivyo yeye na mashabiki wake nao wako hivyo hivyo
 
Huna unalojua.
Kwa taarifa yako nyimbo nyingi za Rick Rose huwa anazungumzia starehe, maisha ya ghetto (uhuni) na kadhalika so kupromote pombe kwenye ngoma ya Mondi haishangazi.
Ulitaka aimbe kuomba barabara kwa Rais!!?? Wenzetu huko walishatoka kitambo, mziki kwao ni starehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe takataka akili huna.

Tofautisha aina mashairi na maudhui ya wimbo.

Nakuwekea sample.

1.

2. ( Sasa mashairi ya Rick Ross ndani ya wimbo huu huoni kabisa ni Tangazo )

3.
 
Alianza kutoa ngoma na Neyo haikufika popote,akaja kwa Rick Rose nako chali,sasa hivi kahamia kwa Swizbeat na Alicia Keys wote zilipendwa,dogo atafute ukatibu na watu wa maana km kina Jayzee na Pdidy,beyonce ambao hata setikali ikiwaomba msaada wa vitabu vya sayansi kimu wanatoa bila masharti..View attachment 1372369
Mkuu muombe radhi Alicia halafu kwa info Swizbeat is a producer same as kina Timberland and Dr. Dre ambao kwa sasa ni producers, sijasema wanafanana level ukumbuke hilo but nin producer hata kama hawafanani, na isitoshe kuchuja Swizbeat hakumaanishi Mond naye atachuja, hao ni music legends mkuu hivyo wape heshima yao na tumpongeze kijana wetu, majungu pembeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alicia hajachuja but lets keep it real hao wengne walobak wamechuja...na hata kukutana na Alicia ni bahat tu itakuwa mchongo wa swizz au amemkuta studio kimazabe....ila miaka 10000 Alicia hawez fanya collabo na mbana pua....naweka mke wangu, tigo yangu na shingo yangu.
Ni sawa uskie collabo ya Celine dion na meja kunta
Kwa maelezo yako hapo inaonesha wazi kbs humjui Swizz beats na wala humjui Alicia Keys, achilia mbali Diomond platnumnz, siyo kila kitu lazima u comment, sisi wengine mbona tukikuta mada hatuzijui tunakaa kimya na kujifunza?

Eti wamekutana studio kimazabe SMH.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom