UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

Hivi Jambo Leo linamilikiwa na nani? Maana ni kama vuvuzela la CCM cum Government!

Linamilikiwa na nani siyo issue, issue ni limeandika habari gani muhimu. Hii taarifa imenigusa sana nimeona nitangulize uzalendo mbele. Kumbe kelele zote za UKAWA kuna weupe wako nyuma yao, hili haliwezi kuvumilika kabisa
 
Linamilikiwa na nani siyo issue, issue ni limeandika habari gani muhimu. Hii taarifa imenigusa sana nimeona nitangulize uzalendo mbele. Kumbe kelele zote za UKAWA kuna weupe wako nyuma yao, hili haliwezi kuvumilika kabisa

Wamechoka kumchokonoa Kagame?
 
Serikali haijawahi kuomba msaada Ujerumani. Ni wahuni tu wale

unawajua GTZ wanafanya nini hapa Tanzania? fikiria wakati mwingine. narudi kwenye mada ni vyema wangetaja hayo mashirika wanayofaadhili UKAWA, pia tuwe wa kweli wote tunajua walioharibu/aliyeharibu mchakato huu ni akina nani? na endapo ccm ingeheshimu maoni ya wananchi kupitia tume mchakato ungeenda salama. ila naona bado mnaleta propoganda za magazeti. kwa hapa tulipofikia maridhiano yamechelewa, ni maamuzi ya wananchi ndio yaliyobakia, wacha waendelee kula posho kwa kitu kisichofikia lengo lake.
 
Kwa hiyo? Sijakuelewa point yako hasa unataka nini?



Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza

- Wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini Ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko Uholanzi kuingia nchini.

- Inasemekana pesa hizo zinaingia kweneye akaunti za Katibu mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Harouna Lipumba na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe.

Source: Jambo Leo
 
Pasco aliwahi kutabiri hili. Dah! Limetokea kweli. Salute kwako mchumia choo Pasco

Unajua Pasco unaweza kumuona kama zuzu lakini ana upeo mkubwa sana.Kuna comment yake moja kwenye uzi ulioanzishwa na Mawazo kuhusu Faraja Kotta alisema watawala watafanya kila njia haswa kwa mali zao za wizi kufanya ukombozi usifanyike japo wapo wachache.
 
Last edited by a moderator:
unawajua GTZ wanafanya nini hapa Tanzania? fikiria wakati mwingine. narudi kwenye mada ni vyema wangetaja hayo mashirika wanayofaadhili UKAWA, pia tuwe wa kweli wote tunajua walioharibu/aliyeharibu mchakato huu ni akina nani? na endapo ccm ingeheshimu maoni ya wananchi kupitia tume mchakato ungeenda salama. ila naona bado mnaleta propoganda za magazeti. kwa hapa tulipofikia maridhiano yamechelewa, ni maamuzi ya wananchi ndio yaliyobakia, wacha waendelee kula posho kwa kitu kisichofikia lengo lake.
hapana shaka mfadhili mojawapo atakuwa CDU
 
Uliotoa habari ushaanza kujifunza umbea sio bure.
 
Unajua Pasco unaweza kumuona kama zuzu lakini ana upeo mkubwa sana.Kuna comment yake moja kwenye uzi ulioanzishwa na Mawazo kuhusu Faraja Kotta alisema watawala watafanya kila njia haswa kwa mali zao za wizi kufanya ukombozi usifanyike japo wapo wachache.

Unataka kutuambiaje sasa, UKAWA waachiwe wafanye watakavyo na wazungu wao?
 
Uliotoa habari ushaanza kujifunza umbea sio bure.

Nimefikisha ujumbe ulioko kwenye media, sasa kama kwako huo ni umbea kaa na kichwa chako cha masala
 
unawajua GTZ wanafanya nini hapa Tanzania? fikiria wakati mwingine. narudi kwenye mada ni vyema wangetaja hayo mashirika wanayofaadhili UKAWA, pia tuwe wa kweli wote tunajua walioharibu/aliyeharibu mchakato huu ni akina nani? na endapo ccm ingeheshimu maoni ya wananchi kupitia tume mchakato ungeenda salama. ila naona bado mnaleta propoganda za magazeti. kwa hapa tulipofikia maridhiano yamechelewa, ni maamuzi ya wananchi ndio yaliyobakia, wacha waendelee kula posho kwa kitu kisichofikia lengo lake.

Hii nchi wananchi wao wapo kama mashabiki wa simba na yanga hawakubaliani na ukweli kwenye jambo lolote la kitaifa wao wanaangalia matumbo yao, ndio hao hajui hata kama kuna miji yao hapa nchini zinafadhiliwa na miji ya Ujerumani.
 
Tusubiri tuone , kama ni uongo Ujerumani si wataitaka Tanzania iombe msamaha, ikikaa kimya manake ni kweli
Kwani Tanzania ndiyo iliyosema ujinga huo? Ujinga usemwe na CCM na mawakala wake wewe unaisingizia Tanzania? Kwa taarifa yako chama chenu sio nchi bali ni kundi la watu wanaoiangamiza nchi.
 
Mimi nashindwa kuelewa,CCM ndo yenye Serikali,kwa nini isichukue hatua kama ni kweli?.Je,hawaoni kama ni kuonyesha kwamba serikali wanayoiongoza imeshindwa kutekeleza wajibu wake kama katiba inavyosema?!.Nawashauri ndugu zangu CCM,tafakarini kwanza athari za tamko mnalotaka kutoa kwa umma,kwa sababu mnaongeza chuki,na kutokueleweka zaidi.
 
tusubiri tuone , kama ni uongo ujerumani si wataitaka tanzania iombe msamaha, ikikaa kimya manake ni kweli

ishu za magazeti ya udaku ziombwe msamaha na tz??....
 
Unataka kutuambiaje sasa, UKAWA waachiwe wafanye watakavyo na wazungu wao?

Wewe unavyofikiri kwa ukawa walivyodinda, serikali kupitia usalama wa Taifa wangekubali hiko kitu ambacho kinaweka usalama wa nchi mashakani.Naomba tufikirie tuweke u vyama pembeni tuone kama hili swala kama linaweza kuwa kweli kwa kutumia akili zetu tulizoletwa nazo duniani.
 
Ukawa watahongwa sana lakini kamwe nchi hii hawataitikisa kizembe kama wanavyodhani wao laana ya shetani itawashukia.
 
Back
Top Bottom