William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Haujaitwa ulijipeleka maana we babu kwa kujipendekeza upo vizur sana. Jina fake unauhakika? Najivunia kuitwa mama Collins ndo maana nimelitumia wala cyo jina fake.
Na hatuwez kuitwa wote kufanyiwa interview ila wenye viherehere kama ww ndo mnaonekana wa kwanza na kujipendekeza juu.
Cyo kila anaetumia jina tofauti ni fwala kama ww,watu tuko hapa ni wa maana sana tu ila kwa vile hatupendi show off za kipumbavu kama ww ndo mana 2natulia kimya kuwachora viherehere kama ww madebe matupu
- Kati ya wajinga ni;liowahi kuwaona duniani hakuna nayekuzidi, wewe huwezi kuitwa kwenye national Tv kwa sababu huna akili ungekuwa nayo ungetumia jina lako kamili kama mimi so wananiita mimi akili kubwa kukuwakilisha akili ndogo maana ujasiiri wa kuingia hapa kwa jina lako huna, hahahahahahaha
- Unachojua ni matusi ya kizamani yalisha expire loong time ago, sisi tunatumia akili tunatengeneza pesa hapa mjini na matokeo yanaonekana tunawaachia wajinga kama wewe mtufuatilie maisha yetu na kwa sababu hamna maendeleo mnaishia kulia lia kujipendekeza kama ni rahisi jaribu na wewe hahahahaha le mburulazzzz
Le Mutuz