Usijidanganye, kura zitakazo pigwa ndo zitakazo hesabiwa, Kama wazanzibari watagoma, wazanzibara walobaki watapiga kura,hata kama Mia moja Kama katika Mia kuna theluthi mbili imepita.
eeh!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijidanganye, kura zitakazo pigwa ndo zitakazo hesabiwa, Kama wazanzibari watagoma, wazanzibara walobaki watapiga kura,hata kama Mia moja Kama katika Mia kuna theluthi mbili imepita.
Ukawa hapo ndo mmejimaliza,ccm watapata kura nyingi za ndiyo kwenye kura za maoni ya katiba pendekezwa. Hongera sana lipumba na mbatia kwa ushauri huo kwa wanaukawa.
Mkuu nakuelewa...
But impact ya kura ya maoni kwenye suala la kuhamasisha uandikishaji wapiga kura (uandikishaji ambao ndio utakaotumika katika uchaguzi mkuu ujao), pamoja na morale nzima ya ushiriki wa uchaguzi huo ni kubwa na sio ya kubeza...
Sababu kubwa ni moja: Huu mchakato unaambatana pamoja na mambo mengine, kuandikisha wapiga kura katika daftari la kudumu.
Kugomea mchakato katika hatua hii, ina maana supporters wao watakuwa demoralized hata kujiandikisha. Watakaojiandikisha watakuwa wale wanaoiunga mkono katiba ambao majority ni wafuasi wa CCM. As a result, ikifika uchaguzi october mikutano yetu itajaa watu kama kawaida but hawatapiga kura...
Niwahakikishie UKAWA kuwa, under no circumstance katiba inayopendekezwa inaweza ikapita. Tuitumie hii fursa kama sehemu ya kuwaandaa wananchi wetu kisaikolojia kupiga kura kwa wingi uchaguzi mkuu baadae mwaka huu. Tukijenga spirit ya kugoma, tukawapa CCM uwanja wa kuzunguka majukwaa nchi nzima sasa, hakika wafuasi wao watakuwa tayari zaidi kisaikolojia kwa ajili ya uchaguzi mkuu, na watashinda kiulaini sana...
Uchaguzi huu utumike kama sehemu ya kujijengea uwezo wa kuendesha kampeni, kushawishi wapiga kura na kusimamia kura... uwezo ambao utahitajika sana uchaguzi mkuu ujao...
Ni hayo tu...