Ukatili:Mtoto wa Kimasai Achapwa Viboko Hadi Kurukwa na AKili.

Ukatili:Mtoto wa Kimasai Achapwa Viboko Hadi Kurukwa na AKili.

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Siku ya Tarehe kumi na tano ya wiki iliyopita, katika eneo la Engaruka wilaya Monduli mkoani Arusha,palitokea tukio la Kinyama la mtoto wa Miaka kumi na Tano ajulikanae kwa JIna la Namasi kufungwa katika Mti na kuadhibiwa kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na kusababisha kupata majeraha makubwa ambayo yalimpelekea kupata Ugonjwa wa Kisaiokolojia ujulikanao kama Post Traumatic Stress Disorder,Ugonjwa ambao unamfanya Muhanga kuchanganyikiwa na kuwa na kuwa kama kichaa kutokana na matukio aliyofanyiwa kujirudia katika akili yake.
Sababu ya mtoto huyo wa darasa la SIta,kupata adhabu hiyo,ni kukataa kuolewa na mtu ajulikanae kwa jina la Munjeree AMbae ndie aliemuoa Mtoto huyo na ambae ndie alietekeleza adhabu hiyo ya kikatili na Mtu huyo hadi sasa yupo uraiani bila ya kukamatwa.
Tukio hili ni muendelezo wa Matukio ya kikatili yanayoendelea katika jamii ya kimasai ambapo mtoto wa chini ya umri wa miaka kumi na nane anaweza kuolewa na kugeuzwa mtu mzima.
Baada ya mtoto huyo kupata adhabu kali na kuchanganyikiwa kiakili,alipelekwa kwa mchungaji mmoja ili aombewe kwani familia iliamini kuwa mtoto huyo ana mapepo kwa sababu alikuwa akivua nguo na kuongea hovyo hovyo.
SIku ya Alhamisi wiki,Shirika la kutetea wanawake na Wasichana lijulikanalo kwa jina la Mimutie Women Organization lilifanya juhudi za kumtafuta mtoto huyo sehemu aliyokuwa amefichwa na kumleta Arusha mjini kwa ajili ya matibabu, na hadi sasa mtoto huyo amelazwa katika Hospitali ya MKoa wa Mount Meru akiwa katika hali mbaya ,huku alietenda kosa hilo akiwa bado anadunda mtaani.
Tunaomba serikali ichukue hatua kali za kisheria kwa kumtia nguvuni watuhumiwa wote waliomuozesha mtoto huyo ndoa ya utotoni pamoja na aliempiga hadi mtoto kurukwa na akili.
Ni wakati wa kutenda Haki.

Update: Tunamshukuru sana Muheshimiwa Waziri,Mama Dorothy Gwajima kwa kuona Uzito wa Binti wa Engaruka na kutoa tamko
 

Attachments

  • Namasi.jpeg
    Namasi.jpeg
    84.6 KB · Views: 10
  • namasi,.jpeg
    namasi,.jpeg
    74.4 KB · Views: 9
Siku ya Tarehe kumi na tano ya wiki iliyopita, katika eneo la Engaruka wilaya Monduli mkoani Arusha,palitokea tukio la Kinyama la mtoto wa Miaka kumi na Tano ajulikanae kwa JIna la Namasi Malopi kufungwa katika Mti na kuadhibiwa kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na kusababisha kupata majeraha makubwa ambayo yalimpelekea kupata Ugonjwa wa Kisaiokolojia ujulikanao kama Post Traumatic Stress Disorder,Ugonjwa ambao unamfanya Muhanga kuchanganyikiwa na kuwa na kuwa kama kichaa kutokana na matukio aliyofanyiwa kujirudia katika akili yake.
Sababu ya mtoto huyo wa darasa la SIta,kupata adhabu hiyo,ni kukataa kuolewa na mtu ajulikanae kwa jina la Mujeree AMbae ndie aliemuoa Mtoto huyo na ambae ndie alietekeleza adhabu hiyo ya kikatili na Mtu huyo hadi sasa yupo uraiani bila ya kukamatwa.
Tukio hili ni muendelezo wa Matukio ya kikatili yanayoendelea katika jamii ya kimasai ambapo mtoto wa chini ya umri wa miaka kumi na nane anaweza kuolewa na kugeuzwa mtu mzima.
Baada ya mtoto huyo kupata adhabu kali na kuchanganyikiwa kiakili,alipelekwa kwa mchungaji mmoja ili aombewe kwani familia iliamini kuwa mtoto huyo ana mapepo kwa sababu alikuwa akivua nguo na kuongea hovyo hovyo.
SIku ya Alhamisi wiki,Shirika la kutetea wanawake na Wasichana lijulikanalo kwa jina la Mimutie Women Organization lilifanya juhudi za kumtafuta mtoto huyo sehemu aliyokuwa amefichwa na kumleta Arusha mjini kwa ajili ya matibabu, na hadi sasa mtoto huyo amelazwa katika Hospitali ya MKoa wa Mount Meru akiwa katika hali mbaya ,huku alietenda kosa hilo akiwa bado anadunda mtaani.
Tunaomba serikali ichukue hatua kali za kisheria kwa kumtia nguvuni watuhumiwa wote waliomuozesha mtoto huyo ndoa ya utotoni pamoja na aliempiga hadi mtoto kurukwa na akili.
Ni wakati wa kutenda Haki.
Hilo shirika la women organisation liliwezaje kwenda hospitali bila PF3? , kama wana PF3 ni kwanini mtuhumiwa wa ubakaji hajakamatwa? Maana kuoa mtoto wa shule ni ubakaji kwa sheria zetu
 
Siku ya Tarehe kumi na tano ya wiki iliyopita, katika eneo la Engaruka wilaya Monduli mkoani Arusha,palitokea tukio la Kinyama la mtoto wa Miaka kumi na Tano ajulikanae kwa JIna la Namasi Malopi kufungwa katika Mti na kuadhibiwa kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na kusababisha kupata majeraha makubwa ambayo yalimpelekea kupata Ugonjwa wa Kisaiokolojia ujulikanao kama Post Traumatic Stress Disorder,Ugonjwa ambao unamfanya Muhanga kuchanganyikiwa na kuwa na kuwa kama kichaa kutokana na matukio aliyofanyiwa kujirudia katika akili yake.
Sababu ya mtoto huyo wa darasa la SIta,kupata adhabu hiyo,ni kukataa kuolewa na mtu ajulikanae kwa jina la Mujeree AMbae ndie aliemuoa Mtoto huyo na ambae ndie alietekeleza adhabu hiyo ya kikatili na Mtu huyo hadi sasa yupo uraiani bila ya kukamatwa.
Tukio hili ni muendelezo wa Matukio ya kikatili yanayoendelea katika jamii ya kimasai ambapo mtoto wa chini ya umri wa miaka kumi na nane anaweza kuolewa na kugeuzwa mtu mzima.
Baada ya mtoto huyo kupata adhabu kali na kuchanganyikiwa kiakili,alipelekwa kwa mchungaji mmoja ili aombewe kwani familia iliamini kuwa mtoto huyo ana mapepo kwa sababu alikuwa akivua nguo na kuongea hovyo hovyo.
SIku ya Alhamisi wiki,Shirika la kutetea wanawake na Wasichana lijulikanalo kwa jina la Mimutie Women Organization lilifanya juhudi za kumtafuta mtoto huyo sehemu aliyokuwa amefichwa na kumleta Arusha mjini kwa ajili ya matibabu, na hadi sasa mtoto huyo amelazwa katika Hospitali ya MKoa wa Mount Meru akiwa katika hali mbaya ,huku alietenda kosa hilo akiwa bado anadunda mtaani.
Tunaomba serikali ichukue hatua kali za kisheria kwa kumtia nguvuni watuhumiwa wote waliomuozesha mtoto huyo ndoa ya utotoni pamoja na aliempiga hadi mtoto kurukwa na akili.
Ni wakati wa kutenda Haki.
Angalikuwa muislam aliefanya , wavaa kiptula wangalikuja na matusi tele, lkn kwa mkiristo mwenzenu wanyenyekevu comment zenu kama comment za kibinaadam
 
Naona rose njilo anapambania kuimarisha rescue centre yake...
 
Siku ya Tarehe kumi na tano ya wiki iliyopita, katika eneo la Engaruka wilaya Monduli mkoani Arusha,palitokea tukio la Kinyama la mtoto wa Miaka kumi na Tano ajulikanae kwa JIna la Namasi Malopi kufungwa katika Mti na kuadhibiwa kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na kusababisha kupata majeraha makubwa ambayo yalimpelekea kupata Ugonjwa wa Kisaiokolojia ujulikanao kama Post Traumatic Stress Disorder,Ugonjwa ambao unamfanya Muhanga kuchanganyikiwa na kuwa na kuwa kama kichaa kutokana na matukio aliyofanyiwa kujirudia katika akili yake.
Sababu ya mtoto huyo wa darasa la SIta,kupata adhabu hiyo,ni kukataa kuolewa na mtu ajulikanae kwa jina la Mujeree AMbae ndie aliemuoa Mtoto huyo na ambae ndie alietekeleza adhabu hiyo ya kikatili na Mtu huyo hadi sasa yupo uraiani bila ya kukamatwa.
Tukio hili ni muendelezo wa Matukio ya kikatili yanayoendelea katika jamii ya kimasai ambapo mtoto wa chini ya umri wa miaka kumi na nane anaweza kuolewa na kugeuzwa mtu mzima.
Baada ya mtoto huyo kupata adhabu kali na kuchanganyikiwa kiakili,alipelekwa kwa mchungaji mmoja ili aombewe kwani familia iliamini kuwa mtoto huyo ana mapepo kwa sababu alikuwa akivua nguo na kuongea hovyo hovyo.
SIku ya Alhamisi wiki,Shirika la kutetea wanawake na Wasichana lijulikanalo kwa jina la Mimutie Women Organization lilifanya juhudi za kumtafuta mtoto huyo sehemu aliyokuwa amefichwa na kumleta Arusha mjini kwa ajili ya matibabu, na hadi sasa mtoto huyo amelazwa katika Hospitali ya MKoa wa Mount Meru akiwa katika hali mbaya ,huku alietenda kosa hilo akiwa bado anadunda mtaani.
Tunaomba serikali ichukue hatua kali za kisheria kwa kumtia nguvuni watuhumiwa wote waliomuozesha mtoto huyo ndoa ya utotoni pamoja na aliempiga hadi mtoto kurukwa na akili.
Ni wakati wa kutenda Haki.
Cc
Dkt Gwajima D
 
mtoto ya kike niya kuongesa ngombe nyumbani akitokea mtu ana ngombe 20-30 aende!
Hii mambo ya usasa inaharibu mila na desturi zetu sisi masai inafanya vijana wetu wanakuwa na kiburi sana.
 
Angalikuwa muislam aliefanya , wavaa kiptula wangalikuja na matusi tele, lkn kwa mkiristo mwenzenu wanyenyekevu comment zenu kama comment za kibinaadam
Mbona watuita wavaa kaptula kijana??😀🤭
 
Hilo shirika la women organisation liliwezaje kwenda hospitali bila PF3? , kama wana PF3 ni kwanini mtuhumiwa wa ubakaji hajakamatwa? Maana kuoa mtoto wa shule ni ubakaji kwa sheria zetu
PF 3 ilitolewa na kwa tukio la aina hii PF 3 inatoka mapema kwa ajili ya victim kuanza kupata huduma nyingine kama za matibabu
 
Baada ya wasukuma kuelemika huo msala wamewaachia wamasai na waislam
 
Back
Top Bottom