Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza
- Wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini Ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko Uholanzi kuingia nchini.
- Inasemekana pesa hizo zinaingia kweneye akaunti za Katibu mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Harouna Lipumba na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe.
Source: Jambo Leo
Siku mbuzi na chui walipoamua kuishi zizi moja,wanama wengi walisha na kujiuliza imewezakana vipi ?.
Chui na beberu mkubwa wakatangaza kuwa UPEPO WA KIMAISHA NDANI YA MBUGA UNABADILI MUDA WOWOTE HIVYO SI AJABU WAO KUISHI PAMOJA,wanyama wengine wakajiuliza ni VIPH CHUI ATAVUMILIA NJAA WAKATI HUU NI MSIMU WA KIANGAZI ?.
Wanyama wengine walinyamaza kimya ili kushuhudia nini kinachofuata.
Babu tembo nae alilaumiwa saaana na wajukuu zake wapendwa yani wapendanao CHUI na MBUZI.
Eti babu tembo hula majani yote peke yake.
Kumbe siku moja mbuzi mmoja alitoroka zizini na hapo kwa hasira chui na mbuzi walitamani kumla mbuzi mwenzao kwa hasira.
Mbuzi mtorokaji alikwenda kutoa siri kwa kundoo na paka kuwa kumbe chui na mbuzi wanafaidi matunda ya babu tembo,wanyama wengi wakakodoa macho wasijue ni kipo kati ya tembo na wajukuu zake wapendwa chui na mbuzi.
Ghafla tena,likaibuka jingine eti mbuzi huiba majani yote pori na kuyapeleka zizini, nae chui huiba nyama zote porini za kuzihifadhi zizini na ula kiulaini huku digidigi na mbwa mwitu hawajui kinachoendelea.
Lakini wanyama wengi wanawaza,MSIMU WA NJAA KALI UNAFIKA YANI UPO KARIBU SAAAANA,SASA VIPI YATAKUWA MAISHA YA CHUI NA MBUZI ?
((tafakari,))
Mkuu, wakishawafadhili, mtawalipa nini?
Massele alimtukana balozi wa Uingereza nadhani bado anaugulia na sidhani kama anaruhusiwa kukanyaga ardhi ya EU, sasa na hilo gazeti linakokwenda ndio kulekule.Kweli ccm bado wapo karne ya 20 kwenye propaganda, hiyo taasisi mnaweza mkawafanya serikali iwaombe msamaha serikali ya Ujerumani.
Kashasahau huyo.
Mkuu, hilo ni swali muhimu sana. Ila kifupi ni kwamba, Ujerumani wanatamani sana wawe na ushawishi kwenye siasa za Tanzania. Ndani ya CCM inakuwa ngumu wao kujipenyeza. Kwa hali hiyo, wanawekeza kwenye vyama vya upinzani ili vifikie hatua ya kutwaa madaraka. Hiyo hawafanyi Tanzania tu bali nchi zote za Afrika
Mkuu kwa hiyo wewe kwa akili zako ulizoletwa nazo duniani unawaamini UKAWA wako peke yao?
Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza
- Wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini Ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko Uholanzi kuingia nchini.
- Inasemekana pesa hizo zinaingia kweneye akaunti za Katibu mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Harouna Lipumba na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe.
Source: Jambo Leo
Jitekenyeni wenyewe kisha mucheke.
Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza
- Wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini Ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko Uholanzi kuingia nchini.
- Inasemekana pesa hizo zinaingia kweneye akaunti za Katibu mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Harouna Lipumba na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe.
Source: Jambo Leo
Linamilikiwa na nani siyo issue, issue ni limeandika habari gani muhimu. Hii taarifa imenigusa sana nimeona nitangulize uzalendo mbele. Kumbe kelele zote za UKAWA kuna weupe wako nyuma yao, hili haliwezi kuvumilika kabisa
Jambo leo ni gazeti la udaku wa siasa wala huwezi kuliamini hata kama ni ukweli.
Je,CCM nao wanapokea wapi pesa au wao ni kwa kupitia kumnyonya Mtanzania?
Ni jambo la ajabu kuona chama kilichopo madarakani kikilalamikia jambo ambalo likondani ya uwezo wao. Ni jambo la kustaajabisha kuona ccm inalalamika kuwa ukawa wanapewa fedha kutoka nje ya nchi bila kuchukua hatua ya kudhibitisha uingizwaji huo wa fedha. Ccm ina polisi, ina pccb, ina TISS n.k. kwanini walalamike badala ya kuchukua hatua?.
Wenyeakili wanajua hizi ni propaganda za kitoto.
Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza
- Wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini Ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko Uholanzi kuingia nchini.
- Inasemekana pesa hizo zinaingia kweneye akaunti za Katibu mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Harouna Lipumba na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe.
Source: Jambo Leo
yyyaaaaani ww ni mmoja wa watu wa ajabu, uuzwe mara mbili tayari ulishauzwa kama unadhani uwongo nenda Loliondo kama haujakaribisha ktk Falme za Kiarabu, mpaka ndege za jeshi zinatua ktk nchi yao na kubeba wanyama, hulijui hilo au unajifanya hamnazo?Hawa jamaa bei chee sana wakichukua nchi tutauzwa asubuhi mapemaaaa....
Kama yote hayo ni kweli, SWALI: je misaada hiyo ya wafadhili toka Nchi ya Ujerumani ni batili au ni halali? Naomba tu kujua hilo ili Nielekee Ubalozi wa Ujerumani kupata ufafanuzi kuhusu tuhuma hizi.