Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Elections 2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

Aisee! Hii kete hata isipozaa matunda italeta shida sana kwa chama dola.
 
kwahiyo kama babu yako alikuwa analilia hayo ulitaka iweje,kwamba hao wapinzani wakipata nchi watampa uDC,They have long and wrong way to go kwasababu wote wamejaa wenyemaslahi binafsi

Kuna faida kubwa sana katika hili. Nayo ni huu muungano utaleta hamsa kubwa sana katika uchaguzi ujao kwani wananchi wataona kwamba sasa uwezekano wa kuwaondoa CCM umefika. Yaani tutaingia kwenye uchaguzi tukiwa na strategy mpya kabisa! Hakuna sababu ya kuwa na wivu kwamba labda CUF na NCCR watapata nguvu. kwani hili si ndilo watanzania tunataka? Si tunaona faida ya upinzani kuwa na nguvu hata katika bunge la katiba na lile la kawaida? Tuongelee upinzani kwa pamoja na sio chama kimojakimoja. Watakaokataa huu Muungano ni wazi kwamba hawataki watanzania tupate mabadiliko ya haraka na kwa njia rahisi. Ni kweli chadema ina uwezo wa kuiondoa CCM lakini kazi yeneywe itakuwa ngumu na itahusisha watu wengi kuumizwa. Yaani ni kwamba km kuna short cut ya kufanikiwa katika jambo kwa nini utumie long cut? Unajaua CCM na serikali walikuwa wamejipanga kikamilifu kukabiliana na Chadema na vyama vingine km CUF na NCCR walikuwa wala hawazungumziwi na CCM. Sasa hili litawachanganya kwa sababu itabdid wabadili na kazi itakuwa ngumu kwa sababu. Jambo lingine ni kwamba CCM tayari imewaudhi wananchi kwa kukataa mapendekezo ya rasimu ya katiba. Hii ni gia nzuri sana ya kuwasambaratisha. Mukirudi nyuma italeta madhara makubwa sana kwenye uchaguzi mkuu ujao na tayari mumeshawapa wananchi matumaini hivyo watu watakata tamaa na hawtapiga kura.
 
Wananchi tuna jukumu la kuwaunga mkono hawa makamanda.
 
CCM iwaokoteze vile vivyama vya kina Ndovutwa, Mziray na wengine wengi. Tuwe na vyama vichache tu.
 
kwasasa hao NCCR na CUF wanamvuto gani ambao utaongeza credit kwa CDM,.?
hebu tuangalie chaguzi ndogo za hivi karibuni ambazo CCM wameshinda na CDM ikishikifuatia, tukijaribu kuunganisha kura zote za upinzani zingekaribia za CCM?? labda mnieleweshe vizuri.
 
ni jambo zuri sana kuunganisha nguvu, ili kuishinda ccm.


naunga mkono hoja!! tunapaswa tuwe makini sana teba sana!
 
kwasasa hao NCCR na CUF wanamvuto gani ambao utaongeza credit kwa CDM,.?
hebu tuangalie chaguzi ndogo za hivi karibuni ambazo CCM wameshinda na CDM ikishikifuatia, tukijaribu kuunganisha kura zote za upinzani zingekaribia za CCM?? labda mnieleweshe vizuri.
Wachache sana watakuelewa unamaanisha nini
 
Kweli Elimu Inamaana sana. Nimejifunza kila mara tukiunganisha nguvu, Kiongozi wa chadema (mbowe) anakuwa wa mwisho katika ranking. prof.Ibrahin, Then James Mbatia, Then Mbowe. Hakuna wakati mwenyekiti wa Chadema kapewa nafasi ya kuwakilisha kundi hili. I am afraid hawa jamaa wasiturudishe nyuma 2015 kwakutaka lipumba ndiye atuwakilishe kwani cuf haina tena nafasi.
 
Kweli Elimu Inamaana sana. Nimejifunza kila mara tukiunganisha nguvu, Kiongozi wa chadema (mbowe) anakuwa wa mwisho katika ranking. prof.Ibrahin, Then James Mbatia, Then Mbowe. Hakuna wakati mwenyekiti wa Chadema kapewa nafasi ya kuwakilisha kundi hili. I am afraid hawa jamaa wasiturudishe nyuma 2015 kwakutaka lipumba ndiye atuwakilishe kwani cuf haina tena nafasi.

hilooooooooo. linadhani litatuchonganisha Chadema na CUF your wrong


wew ni gamba la kawaida tu tumekuzoea kama baba ako WASIRA.
 
But UKAWA if I am correct means "Umoja wa Katiba ya Wananchi" Now, you have walked out from the Bunge la Katiba. You said you want to go to Wananchi and tell them that you are not happy with the process in the house and that CCM is diverting the will of the people (three governments) according to you. I was wondering... The first stop was Zanzibar. I Live in Zanzibar... Just to remind you that Zanzibar was the first country (I may be corrected) to have a colored TV in East Africa if not Africa.... So its like the majority of us we were able to follow what was happening in the Bunge... Any way.... The issue is you walked out of the Bunge saying the wish of the majority is three governments.... But don't you wait till referendum if you are 100% sure that the majority supports you? Why then start the game without the whistle? That's why some say "Mmeweka Mpira kwapani" Now it is like a team which has run away from first division league and they go and announce the plan to participate in the premier league.... Any way, try again - may this time you will succeed!
 
Tanzania aisee hamna vyama vya upinzani wote ni cowards wa chama tawala,CUF si ndo inasemekana walifung ndoa na ccm?sasa iweje CDM inaungana nao hao hao?unakumbuka issue ya Wenje kuwaambia CUF ni maliberali wana support ushoga?

Mkuu chadema ni dalili tosha Kuwa kimefikia mwisho, mtu akitaka kufa maji akiona hata bua la mhindi linaelewa anapata hope Kuwa litamsaidia.
Wache waungane mwisho wao mbona uko karibu sana!!
Chadema hawajafikia hata record ya Mrema na NCCR Mageuzi enzi zake sembuse chadema sijui ukawa??!.
 
haihitaji kuwa sheikh yahya au TB JOSHUA kutambua hilo..inahitaji SOBER MIND tu kutambua na si elimu yoyote na wewe ukiacha kunywa gongo na kuvuta bangi utakuwa na uwezzo wa kubashiri .

sawa sheikh yahaya.
 
Back
Top Bottom