Ukatili huu wanaoufanya GSM dhidi ya Yanga SC haukubaliki; wana-Yanga tuungane kuupinga

Ukatili huu wanaoufanya GSM dhidi ya Yanga SC haukubaliki; wana-Yanga tuungane kuupinga

Wote wenye mikataba na Nike inafanana...na Nike ndo mkataba unaolipa kuliko wote
Wote wenye mkataba na Adidas inafanana...
Hawawez fanana kwa sabab ushawish ktk kubagen unatofautiana
 
Yanakuhusu nini wewe; je Sandaland na Vunjabei wamewapa ngapi?
Kwamba Hujui?

Kweli wewe Ni udongo wa kichuguu.

Hakuna mwenye akili huko. Angalia Hata mnavotetea km mazuzu.

Maziro brain fc!
 
Back
Top Bottom