UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

Duh inamaana hii nchi haina usalama kiasi kwamba wanaweza kuona kitu km hicho kinafanyika na wakakaa kimya kuruhusu pesa chafu ziingie ndani ya nchi na kusababisha vurugu km wanavyodai?
Nonsense

Mwandishi wa hilo gazeti alidhani anaichafua UKAWA kumbe anaichafua serikali inayoongozwa na chama.
 
Mbona huko mbali sana...
Wale wakulima na wasanii walilipwa ngapi au walifadhiliwa na nani ili kuwasiisha maoni BMK?
 
Kwa maslahi ya watanzania lakini, hawa Ukawa na Wajerumani ni kwa maslahi ya nani?
Acha uongo wewe.

Serikali ya Tanzania inafadhiliwa na serikali ya Ujerumani kwa kiasi kikubwa sana. GTZ Tanzania wapo kwa ajili hiyo. Bonyeza hapa usome https://www.giz.de/en/worldwide/347.html .

Tanzania

GIZ-Banner-Tansania-1.jpg

Germany has been engaged in international cooperation with Tanzania on behalf of the German Federal Ministry for Economic Cooperation and Development (BMZ) since 1975. GIZ opened an office in Dar es Salaam in 1982. At present, there are 27 seconded members of staff, 14 development workers and 12 CIM experts, working with local partners to promote sustainable development in Tanzania. GIZ also has 101 national personnel there. Besides Dar es Salaam and Arusha (EAC), GIZ’s activities are concentrated in the Lindi, Mbeya, Mtwara and Tanga regions.
Although peaceful and politically stable, Tanzania is facing various social and economic development challenges. Despite the urgent need to improve the business and investment climate, progress is sluggish, partly due to the ongoing crisis in the country’s energy and transport sectors.
GIZ is working with KfW in the following priority areas:

  • health/HIV
  • water
  • energy.
Improved access to health services
A shortage of skilled health workers, underfunding and a lack of sexual and reproductive health services all contribute to the population’s poor health status. Through the Tanzanian- German Programme to Support Health (TGPSH), GIZ is assisting the Government of Tanzania to improve the quality of, and access to, health services.
Efficient and environmentally sound drinking water and sanitation services
There are various reasons for Tanzania’s poor water supply and inadequate sanitation systems, especially in rural and peri-urban areas: the country’s water and sanitation utilities are inefficient and the sector is not regulated to a satisfactory degree. GIZ is assisting the Ministry of Water to establish the legal and regulatory frameworks which are a prerequisite for improved water services. The advisory services provided to the Government address climate-related aspects of water supply and sanitation as well.
Energy
The newly established Energy Sector Support Programme began operations in 2013. GIZ’s contribution focuses on renewable energy and energy efficiency. Advisory services on energy sector regulation are intended to improve the framework for the future energy mix and increase private sector engagement. Advice is also being provided to Tanzania’s Ministry of Energy and Minerals on communication issues relating to the extensive natural gas fields recently discovered off the Tanzanian coast.
Support for the East African Community (EAC) integration process
This programme aims to build the capacities of the East African Community’s secretariat to support the development of the EAC common market. It focuses especially on organisational development, measures to improve the secretariat’s economic policy competencies, and monitoring the region’s progress towards integration.
Other joint programmes
In cooperation with KfW and the Frankfurt Zoological Society, GIZ is implementing a natural resource management project in Tanzania. By ensuring that local communities in two districts near the Serengeti National Park can share to a greater extent in the benefits and revenue derived from nature conservation and tourism, the project aims to increase their acceptance of the protected areas and thus contribute to the conservation of significant ecosystems. An advisory project in cooperation with Tanzania’s National Audit Office is helping to improve transparency and accountability.

Projects and Programmes

Close
top_arrow.png
RURAL DEVELOPMENT


Affordable Nutritious Foods for Women (ANF4W)

MORE
bottom_arrow.png
SUSTAINABLE INFRASTRUCTURE


MORE
bottom_arrow.png
SECURITY, RECONSTRUCTION AND PEACE


MORE
bottom_arrow.png
SOCIAL DEVELOPMENT


MORE
bottom_arrow.png
GOVERNANCE AND DEMOCRACY


MORE
bottom_arrow.png
ECONOMIC DEVELOPMENT AND EMPLOYMENT


Tuambie serikali ya CCM imewauzia nini wajerumani mpaka wanatoa misaada hiyo.

Unajua kuwa serikali haiwezi kukamilisha bajeti yake bila misaada toka kwa hao hao mnaopiga propaganda kuwa ni wafadhili wa upinzani? Angalia ukurasa wa 22 wa document hii http://www.tzdpg.or.tz/fileadmin/do...d_publications/Budget_Support_Evaluation_.pdf

attachment.php

Propaganda mnazofanya ni za kitoto sana.

Habari zilizowekwa si kweli, kama kweli wataje na kiasi na kimetoka kwa nani, na hata akaunti namba ya akaunt zilizopokea pesa hizo.


Office contact

bottom_arrow.png
GIZ Office Tanzania
Country Director
Regine Qualmann
Email:giz-tanzania@giz.de





FURTHER INFORMATION





 

Attachments

  • Budget.png
    Budget.png
    26.8 KB · Views: 200
Tanzania Kwanza chukua hatua, kamata watu maana huu ni uhaini. Lakini mkilalama kwetu sisi wananchi ambao mmezika maoni yetu katika rasimu ya katiba mnataka tuwaeleweje? Tumewapa polisi, usalama wa taifa, magereza, jeshi halafu mnalalama utadhani nyie ndio wapinzani????? Kama mnafanya porojo tu bora mungeacha maana mnazidi kujifilisi kisiasa, mnaongeza agenda za kupondwa na wapinzani maana vituko vinazidi!!! Huku mnakusanya maoni ya wananchi ya katiba mpya, jambo lililokwisha fanyiwa kazi na Tume ya Jaji Warioba, Huku mnasema Kikwete hana mpango wa kukutana na Ukawa, huku CC ya CCM inasema imeridhishwa na mwenendo wa kinachoendelea katika BMK, huku mnamuagiza kinana aendelee kutafuta muafaka, huku mnasema hamuwahitaji UKAWA akidi inatosha, huku Kikwete anasema UKAWA ni muhimu waje tuongee, huku mnasema Chadema inakufa, huku mnasema sasa inavuruga mambo, nyie vipiiiiiiiii?
 
CCM wanatia huruma jamani!!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Kazi ilishaisha mkileta ujinga katiba ya zamani ndiyo itakayotumika tena bila maboresho yoyote.

Nyie ndio mtakaoleta vita nchi hii mnasikitisha sana na huu upuuzi wenu. Mungu atapambana na nyie
 
Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza

- Wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini Ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko Uholanzi kuingia nchini.

- Inasemekana pesa hizo zinaingia kweneye akaunti za Katibu mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Harouna Lipumba na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe.

Source: Jambo Leo


Wakuu,
Ukisema Tanzania kwanza unasema CCM, ukisema Serikali uanasema CCM, Ukisema Serikali Mbili unaema CCM, ukisema Bunge maalum la katiba unasema CCM kwa ujumla mawazo yote yanayopingana na masilahi ya Taifa ndio vipaumbele vya serikali ya CCM.

Sasa basi badala ya kutupigia makelele, kama mnaamini kuwa kuna fedha haramu inaingia nchini kupitia Ukawa chukueni hatua mara moja kuwahoji na kisha kuwachukulia hatua za kisheria hao wanaopokea fedha hizo. Maanake sheria zipo na hata kitengo maalumu cha kudhibiti usafirishaji wa fedha haramu kipo, vinginevyo hizi ni porojo zinazotaka tuhame kutoka kwenye hoja za msingi kwa bei nafuu. Jiwe la kusagia liko shingoni mtazama nalo tuuu!!!!
 
Tanzania Kwanza Hamna lolote mmeanza kutapata Mkuu Wa kaya we nu kawakubali ukawa nyie majungu tu
 
Tanzania Kwanza chukua hatua, kamata watu maana huu ni uhaini. Lakini mkilalama kwetu sisi wananchi ambao mmezika maoni yetu katika rasimu ya katiba mnataka tuwaeleweje? Tumewapa polisi, usalama wa taifa, magereza, jeshi halafu mnalalama utadhani nyie ndio wapinzani????? Kama mnafanya porojo tu bora mungeacha maana mnazidi kujifilisi kisiasa, mnaongeza agenda za kupondwa na wapinzani maana vituko vinazidi!!! Huku mnakusanya maoni ya wananchi ya katiba mpya, jambo lililokwisha fanyiwa kazi na Tume ya Jaji Warioba, Huku mnasema Kikwete hana mpango wa kukutana na Ukawa, huku CC ya CCM inasema imeridhishwa na mwenendo wa kinachoendelea katika BMK, huku mnamuagiza kinana aendelee kutafuta muafaka, huku mnasema hamuwahitaji UKAWA akidi inatosha, huku Kikwete anasema UKAWA ni muhimu waje tuongee, huku mnasema Chadema inakufa, huku mnasema sasa inavuruga mambo, nyie vipiiiiiiiii?

Hawa ni takataka mkuu...
 
Mkuu Thatha, hakika nchi hii inatafunwa na wengi. Hivi unajua mzee mamvi alienda nchi gani vile? Maana na yeye ni sehemu ya wafadhili wa ukawa
Duh hii sasa mmechanganyikiwa Lowasa ni mdhamini wa UKAWA? Hebu Chabruma njoo hapa uweke mambo sawa aiseee maana hii sijaiona kama ilikua kwenye zile series zako
 
Last edited by a moderator:
Halafu ukawa walianza kunongwa siku nyingi kweli kabla hata ya katiba mpya make nakumbuka yupo mzee mmoja alipewa fungu ahakikishe nchi haitawaliki akahangaika we mwisho akagota.
 
Tanzania Kwanza Hamna lolote mmeanza kutapata Mkuu Wa kaya we nu kawakubali ukawa nyie majungu tu
Hivi hujuwi kuwa jk anaakili kuliko ukawa wote anachofanya sasa anaenda kuwachekecha wakitoka wote vichwa chini kila watakachoulizwa ndiyo mkuu,ukawa ni watu wasiojitambua.
 
Tusubiri tuone , kama ni uongo Ujerumani si wataitaka Tanzania iombe msamaha, ikikaa kimya manake ni kweli

Natamani niwe UKAWA mimi mweh, sijui nafanya nini kwenye key board wakati watu wanapiga posho na wengine wanakula EURO.
 
Nyie ndio mtakaoleta vita nchi hii mnasikitisha sana na huu upuuzi wenu. Mungu atapambana na nyie
Hiyo vita kapigane na shangazi yako mtu mwenye akili timamu kwa karne hii hazungumzii vita bali anazungumzia maendeleo sasa wewe kitasa bado unawaza vita kapigane na ndugu zako utosheke.
 
Halafu ukawa walianza kunongwa siku nyingi kweli kabla hata ya katiba mpya make nakumbuka yupo mzee mmoja alipewa fungu ahakikishe nchi haitawaliki akahangaika we mwisho akagota.

Mngekuwa mnamsaidia mzee Othman kumbe ushahidi mnao wa hao wa haini,kwanini hamumpelekei?
 
Mbona huko mbali sana...
Wale wakulima na wasanii walilipwa ngapi au walifadhiliwa na nani ili kuwasiisha maoni BMK?
Wakulima walipelekwa na shibuda wasanii walienda kwa michango yao wenyewe sema lingine ujibiwe.
 
Heri ya nkapa na jk wanaomiliki maeneo hapa hapa;
Hawa akina wilbroad watatuuza tukiwa wazima wazima.
 
Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza

- Wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini Ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko Uholanzi kuingia nchini.

- Inasemekana pesa hizo zinaingia kweneye akaunti za Katibu mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Harouna Lipumba na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe.

Source: Jambo Leo

Hizo nipropaganda za kisaisa na nimezisikia siku nyingi sana toka kwa wana_CCM. Mmoja aliniambia baada ya wiki mbili (toka Julai30) balozi wa Ujerumani nchini tanzania ataita press conference ili kuomba radhi kwa moja ya makampuni ya ujerumani kuwafadhili UKUWA, lakini wapiii. Nadhani hii haina tofauti na yale ya Mwigulu ya kusema ana mikanda ya njama za mauaji yanayopangwa na CHADEMA.

Rai yangu:
CCm ni chama tawala na ni serikali pia kama hizi propaganda zao zina ukweli na ushahidi kwanini wasiwachukulie hatua wahusika? Kwangu mimi huu ni mfululizo wa propaganda za kisiasa tu.

Ni kiongozi mwenye maono, nia thabiti, na kutofungamana na upande wowote ndiye ataye tufikisha katika tanzania tunayotaka; yenye elimu bora, katiba nzuri, ufisadi_kidogo, nk..

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania
 
Mngekuwa mnamsaidia mzee Othman kumbe ushahidi mnao wa hao wa haini,kwanini hamumpelekei?
Siyo kila mtu anaweza kuonana na othumani wewe kama unaweza tumeshakupa kamwambie ila sisi kazi yetu ni kuwajuza watanzania ujinga wa ukawa wanavyohongwa kuharibu nchi.
 
Back
Top Bottom