Ukatiri dhidi ya watoto unasababishwa na ugumu wa maisha. Wazazi wengi hawana uhakika wa mlo wameathirika kisaikolojia. Serikali iingilie kati

Ukatiri dhidi ya watoto unasababishwa na ugumu wa maisha. Wazazi wengi hawana uhakika wa mlo wameathirika kisaikolojia. Serikali iingilie kati

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Watoto wanapigwa kwa kudokoa mboga.

Watoto wanachomwa moto kwa kuiba dagaa

Watoto wanafinywa kwa visu.

Watoto wanashindia uji. Lakini mabwanyenye wa CCM wapo busy kula maisha.
 
Nyumba unakuta ina watoto zaidi ya kumi na ukicheki bei ya unga, mchele, maharage daah watoto watapata taabu sana Nwingulu watoto wapo Feza wanakula Pizza Capricciosa.
 
Back
Top Bottom