Ukatili huu wanaoufanya GSM dhidi ya Yanga SC haukubaliki; wana-Yanga tuungane kuupinga

Ukatili huu wanaoufanya GSM dhidi ya Yanga SC haukubaliki; wana-Yanga tuungane kuupinga

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Wanayanga hivi kweli sisi ni wakupewa 1300 kwa kila mauzo ya jezi moja?

Kwa data nikizonazo msimu huu tumeuza jumla ya jezi 100,000/-

Hembu tufanye mahesabu ya haraka hapa

35,000 kwa jezi moja zidisha 100,000 idadi ya jezi tulizouza msimu huu = 3.5 billion

Haki kila mauzo ya jezi moja inayoingia clabuni kwetu 1300 zidisha 100,000= 130,000,000 million. Huu ni wizi hii haikibaliki.

CF7BE134-7037-43C7-B59F-02D5DC5B9DEC.jpeg
 
Hizo jezi unafikiri yeye anatengeneza bei gani? Au unadhani anazichimba bure na hiyo 35,000 ukiondoa hiyo 1300 zinakwenda kwake?
Nini maana ya brand ya timu kama hakuna faida yeyote tunayoipata
 
GSM huyu Simba lialia mnafikiri kaja Yanga kuuza sura? Mnafurahia Yanga kufika fainali mnafikiri ni mauzo ya jezi zenu? Ngoja aondoke mrudie kutembeza bakuli tena. Mpira ni biashara,anatengeneza hela na nyie mnapata mataji na kusherehekea,hakuna kitu cha bure dunia hii.
 
Wanayanga hivi kweli sisi ni wakupewa 1300 kwa kila mauzo ya jezi moja?

Kwa data nikizonazo msimu huu tumeuza jumla ya jezi 100,000/-

Hembu tufanye mahesabu ya haraka hapa

35,000 kwa jezi moja zidisha 100,000 idadi ya jezi tulizouza msimu huu = 3.5 billion

Haki kila mauzo ya jezi moja inayoingia clabuni kwetu 1300 zidisha 100,000= 130,000,000 million. Huu ni wizi hii haikibaliki.


View attachment 2675341
Yanakuhusu nini wewe; je Sandaland na Vunjabei wamewapa ngapi?
 
Inawezakana
1.huna akili
2. Hujafanya utafiti au/na
3. unamihemko

Vilabu (Liverpool) vs watengeneza jezi (Nike)
Nike anaingia mkataba na Liverpool wa kutengeneza jezi.. Liverpool anapewa dau lake..! Jezi za Liverpool zikiuzwa pesa inaenda kwa Nike na kiasi kidogo kinaenda kwa Liverpool..! Na ipo hivyo duniani kote..hakuna timu inayotengeneza jezi duniani bali inaingia makubaliano na makampuni ya kutengeneza jezi..!
 
Acha kujizima data.ina maana ule mkataba wa billion 11 mliongia na gsm wa kuuza jezi au ufahamu au?
Kwenye bajeti yenu ukipiga hesabu hauonekani

Rudia kwenye udhamini pale hutaona hizo gharama sana sana utakutana na 300mil ya jezi.

Afu msijieleze sana
 
Wanayanga hivi kweli sisi ni wakupewa 1300 kwa kila mauzo ya jezi moja?

Kwa data nikizonazo msimu huu tumeuza jumla ya jezi 100,000/-

Hembu tufanye mahesabu ya haraka hapa

35,000 kwa jezi moja zidisha 100,000 idadi ya jezi tulizouza msimu huu = 3.5 billion

Haki kila mauzo ya jezi moja inayoingia clabuni kwetu 1300 zidisha 100,000= 130,000,000 million. Huu ni wizi hii haikibaliki.


View attachment 2675341
Ya mkataba wa Kuuza jezi mbona hujaiweka?
 
Wanayanga hivi kweli sisi ni wakupewa 1300 kwa kila mauzo ya jezi moja?

Kwa data nikizonazo msimu huu tumeuza jumla ya jezi 100,000/-

Hembu tufanye mahesabu ya haraka hapa

35,000 kwa jezi moja zidisha 100,000 idadi ya jezi tulizouza msimu huu = 3.5 billion

Haki kila mauzo ya jezi moja inayoingia clabuni kwetu 1300 zidisha 100,000= 130,000,000 million. Huu ni wizi hii haikibaliki.

View attachment 2675341
Eti nyingine yote GSM, huyo GSM hizo jezi anakunya au? Hamjui kuna gharama kibao ikiwemo kuzizalisha
 
Back
Top Bottom