William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Nilikua bado sijaamini kua una akili ya kitoto lakini hapa nimeamini.
Hahahaha! we ni gunius man! majibu yako yanawakimbiza hawana cha kuliza tena!
Hahahaa washakutana pwagu na pwaguzi utapenda
Hivi kupiga picha na mabilionea kunaongeza nini ?? Msaada pls
- hahahahahahaha umekuja mbio kunichangia hahahahahaha U know naona hamna kitu hapa ok mkinihitaji tena nifahamisheni ila punguzeni umbeya watoto wa kiume nyie hapa ni mjini shauri lenu hahahahahahha
Le Mutuz
- Kapuku hudhani wengine wote ni kama yeye hahahahaha sawa na mlevi hahahaha
Le Mutuz
Mkuu kwanini unapenda kucheka cheka kila post?
Too much laughing inapunguza thinking capacity!!
Ujinga mtupuu...
mtu akinuna kwenye post unamtambua kumbe?- So ukinuna kwenye post inaongeza thinking capacity hahahahahahahaah hahahahahahahahahhahahahah
Le Mutuz
- Le Mucongoz amerudi kwao last week alikuwa Kampala now amerudi kwao sikuzidi ni rafiki yangu wa karibu sana ndio maana hata sasa yupo kwao tunawasiliana na Mama yangu alipokuwa mgonjwa alinitumia msaada mzito sana kama wengine hapa, kuhusu Seky nenda kwenye instagram yangu tafuta spost niliyoitolea shukrani ya walionisaidia kumuuguza mama yangu nani nilimtaja wa kwanza kama sio Seki, pole sana maisha yamekushinda hapa mjini rudi kwenu mtazusha zusha maneno hapa sisi tunaendelea na maisha, hahahahahahaha U know pole sana mtuwanguzzz
Le Mutuz
- hahahahaha nimeshapewa Complimentary tickets za Tarehe Moja Mliman City, unadhani unaweza kujipendekeza Diamond na Zari wakakupa bure? hahahahahahaha
Le Mutuz
Kumbe kumtibu mama yako ni mpaka upitishe mchango.
Kweli nimeamini bado mtoto
mtu akinuna kwenye post unamtambua kumbe?
Una akili sana mzee..
Teh Teh Teh kwa hiyo we ulijipendekeza ukapewa kwa kutoa nn :what::what:
Just simple question😎
Anapiga hela mwenzenu....
Halafu nyinyi mnavohangaika naye ndo mnamfacilitate.
Hahahahaaa!- hahahahahaha si hapo umeandika umenuna au? huoni kwamba unaonekana una akili sana maana umeandika umenuna hahahahahahahah
Le Mutuz