William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Nilikua bado sijaamini kua una akili ya kitoto lakini hapa nimeamini.
- Nikikuomba unilipie maisha yangu njoo hapa useme haya otherwise nyamaza tu maana umeandika nonesense watoto hawana ofisi hapa Posta Mpya hahaha nenda ulizia rent ni kiasi gani per square meter ndio utajua kama kuna watoto hapa mjini utoto ni kutumia majina ya bandia kutukana watu kwenye mitandao tena usiowajua ndio utoto hahaha
Le Mutuz