Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

Status
Not open for further replies.
Kama ugomvi chanzo ni mchango wa harusi namuunga mkono Le Mutuz.. Mimi nishazinguana na washikaji kibao kisa michango ya harusi, unakuta mtu anakupangia mpaka kiasi cha kutoa ooh elfu 80 haitoshi wewe ni mwanangu nichangie kilo 2 wakati mara ya mwisho kuwasiliana ni graduation ya form 4 kaanza kukutafuta akichange cha harusi.

ishanikuta hii last week
mtu katutafuta hadi facebook!
mi uzuri sipo facebook ila akapewa no yangu
kumbe anatangaza ndoa bwana!
wabongo bwana sijui tukoje
 
PISTO LERO

- Well, ninalipeleka mahakamani tayari lipo kwenye mchakato wa kuelekea kwenye Sheria so nimeambiwa nisiliguse nitaharibu Sheria, otherwise this has been a big shock kwangu cause simfahamu kabisa huyu mtu, sasa ninalishitaki gazeti lililoandika hizi habari.

Le Mutuz
 
Last edited by a moderator:
- Well, ninalipeleka mahakamani tayari lipo kwenye mchakato wa kuelekea kwenye Sheria so nimeambiwa nisiliguse nitaharibu Sheria, otherwise this has been a big shock kwangu cause simfahamu kabisa huyu mtu, sasa ninalishitaki gazeti lililoandika hizi habari.

Le Mutuz

Wewe jamaa unafurahisha sana!niliona unatetea sheria ya mtandao na ukadai wewe haikutishi unaandika facts lakini juzi kwenye ki blog chako nimeona umeendika au umecopy kwamba Jack Chan amekufa!na naona unaweka picha za kudhalilisha wanawake unazotoa Instagram,Sikuamini nilipoambiwa wewe ni mkubwa kuliko Yule dada Mgombea Urais
 
Wewe jamaa unafurahisha sana!niliona unatetea sheria ya mtandao na ukadai wewe haikutishi unaandika facts lakini juzi kwenye ki blog chako nimeona umeendika au umecopy kwamba Jack Chan amekufa!na naona unaweka picha za kudhalilisha wanawake unazotoa Instagram,Sikuamini nilipoambiwa wewe ni mkubwa kuliko Yule dada Mgombea Urais

Jamaa ni babu kabisa,sema siunajua familia za kubanwa banwa so kaanza kuwa free recently...
 
- Ila huna mashaka na wewe mwenyewe kwa kutumia jina la bandia na picha ya bandia kupima akili za wengine usiowajua hahahahahahahahaham only in JF ndio unaweza kukuta akili kama zako mkuu hahahahaha

Le Mutuz

Tafsiri ya elimu ni matendo.
 
- Ila huna mashaka na wewe mwenyewe kwa kutumia jina la bandia na picha ya bandia kupima akili za wengine usiowajua hahahahahahahahaham only in JF ndio unaweza kukuta akili kama zako mkuu hahahahaha

Le Mutuz

Sasa Mkuu hapa umeongea nini sasa? unaelewa dhumuni la mtandao huu kutoa options za watu watumie majina mengine mbali na ya kwao halisi tu? wewe umetumia real names na picha yako halisi just becouse watu wakuofie kua wewe na mtoto wa Malecela na vile vile unataka public sympath tu, huku ukizani kuna immunity utakua unapata, ndio ilikua intention yako, ngoja nikuulize kitu mkuu, unazani watu wote hawa wanaotumia majina na picha bandia ni wajinga kiasi icho? unazani wewe unawazidi akili watu wote hao? kaa ujifikirie kabla ya kua unaongea pumba kama hizi, mbona humu kuna viongozi wengi sana wa serikali na wanatumia majina bandia?
 
Karibia watu wote humu wanamdharau lemutuz ila ye alioni ilo, amegeuka kua kichekesho, ajabu yake ye kakazania tu 'You Know', yaani ni jamaa yuko poor sana kwenye reasoning, ukiiangalia account yake ya instagram utacheka sana ze way anavyoigiza kila kitu, huyu jamaa ana psychology trauma.
 
Wewe jamaa unafurahisha sana!niliona unatetea sheria ya mtandao na ukadai wewe haikutishi unaandika facts lakini juzi kwenye ki blog chako nimeona umeendika au umecopy kwamba Jack Chan amekufa!na naona unaweka picha za kudhalilisha wanawake unazotoa Instagram,Sikuamini nilipoambiwa wewe ni mkubwa kuliko Yule dada Mgombea Urais

- Ina maana wewe ni kijana mdogo sana mwenye akili nyingi na nzuri sana lakini kumbe unaingia kwa mwenye blog ya mtu kama mimi asiye na akili na mwenye umri mkubwa kuliko wewe? that is wasap maaan hahahahahahahahah

Le Mutuz
 
Jamaa ni babu kabisa,sema siunajua familia za kubanwa banwa so kaanza kuwa free recently...

- Nimeenda Majuu nikiwa 17 nimerudi bongo 30 years after, unasema nilikuwa ninabanwa? hahahahahaha muwe mnauliza kwanza kabla ya kukurupuka aibu hii mtumzima hahahahahahahah

Le Mutuz
 
- Nimeenda Majuu nikiwa 17 nimerudi bongo 30 years after, unasema nilikuwa ninabanwa? hahahahahaha muwe mnauliza kwanza kabla ya kukurupuka aibu hii mtumzima hahahahahahahah

Le Mutuz

Pole sana babu
 
Tafsiri ya elimu ni matendo.

- Sawa sawa Elimu ni matendo kama ya kuingia hapa kwa jina na ID zangu kamili ndio maana ya kuwa na elimu kujua kwamba hakuna anayeweza kukusikiliza kwa kulalamika ukitumia majina ya bandia, Elimu ni kujiajiri mwenyewe na kuwa na Ofisi yako na kutoa ajira kwa wengine kama ninvyofanya, Elimu ni kuishi mwenyewe kwa kujitegemea bila kutegemea familia au wazazi kama ninavyofanya,

- Ila ninakataa kata kata Elimu haiwezikuwa kuingia JF kwa majina ya bandia kutukana watu usiowajua kama hiyo ndio maana ya Elimu siiitaki tena hahahahahaha

Le Mutuz
 
Sasa Mkuu hapa umeongea nini sasa? unaelewa dhumuni la mtandao huu kutoa options za watu watumie majina mengine mbali na ya kwao halisi tu? wewe umetumia real names na picha yako halisi just becouse watu wakuofie kua wewe na mtoto wa Malecela na vile vile unataka public sympath tu, huku ukizani kuna immunity utakua unapata, ndio ilikua intention yako, ngoja nikuulize kitu mkuu, unazani watu wote hawa wanaotumia majina na picha bandia ni wajinga kiasi icho? unazani wewe unawazidi akili watu wote hao? kaa ujifikirie kabla ya kua unaongea pumba kama hizi, mbona humu kuna viongozi wengi sana wa serikali na wanatumia majina bandia?

- Nilishasema na ninarudia kuacha watu wawili tu humu ndani Mwanakijiji na Invisible ambao ninawasamehe kutumia majina ya bandia, wengine wote ni kweli ninawazidi akili as long as unaingia hapa kwa majina ya bandia NINARUDIA TENA NINAKUZIDI AKILI, ninatumia jna na ID zangu kamili to make money,

- Na again ni kwa sababu simuhofii yoyote hata ukiwa na jina bandia cause naandika FACTS huwa sina muda wa majungu majungu na ndio maana ninapata pesa nyingi from Social Media ni kwa sababu ya kuongea FACTS, pole sana Mwanaume mzima unaogopa kutumia jina lako kamili unawaambia nini watoto na familia yako kwamba ukitaka kusema ukweli jifiche jina kwanza? hahahahahaha ungenyamaza si ungeonekana una akili mkuu au? hahahahahahahaha

Le Mutuz
 
Karibia watu wote humu wanamdharau lemutuz ila ye alioni ilo, amegeuka kua kichekesho, ajabu yake ye kakazania tu 'You Know', yaani ni jamaa yuko poor sana kwenye reasoning, ukiiangalia account yake ya instagram utacheka sana ze way anavyoigiza kila kitu, huyu jamaa ana psychology trauma.

- Unasema ninatakiwa nijiue kwa sababu ninadharauliwa na watu wenye majina ya bandia? hahahahahahahah yaani sijawahi kuona mtu mjinga kama wewe mkuu hahahahahahaha kwenye Instagram ya mtu unayemdharau unatafuta nini kama sio mnafiki na mjinga? hahahahahahah

Le Mutuz
 
- Pole jipe mwenyewe super mburulazzz with no brain, mkuu hiki kichwa ni Computer machine chezea wajinga wenzako sio mimi ninaajiri watu kama wewe hapa mjini, ok hahahahahahaha

Le Mutuz

Kwendraaaaaaaaaa mr misifa ww, limevimbiana mashavu kwa sababu ya kupenda kula tena vya kualikwa tu, kila cku at le mualikozz u know. Unapenda offer we mzee utaolewa mjini hapa.
Eti akili kubwa akili kubwa utakua hihihihiiii.... mwili mkubwaa akili nukta kazi kubishana na watoto wadogo. Libayaa kama nyumbu.
 
- Nilishasema na ninarudia kuacha watu wawili tu humu ndani Mwanakijiji na Invisible ambao ninawasamehe kutumia majina ya bandia, wengine wote ni kweli ninawazidi akili as long as unaingia hapa kwa majina ya bandia NINARUDIA TENA NINAKUZIDI AKILI, ninatumia jna na ID zangu kamili to make money,

- Na again ni kwa sababu simuhofii yoyote hata ukiwa na jina bandia cause naandika FACTS huwa sina muda wa majungu majungu na ndio maana ninapata pesa nyingi from Social Media ni kwa sababu ya kuongea FACTS, pole sana Mwanaume mzima unaogopa kutumia jina lako kamili unawaambia nini watoto na familia yako kwamba ukitaka kusema ukweli jifiche jina kwanza? hahahahahaha ungenyamaza si ungeonekana una akili mkuu au? hahahahahahahaha

Le Mutuz

Mkuu Capacity ya mtu au watu haipimwi kwa majina, ni its regardless whether ni id fake or original, kitu kinacho matter ni facts na logic, ambavyo wewe hapo haujabahatika kua navyo, ni icho tu ndicho ambacho hukijui, mkuu wewe huna logic zaidi ya kucheka cheka na kujisifia tu, hivi sio vita mkuu tunaeleweshana tu mkuu au vp?
 
Mimi huwa sichangii harusi, kitchen party n.k, ninachochangia ni mambo muhimu ambayo bila pesa hayaendi kama ugonjwa, ada n.k lkn harusi bila sherehe unafunga ndoa tusisumbue watu jamani. Le mutus yupo sahihi kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom