Ukaribu wa Diamond na Wasanii wa Marekani waliochuja una tija yoyote kweli kwa Taifa?

Ukaribu wa Diamond na Wasanii wa Marekani waliochuja una tija yoyote kweli kwa Taifa?

Huna unalojua.
Kwa taarifa yako nyimbo nyingi za Rick Rose huwa anazungumzia starehe, maisha ya ghetto (uhuni) na kadhalika so kupromote pombe kwenye ngoma ya Mondi haishangazi.
Ulitaka aimbe kuomba barabara kwa Rais!!?? Wenzetu huko walishatoka kitambo, mziki kwao ni starehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile nyimbo ni tangazo la belaire
 
Kwa maelezo yako hapo inaonesha wazi kbs humjui Swizz beats na wala humjui Alicia Keys, achilia mbali Diomond platnumnz, siyo kila kitu lazima u comment, sisi wengine mbona tukikuta mada hatuzijui tunakaa kimya na kujifunza?

Eti wamekutana studio kimazabe SMH.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wew umewajulia kupitia hii post utashindana na mm nawajuatokea maunderground?
 
NyuZi za kipuuzi kma hizi kwanini mode mnaziachia mtu hana hata data kamili za watu nae anaachiwa tu kufungua uzi shame on u moderator
 
Alicia hajachuja but lets keep it real hao wengne walobak wamechuja...na hata kukutana na Alicia ni bahat tu itakuwa mchongo wa swizz au amemkuta studio kimazabe....ila miaka 10000 Alicia hawez fanya collabo na mbana pua....naweka mke wangu, tigo yangu na shingo yangu.
Ni sawa uskie collabo ya Celine dion na meja kunta
Kitakupata kitu mkuu unaweka nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia huu uzi nimegundua uwezo wa wabongo wengi kung'amua mambo ni mdogo sana,waliopitia mafunzo ya intelijensia watanielewa zaidi
 
Back
Top Bottom