UKAWA kugomea kura ya maoni ya katiba ni kujivisha kitanzi uchaguzi mkuu 2015

UKAWA kugomea kura ya maoni ya katiba ni kujivisha kitanzi uchaguzi mkuu 2015

Ukawa bado wanaweza kuhamasisha watu wajiandikishe na pia kuwataka wasishiriki kwenye kura ya maoni ya kiba ya Maintarahamwe, hilo linawezekana kabisa. Watanzania kwanini tushiriki katika katika katiba ya maoni ambayo si yetu? bali ni ya wahuni na mafisadi walioamua kufanya uharamia kuchakachua maoni kutoka kwa Watanzania yaliyokusanywa na Tume ya Warioba?

Mkuu nakuelewa...
But impact ya kura ya maoni kwenye suala la kuhamasisha uandikishaji wapiga kura (uandikishaji ambao ndio utakaotumika katika uchaguzi mkuu ujao), pamoja na morale nzima ya ushiriki wa uchaguzi huo ni kubwa na sio ya kubeza...
 
Sababu kubwa ni moja: Huu mchakato unaambatana pamoja na mambo mengine, kuandikisha wapiga kura katika daftari la kudumu.

Kugomea mchakato katika hatua hii, ina maana supporters wao watakuwa demoralized hata kujiandikisha. Watakaojiandikisha watakuwa wale wanaoiunga mkono katiba ambao majority ni wafuasi wa CCM. As a result, ikifika uchaguzi october mikutano yetu itajaa watu kama kawaida but hawatapiga kura...

Niwahakikishie UKAWA kuwa, under no circumstance katiba inayopendekezwa inaweza ikapita. Tuitumie hii fursa kama sehemu ya kuwaandaa wananchi wetu kisaikolojia kupiga kura kwa wingi uchaguzi mkuu baadae mwaka huu. Tukijenga spirit ya kugoma, tukawapa CCM uwanja wa kuzunguka majukwaa nchi nzima sasa, hakika wafuasi wao watakuwa tayari zaidi kisaikolojia kwa ajili ya uchaguzi mkuu, na watashinda kiulaini sana...

Uchaguzi huu utumike kama sehemu ya kujijengea uwezo wa kuendesha kampeni, kushawishi wapiga kura na kusimamia kura... uwezo ambao utahitajika sana uchaguzi mkuu ujao...

Ni hayo tu...
mkuu we huna akili zaidi prof lipumba wewe! Wale walishaona mbali mpaka kutoa tamko hill! We jikanyage tu
 
Hakuna haja ya kugoma,UKAWA waingie ulingoni kutoa elimu kwa wananchi waeleze ubaya wa katiba hiyo na athari zake,wawahamasishe wananchi watumie haki yao ya kuikataa katiba kwa njia ya kura kama wao walivyotumia haki yao ya kutoka bungeni ili wasishiriki kuipitisha rasimu ya katiba.

Ikitokea wakashindwa na CCM wakafanikiwa kuipitisha katiba ambayo haitokani na matakwa ya wananchi,UKAWA wajipange kuchukua utawala,wakifanikiwa katika hilo ndipo wajipange tena kuirekebisha katiba iendane na matakwa ya wananchi.
 
Sababu kubwa ni moja: Huu mchakato unaambatana pamoja na mambo mengine, kuandikisha wapiga kura katika daftari la kudumu.

Kugomea mchakato katika hatua hii, ina maana supporters wao watakuwa demoralized hata kujiandikisha. Watakaojiandikisha watakuwa wale wanaoiunga mkono katiba ambao majority ni wafuasi wa CCM. As a result, ikifika uchaguzi october mikutano yetu itajaa watu kama kawaida but hawatapiga kura...

Niwahakikishie UKAWA kuwa, under no circumstance katiba inayopendekezwa inaweza ikapita. Tuitumie hii fursa kama sehemu ya kuwaandaa wananchi wetu kisaikolojia kupiga kura kwa wingi uchaguzi mkuu baadae mwaka huu. Tukijenga spirit ya kugoma, tukawapa CCM uwanja wa kuzunguka majukwaa nchi nzima sasa, hakika wafuasi wao watakuwa tayari zaidi kisaikolojia kwa ajili ya uchaguzi mkuu, na watashinda kiulaini sana...

Uchaguzi huu utumike kama sehemu ya kujijengea uwezo wa kuendesha kampeni, kushawishi wapiga kura na kusimamia kura... uwezo ambao utahitajika sana uchaguzi mkuu ujao...

Ni hayo tu...

Mkuu hivi unafikiria CCM wanaandaa kura ya maoni huku wakitegemea kushindwa? Mimi nakuambia kwa uhakika kabisa usio na chembe ya shaka kuwa CCM wamejiandaa ''kushinda'' kwa gharama yoyote. Zilichakachuliwa za wajumbe ambao wamekaa sehemu moja na wanapigia kura hapo hapo ije kuwa za watu zaidi ya milioni 5 ambao wamesambaa nchi kubwa na yenye miundo mbinu mibovu kama hii! Kujitoa ni njia nzuri sana ila kampeni isiishie tu kwenye vyama vya siasa bali isambae vyuoni, misikitini, makanisani, makazini na kila mahali kuwa hili zoezi ni haramu hivyo asijitokeze mtu hata mmoja. Na bila shaka CCM watatumia kila hila kuwavutia watu waende kupiga kura na kuchakachua ili ionekane watu wengi wamepiga kura lakini wacha historia ihukumu na siku zote uongo hautashinda ukweli. Hapo walipo ma-CCM wameshajiandaa kila kitu wanangojea siku ya kura tu ili waibe. Kama wanaapisha wajumbe feki wa mtaa walioshindwa ije iwe hizi kura ambazo hazionekani?
 
Hakuna haja ya kugoma,UKAWA waingie ulingoni kutoa elimu kwa wananchi waeleze ubaya wa katiba hiyo na athari zake,wawahamasishe wananchi watumie haki yao ya kuikataa katiba kwa njia ya kura kama wao walivyotumia haki yao ya kutoka bungeni ili wasishiriki kuipitisha rasimu ya katiba.

Ikitokea wakashindwa na CCM wakafanikiwa kuipitisha katiba ambayo haitokani na matakwa ya wananchi,UKAWA wajipange kuchukua utawala,wakifanikiwa katika hilo ndipo wajipange tena kuirekebisha katiba iendane na matakwa ya wananchi.

Hapa hakuna cha ''ikitokea'' ila CCM wamejiandaa kuiba kwa njia yoyote.
 
Mkuu hivi unafikiria CCM wanaandaa kura ya maoni huku wakitegemea kushindwa? Mimi nakuambia kwa uhakika kabisa usio na chembe ya shaka kuwa CCM wamejiandaa ''kushinda'' kwa gharama yoyote. Zilichakachuliwa za wajumbe ambao wamekaa sehemu moja na wanapigia kura hapo hapo ije kuwa za watu zaidi ya milioni 5 ambao wamesambaa nchi kubwa na yenye miundo mbinu mibovu kama hii! Kujitoa ni njia nzuri sana ila kampeni isiishie tu kwenye vyama vya siasa bali isambae vyuoni, misikitini, makanisani, makazini na kila mahali kuwa hili zoezi ni haramu hivyo asijitokeze mtu hata mmoja. Na bila shaka CCM watatumia kila hila kuwavutia watu waende kupiga kura na kuchakachua ili ionekane watu wengi wamepiga kura lakini wacha historia ihukumu na siku zote uongo hautashinda ukweli. Hapo walipo ma-CCM wameshajiandaa kila kitu wanangojea siku ya kura tu ili waibe. Kama wanaapisha wajumbe feki wa mtaa walioshindwa ije iwe hizi kura ambazo hazionekani?

Asante sana Kamanda.

Samwel Sitta aliiba kura waziwazi za Wazanzibar Bungeni bila soni yoyote huku akipigisha kura marehemu unadhani watashindwa kuendeleza uharamia wao.

Kushiriki zoezi hili ni kuwapa Legitimacy kitu ambacho kamwe Ukawa hawatakifanya.
 
Tuko,

..uko sahihi by 50%.

..katiba kugomewa huku Tanganyika siyo jambo linaloweza kuitisha CCM.

..lakini Znz wakigoma ni jambo kubwa na la hatari sana ktk muungano wetu.

..kumbuka kwamba katiba inabidi ikubaliwe pande mbili za muungano, Tanganyika na Zanzibar.


cc Barubaru, takashi, Kibunango, Nguruvi3, GHIBUU
 
Last edited by a moderator:
Tuko,

..uko sahihi by 50%.

..katiba kugomewa huku Tanganyika siyo jambo linaloweza kuitisha CCM.

..lakini Znz wakigoma ni jambo kubwa na la hatari sana ktk muungano wetu.

..kumbuka kwamba katiba inabidi ikubaliwe pande mbili za muungano, Tanganyika na Zanzibar.


cc Barubaru, takashi, Kibunango, Nguruvi3, GHIBUU

Mkuu tusijidanganye kuwa UKAWA wasipopiga kura hakutakuwa na wapiga kura vituoni... iwe Pemba wala Unguja. .
Na usishangae matokeo yakatangazwa kuwa asilimia 98 ya wananchi wenye haki ya kupiga kura walipiga...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hivi unafikiria CCM wanaandaa kura ya maoni huku wakitegemea kushindwa? Mimi nakuambia kwa uhakika kabisa usio na chembe ya shaka kuwa CCM wamejiandaa ''kushinda'' kwa gharama yoyote. Zilichakachuliwa za wajumbe ambao wamekaa sehemu moja na wanapigia kura hapo hapo ije kuwa za watu zaidi ya milioni 5 ambao wamesambaa nchi kubwa na yenye miundo mbinu mibovu kama hii! Kujitoa ni njia nzuri sana ila kampeni isiishie tu kwenye vyama vya siasa bali isambae vyuoni, misikitini, makanisani, makazini na kila mahali kuwa hili zoezi ni haramu hivyo asijitokeze mtu hata mmoja. Na bila shaka CCM watatumia kila hila kuwavutia watu waende kupiga kura na kuchakachua ili ionekane watu wengi wamepiga kura lakini wacha historia ihukumu na siku zote uongo hautashinda ukweli. Hapo walipo ma-CCM wameshajiandaa kila kitu wanangojea siku ya kura tu ili waibe. Kama wanaapisha wajumbe feki wa mtaa walioshindwa ije iwe hizi kura ambazo hazionekani?

Mkuu mimi siangalii matokeo ya kura ya maoni... bali impact yake kwenye uchaguzi mkuu ujao...
 
Sababu kubwa ni moja: Huu mchakato unaambatana pamoja na mambo mengine, kuandikisha wapiga kura katika daftari la kudumu.

Kugomea mchakato katika hatua hii, ina maana supporters wao watakuwa demoralized hata kujiandikisha. Watakaojiandikisha watakuwa wale wanaoiunga mkono katiba ambao majority ni wafuasi wa CCM. As a result, ikifika uchaguzi october mikutano yetu itajaa watu kama kawaida but hawatapiga kura...

Niwahakikishie UKAWA kuwa, under no circumstance katiba inayopendekezwa inaweza ikapita. Tuitumie hii fursa kama sehemu ya kuwaandaa wananchi wetu kisaikolojia kupiga kura kwa wingi uchaguzi mkuu baadae mwaka huu. Tukijenga spirit ya kugoma, tukawapa CCM uwanja wa kuzunguka majukwaa nchi nzima sasa, hakika wafuasi wao watakuwa tayari zaidi kisaikolojia kwa ajili ya uchaguzi mkuu, na watashinda kiulaini sana...

Uchaguzi huu utumike kama sehemu ya kujijengea uwezo wa kuendesha kampeni, kushawishi wapiga kura na kusimamia kura... uwezo ambao utahitajika sana uchaguzi mkuu ujao...

Ni hayo tu...
Tunajua tunachokifanya
 
Mkuu tusijidanganye kuwa UKAWA wasipopiga kura hakutakuwa na wapiga kura vituoni... iwe Pemba wala Unguja. .
Na usishangae matokeo yakatangazwa kuwa asilimia 98 ya wananchi wenye haki ya kupiga kura walipiga...

..kwa mtizamo wangu huo mgomo wa Ukawa unaweza effect huku Tanganyika.

..lakini sina uhakika kama naweza kusema hivyo kwa upande wa Zanzibar.

..hili siyo suala la kuwaburuza Wazanzibari. Tunaweza kuipeleka nchi kwenye MGOGORO mkubwa wa KIKATIBA.
 
Hakuna kupigia kura wehu wowote wa MACCM, kama waliweza kuandika katiba peke yao, kura wakajipigia peke yao, na sherehe wakala kuku peke yao, sasa je sisi UKAWA wa nini tujipendekeze kwenye kura za maoni?
Tuwaache wajipigie kura wao thenly historia itawahukumu. Thus ol.
 
Mi nadhani tusiliangalie hili suala kwa mizani ya matokeo ya kura yenyewe tu. Maana UKAWA washiriki au wasishiriki matokeo ni yale yake... at least to say. Lakini tufanye comparison ya faida na hasara zingine za kura hii. Kwangu faida ni kubwa. Vyama vya UKAWA vina viongizi wachanga kiuzoefu hasa wa kusimamia chaguzi. Juzi kati walipata experience kidogo kwa serikali za mitaa. Hii ndio ilikuwa fursa ya wao kukutana uso kwa uso na tume ya uchaguzi...
Cc JokaKuu, BAK, Molemo
 
Last edited by a moderator:
Ukawa hapo ndo mmejimaliza,ccm watapata kura nyingi za ndiyo kwenye kura za maoni ya katiba pendekezwa. Hongera sana lipumba na mbatia kwa ushauri huo kwa wanaukawa.
 
Ukawa bado wanaweza kuhamasisha watu wajiandikishe na pia kuwataka wasishiriki kwenye kura ya maoni ya kiba ya Maintarahamwe, hilo linawezekana kabisa. Watanzania kwanini tushiriki katika katika katiba ya maoni ambayo si yetu? bali ni ya wahuni na mafisadi walioamua kufanya uharamia kuchakachua maoni kutoka kwa Watanzania yaliyokusanywa na Tume ya Warioba?

Una akili sana we kamanda BAK , Tuendelee tu kutoa elimu kwa wananchi popote kule tulipo juu ya hali na tutafanikiwa tu.

Peoples power.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Naunga mkono ukawa kugomea kura ya maoni.sababu kubwa walishagomea tangu bmk. Kupiga kura ya maoni ni kulamba matapishi yao. Na sababu nyingine katiba pendekezwa imepitishwa kimizengwe. Kura hazieleweki hasa zile za Zanzibar.
USHAURi KWA UKAWA
Wahamasishe wananchi kujiandikisha kwani daftali hilohilo litatumika uchaguzi mkuu mwaka huu.
 
Move ua Ukawa kugomea kura ni miendelezo wa kutoshiriki uhuni tangia awali..

Harami ni haramu tu.. Kama mchakato ulikuwa haramu hapo awali utaendelea kuwa haramu hata kwenye kura
 
Maamuzi ya UKAWA ya kugomea kura ya maoni ya katiba ya Maintarahamwe ni maamuzi ambayo yanastahili kupongezwa. Itakuwaje wakubali kushiriki katika kura ya maoni ya Maintarahamwe ambayo waliyagomea na kuamua kutoka nje ya majadiliano ya Bunge la katiba na juhudi zao za kutaka maoni ya Watanzania yasichakachuliwe hayakuwa na mafanikio yoyote. Hongera sana UKAWA kwa msimamo thabiti kuhusiana na uhuni na uharamia wa Maintarahamwe.

Hakika Ukawa Ni Wasaka Tonge Ndani Ya Ile Katiba Kuna Haki Za Wakulima,wafugaj,walemavu,wavuvi,vijana Na Wanawake Lakini Ukawa Haya Yote Hawayataki Wao Wanataka Mambo Ya Kuwapeleka Ikulu Tu,hakika Ukawa Hawana Uzalendo
 
Back
Top Bottom