- Thread starter
- #21
Hivi Jambo Leo linamilikiwa na nani? Maana ni kama vuvuzela la CCM cum Government!
Linamilikiwa na nani siyo issue, issue ni limeandika habari gani muhimu. Hii taarifa imenigusa sana nimeona nitangulize uzalendo mbele. Kumbe kelele zote za UKAWA kuna weupe wako nyuma yao, hili haliwezi kuvumilika kabisa