Kadhia imeletwa na M23 wanaungwa mkono na Wanyamulenge . Hawa M23 wanaua makabila mengine Kila Leo. Wakiuwawa wao inakua Genocide..Shit!!
..This is ugly and crazy.
..SADC na EAC waingilie kati kusitisha vitendo hivi vya kikatili na kinyama.
..Naamini wanajeshi ambao ni NEUTRAL wanatakiwa kwenda huko kuhakikisha kuna AMANI.
Ila hili Lilitegemewa hapa ndio watazidi kumpa Kagame justification kuvamia Kivus na Ituri. Na Hilo likitokea naona itakua ni 3rd Congo war na hao wacongo watajuta kuzaliwa.
Mimi ni mtusi wa karagwe Tanzania ila kiukweli hata sisi tumeua sana Wahutu toka kagame alipochukua madaraka to be honestMa Hutu yana roho mbaya wanaua watutsi
Hawezi na sio rahisi kama unavyofikiriaIla hili Lilitegemewa hapa ndio watazidi kumpa Kagame justification kuvamia Kivus na Ituri. Na Hilo likitokea naona itakua ni 3rd Congo war na hao wacongo watajuta kuzaliwa.
anaukata na meno sio kuramba bossAisee jamaa analamba uume wa mwenzie, hatari sana huko
Kaweza 1996Hawezi na sio rahisi kama unavyofikiria
Ni halali watoke Congo warudi kwao hao hawajivui gamba Bora warudi kwao tu, miaka ijayo hapa kwetu wale ambao Kikwete aliwapa uraia watatesa kizazi Cha baadae kamq ilivyo DRC hukoSisi wanadamu ni viumbe wa ajabu sana MUNGU katuumba na akili timamu ya kujitabua lipi jema na lipi ni baya.
DRC ni sehemu iliyotawaliwa na mauaji tangu miaka ya 90 ila mpaka leo hakuna Juhudi zozote za kuzuia mauaji hayo. Hata mwezi uliopita watu waliuawa zaidi ya 100 eneo ya Kishishe na m23.
Sasa kuna mauaji wanaendelea sasa DRC yaliaanza mwaka 2017 mpaka sasa bado wanaendelea.
Ni watu wenye asili ya Tutsi wanaitwa Banyamulenge, wanauawa na kupigwa mpaka HURUMA.
Wacongo wao wanaamini hawa watu ndo chanzo cha matatizo yote huko congo. KINACHOENDELEA ni kuwafukuza na KUMWAMBIA warudi warudi Rwanda na asilimia kubwa ya hao watu wamezaliwa Congo ila walihamia miaka ya nyuma sana DRC kutoka Rwanda na baadhi Burundi.
View attachment 2460037
Huyo ni Doctor kauawa kinyama sana na alikaribia kufunga ndoa mpakani.
View attachment 2460038View attachment 2460039
Na wengine still wanauawa
View attachment 2460040
mbona sijawahi kukuona wa maeneo gani hapo Kayanga au wapiMimi ni mtusi wa karagwe Tanzania ila kiukweli hata sisi tumeua sana Wahutu toka kagame alipochukua madaraka to be honest
We sio mtutsi hamna mtusi kaua mhutuMimi ni mtusi wa karagwe Tanzania ila kiukweli hata sisi tumeua sana Wahutu toka kagame alipochukua madaraka to be honest
I done seen some wild shit in my days, but this is up thereChuki Mbaya. tribalism View attachment 2460064
Kwahiyo unaunga mkono mauaji haya yanayotokea?Mimi ni mtusi wa karagwe Tanzania ila kiukweli hata sisi tumeua sana Wahutu toka kagame alipochukua madaraka to be honest
Siungi mkono ila Watusi mabingwa wa kulalamika kuliko Wahutu!!!!Sio watusi pekee wanaouawa DRC hata wahutu wanauawa sana na banyamulenge (Watusi wazawa wa DRC)!!!!!Jamii zote zina makosa sio wahutu pekee au wabantu wa DRC!!!!Sema Watusi hatupendagi kuzungumza ukweli wakati mwingiKwahiyo unaunga mkono mauaji haya yanayotokea?
Sio kayanga ni hapo chini mgakorongo kaka!!!!!Sema naishi dar ndugu yangumbona sijawahi kukuona wa maeneo gani hapo Kayanga au wapi
Hakuna mtutsi wa Karagwe, wewe ni mkimbizi.Mimi ni mtusi wa karagwe Tanzania ila kiukweli hata sisi tumeua sana Wahutu toka kagame alipochukua madaraka to be honest
Lengo la hii habari ni nini? Kwamba tuamini wacongo wakorofi, tuwaonee huruma hao wanyamulenge au ni kutaka kutuaminisha watutsi na Rwanda sio chanzo chanzo cha mauaji na vita kupitia M23?Sisi wanadamu ni viumbe wa ajabu sana MUNGU katuumba na akili timamu ya kujitabua lipi jema na lipi ni baya.
DRC ni sehemu iliyotawaliwa na mauaji tangu miaka ya 90 ila mpaka leo hakuna Juhudi zozote za kuzuia mauaji hayo. Hata mwezi uliopita watu waliuawa zaidi ya 100 eneo ya Kishishe na m23.
Sasa kuna mauaji wanaendelea sasa DRC yaliaanza mwaka 2017 mpaka sasa bado wanaendelea.
Ni watu wenye asili ya Tutsi wanaitwa Banyamulenge, wanauawa na kupigwa mpaka HURUMA.
Wacongo wao wanaamini hawa watu ndo chanzo cha matatizo yote huko congo. KINACHOENDELEA ni kuwafukuza na KUMWAMBIA warudi warudi Rwanda na asilimia kubwa ya hao watu wamezaliwa Congo ila walihamia miaka ya nyuma sana DRC kutoka Rwanda na baadhi Burundi.
View attachment 2460037
Huyo ni Doctor kauawa kinyama sana na alikaribia kufunga ndoa mpakani.
View attachment 2460038View attachment 2460039
Na wengine still wanauawa
View attachment 2460040
aah sawa nipo hostel za Kanisa katoliki hapa kayangaSio kayanga ni hapo chini mgakorongo kaka!!!!!Sema naishi dar ndugu yangu
Mipaka aliweka mkoloni kaka!!!Babu zangu wa mwanzoni waliingia karagwe miaka ya 1700,s!!!Enzi hizo zilikuwapo flame nyingi nyingi ik I we po himaya inaitwa Karagwe!!!!!Mipaka waliweka wajerumani sasa ukimbizi wangu ni UPI????Waangaza,Wanyambo,Wahaya na Wanyankole na Wanyoro utawazungumziaje????Au hujui historia ya makabila ya mpakani mdogo wangu???Hakuna mtutsi wa Karagwe, wewe ni mkimbizi.
Mimi ni pale mugakorongo round about karibu na kwa mzee kazimoto kakaaah sawa nipo hostel za Kanisa katoliki hapa kayanga