Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

Status
Not open for further replies.
labda le mutuz aweke wazi kinagaubaga anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato ili tujue kweli yuko juu au ndo anasubir mzee tu akichukuliwa na muumba akarithi....... otherwise watu hawataach muona anajipendekeza kwa wenye nazo kwa ajili ya financila gain tu au aonekane tu wako level moja kumbe tofauti kabisa!!!
 
labda le mutuz aweke wazi kinagaubaga anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato ili tujue kweli yuko juu au ndo anasubir mzee tu akichukuliwa na muumba akarithi....... otherwise watu hawataach muona anajipendekeza kwa wenye nazo kwa ajili ya financila gain tu au aonekane tu wako level moja kumbe tofauti kabisa!!!

- Ofisi yangu ipo downtown Tancot House 2nd fl, namba yangu ya simu +255 717 618 997 kama ninahitaji kujibu bishara zangu kwako njoo mkuu nakukarisbisha sana hahahahahahahah

Le Mutuz
 
Wee ni kweli unafanya hiyo biashara, naelewa fika dhumuni lako la kujitutumua kujaribu kukana hapa.

- Ina maana moja tu kwamba nilishawahi kukukuuza wewe si ndio mamen hahahahahahahahahhaa sasa kwa nini usiweke ushahidi maana nilipokuuza si kulikuwa na evidence au? hahahahaha

Le Mutuz
 
Teh....teh!!!! Le mutuz kaja.....leo kazi kwenu mnaochokoza akili kubwa.
 
Teh....teh!!!! Le mutuz kaja.....leo kazi kwenu mnaochokoza akili kubwa.

- hahahahaha nimeshapewa Complimentary tickets za Tarehe Moja Mliman City, unadhani unaweza kujipendekeza Diamond na Zari wakakupa bure? hahahahahahaha

Le Mutuz
 
- hahahahaha nimeshapewa Complimentary tickets za Tarehe Moja Mliman City, unadhani unaweza kujipendekeza Diamond na Zari wakakupa bure? hahahahahahaha

Le Mutuz

Hivi wewe mpaka uanze kuwa na mapengo ndio utatambua kwamba ni mzee na unatakiwa ujiheshimu, sasa mcheko wote huo ni kwa sababu tuu ya kupewa komplimentari na Diamond. Mbona kuna watu wa kawaida tuu wamepewa pia.
 
duuuh watoto wa le mutuz nao wana hasara kuwa na baba kama huyu anaejisifia kupewa ticket na kina diamond/zari.kwa umri wake that will be the last thing to go public.. kua mwana umri mkubwa huo eboo.
 
- Sikusema jina lake la mwisho kwa sababu ni mtu ambaye hapendi publicity, ila kama unamjua Ben Mulokozi then unatakiwa kujua anaishi wapi sidhani kama anaishi Kinyerezi

Le Mutuz

Ha ha ha ha Le mbululaz, U mean Kinyerezi kwenye mjengo wako ma-super bilioneaz hawakai?
 
duuuh watoto wa le mutuz nao wana hasara kuwa na baba kama huyu anaejisifia kupewa ticket na kina diamond/zari.kwa umri wake that will be the last thing to go public.. kua mwana umri mkubwa huo eboo.

- So ina maana Makampuni makubwa yote yaliyonunua meza zote za Tsh. Millioni 3 na Millioni moja yanamilikiwa na watoto wadogo au wamewanunulia ma CEO wao ambao ni watoto wadogo? hahahahahaha mburulazzzz bwana akili hamna kabisa naomba nianzishe shule hapa maana this is way too low kujadili na watu wenye akili ndogo sana namna hii hahahahahaha

Le Mutuz
 
Hivi wewe mpaka uanze kuwa na mapengo ndio utatambua kwamba ni mzee na unatakiwa ujiheshimu, sasa mcheko wote huo ni kwa sababu tuu ya kupewa komplimentari na Diamond. Mbona kuna watu wa kawaida tuu wamepewa pia.

- So una maana una mapengo ndio maana unajiheshimu sana kwa kuja JF kwa kutumia majina ya bandia kutukana watu usiowajua wala kukujua ndio busara za uzee na mapengo hizo? hahahahahahahaha

Le Mutuz
 
WatakuelewA tu babu.. @W.J. Malecela hawajui kama wao ni Le Mbululaz na wewe ndio King wao


Salute Le Mukubwaz..

Sa hv una umri gani vile? Besdei lini uwape complimentary
 
WatakuelewA tu babu.. @W.J. Malecela hawajui kama wao ni Le Mbululaz na wewe ndio King wao


Salute Le Mukubwaz..

Sa hv una umri gani vile? Besdei lini uwape complimentary

- College tulifundishwa kuwa balanced maana yake ni kwamba ukitaka kujua umri wa mtu kwanza unataja wako na sababu and then ndio unakuwa na haki ya kuuliza wengine, au?

Le Mutuz
 
- So una maana una mapengo ndio maana unajiheshimu sana kwa kuja JF kwa kutumia majina ya bandia kutukana watu usiowajua wala kukujua ndio busara za uzee na mapengo hizo? hahahahahahahaha

Le Mutuz

Hahahaa. Kama una akili utakua nayo kiduchu sana, na kama ni nyingi basi itakua imeganda kabisa. Hivi halafu hiyo miaka thelathini nje ya nchi ulikua ukiishi na watu timamu kabisa? Hahahaa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom