Ukaribu wa Diamond na Wasanii wa Marekani waliochuja una tija yoyote kweli kwa Taifa?

Inaelekea bado una kunywa uji wa mchele
 
Msanii kutoka Africa 'aliyenusa' tobo la Marekani ni Burnaboy, tena bila collabo.

Hawa wengine ujinga mtupu. Tena ukiona msanii wa US anafanya collabo na msanii wa Afrika ujue ni kama CHARITY tu ( Namna ya kurudisha kwa jamii ).

Maana hakuna faida yoyote atapata kufanya kazi na wewe, ndio maana Rick Ross kwenye wimbo wa Waka Waka kaimba mashairi ya kupromote pombe zake tu, kitu ambacho ni tofauti na maudhui ya wimbo
 
ukiachana na issue ya mauzo aliyopata hadi recognition as first Africa artist kufika hapo.. upande mwingine nyimbo iko hv, utasemaje imebuma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Umeandika PUMBA tupu ....
 
Usishangae wewe ni Mwanaume
 
inatija kwake, coz hao wasanii wana majina makubwa hivyo wana-connection za kutosha.
simba akiwa kama msanii anayeelekea kuwa wakimataifa(kidunia) ameona apitie hapo ili siku zijazo awe na connection na hao uliowata jigga, beyonce, kanye west etc.
 
Mimi mwelewa nadhani Una tija maana mpaka umeamua ku post uku ina maana unamfatilia na pia unangojea uskie nini kitapakuliwa,

Ungepotezea ina maana nonsense,
Ila unaleta na uzi uku something is crushing ur heart.
Sina team jaman ata kiba namkubali sana
 
Hana lolote zaidi ya kujipendekeza mwisho apate corona huko ishiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Team Kiba [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…