Ukatili DRC: Genocide against Banyamulenge on progress

Ukatili DRC: Genocide against Banyamulenge on progress

Rwanda wananchi hawana power yeyote na hadi viongoz pk anachagua wanaomwogopa tuu...
Angalia baraza lake la mawazir madem wengi na kaz yao ni kupokea maelezo toka kwa pk..
Rwanda is a one man show
Tanzania ndiko MAJORITY wana POWER au mi sijakuelewa?
 
Duuuh,aisee kuna binadam makatili sana.

Hii inatisha sana
 
Sisi wanadamu ni viumbe wa ajabu sana MUNGU katuumba na akili timamu ya kujitabua lipi jema na lipi ni baya.

DRC ni sehemu iliyotawaliwa na mauaji tangu miaka ya 90 ila mpaka leo hakuna Juhudi zozote za kuzuia mauaji hayo. Hata mwezi uliopita watu waliuawa zaidi ya 100 eneo ya Kishishe na m23.

Sasa kuna mauaji wanaendelea sasa DRC yaliaanza mwaka 2017 mpaka sasa bado wanaendelea.
Ni watu wenye asili ya Tutsi wanaitwa Banyamulenge, wanauawa na kupigwa mpaka HURUMA.

Wacongo wao wanaamini hawa watu ndo chanzo cha matatizo yote huko congo. KINACHOENDELEA ni kuwafukuza na KUMWAMBIA warudi warudi Rwanda na asilimia kubwa ya hao watu wamezaliwa Congo ila walihamia miaka ya nyuma sana DRC kutoka Rwanda na baadhi Burundi.

View attachment 2460037
Huyo ni Doctor kauawa kinyama sana na alikaribia kufunga ndoa mpakani.

View attachment 2460038View attachment 2460039
Na wengine still wanauawa
View attachment 2460040
Shida ya hao wanyarwanda wanaonekana Ni pandikizi za Rwanda ili kuisumbua Congo Kama ambavyo wako kwenye mission ya Kutaka eneo la Eastern DRC kuwa sehemu ya Rwanda..

Sasa hii haitawezekana na itaendelea kuitesa Congo Miaka na Miaka.

Kinachotakiwa hao Watusi wa Kongo waishi Kama raia wa Kongo sio kuwa Kama raia wa Rwanda kwenye Nchinya watu..

Kumbuka hili kabila la watutsi wanajivuna Sana na wanatazamwa Kama adui popote pale Afrika walipo..

Hata hapa Tanzania huwa Kuna nyuzi za kuwasema so hawaaminiki popote.
 
Pengine swali liwe kwa nini yanawatokea wao (Tutsi)?
Hiyo jamii haiaminiki popote Duniani na kiukweli wanatakiwa kujitathmini..
Kama wanauawa warudi kwao Rwanda sio Kuwa M23 kwenye Nchi ya watu watawatafuta kote..

Ingawa kiukweli ikitokea genocide nyingine watakaothirika Ni wacongo zaidi maana hao jamaa tayari Wana uwezo wa Kijeshi kupitia M23/Rwanda
 
Nimehuzunika sana, kwanini sisi waafrika tupo hivi..? Dah ila hao wanaowatesa hao tutsi nilazima wanahoja zao za msingi, hakuna mtu anazuka aanze kutesa mtu mwingine

Paka shume wa kigali hii ni wakeup call, jitathmini
Hujasoma hustia wewe,hii Dunia imeputia ukatili huu Cha Mtoto,huko kwa Wazungu ndio balaa au nenda hata Ukraine hapo uone kinachoendelea kwenye vita
 
Rais wao ndio anawaharibia sio kwamba warwanda wote wanaakili ya kikima ka ya rais wao...
Mfano warwanda walokuja tz miaka ya nyuma huko hapa tz hawapendi kujiita watutsi hata kidogo wengi ukiwauliza wanakwambia makabila ya kanda ya ziwa ila sio watutsi...
Kagame ndio chanzo cha hawa watu kuchukiwa kila kona
 
Hiyo jamii haiaminiki popote Duniani na kiukweli wanatakiwa kujitathmini..
Kama wanauawa warudi kwao Rwanda sio Kuwa M23 kwenye Nchi ya watu watawatafuta kote..

Ingawa kiukweli ikitokea genocide nyingine watakaothirika Ni wacongo zaidi maana hao jamaa tayari Wana uwezo wa Kijeshi kupitia M23/Rwanda
Hilo kabila kagame anawabrain wash sana shauri yao ....
Wanapenda kujiona wa maana wakati hakuna cha maana walichonacho maana hata kichwan ni wakawaida sana sa sijui kinachofanya wajipe kichwa ni nn??? Ka sio kujazwa ujinga na pk ..
M natamani cku wajichanganye tena
 
Back
Top Bottom