SIRE
Senior Member
- Feb 20, 2022
- 127
- 217
Mimi siungi mkono kinachoendelea Congo. Siungi mkono vita na chuki za kikabila vinavyoendelea Congo. Tuwe na mtazamo chanya wa kibadili hali ya Africa. Africa wote ni ndugu.
Hakuna race yeyote iliyobora kuliko nyenzake. Sio watusi wala sio wayahudi. Hii ni dhana imeletwa na watu wenye akili ili kututawala kirahisi.
Hakuna race yeyote iliyobora kuliko nyenzake. Sio watusi wala sio wayahudi. Hii ni dhana imeletwa na watu wenye akili ili kututawala kirahisi.