UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

Hao wajerumani wanafaidi nini?
Mkuu, hilo ni swali muhimu sana. Ila kifupi ni kwamba, Ujerumani wanatamani sana wawe na ushawishi kwenye siasa za Tanzania. Ndani ya CCM inakuwa ngumu wao kujipenyeza. Kwa hali hiyo, wanawekeza kwenye vyama vya upinzani ili vifikie hatua ya kutwaa madaraka. Hiyo hawafanyi Tanzania tu bali nchi zote za Afrika
 
Kama Wajerumanj wanatusaidia kupata Katiba ya Wabanchi na si ya CCM, tunapaswa kuwashukuru sana. Mungu awazidishie
 
shda iko wapi kama inchi yako tu inapewa mihela mingi toka inchi mbalimbali kama vile china marekani ujeruman nk
Shida ni kwamba mihela hiyo wanayopewa UKAWA inatumika kuvuruga mchakato wa katiba nchini na pia inavuruga amani
 
Mkuu Lizaboni nadhani ni chombo cha habari na si vyombo vya habari maana nahisi hata gazeti letu la chama Uhuru, habari hiyo hamna.
Mkuu, yapo magazeti kadhaa yameripoti habari hiyo. Nitaweka humu nikipata hakika yake
 
Kazi ilishaisha mkileta ujinga katiba ya zamani ndiyo itakayotumika tena bila maboresho yoyote.

Unajidanganya bure kudhani nchi hii ni mali ya magamba,subirini dawa iwaingie vizuri ndo mtakapopata akili baada ya sembe kuwavuruga
 
Ninapoangalia propaganda za kizamani kama hizi nashindwa kujua tatizo huko ccm ni vijana sna wazee. Kama ni wazee mbona vijana hawawakanyi wazee wao kwamba hizi propaganda ni za kizee. Hii haina tofauti na zile propaganda enzi za mwanzo wa vyama vingi kuonyesha sinema za vita huku wakisema wapinzani wataleta vita. Na ile nyingine ya kipuuzi kule igunga kuchoma banda likateketea lakini ikaokotwa karatasi inayoonyesha imeandikwa na cdm! Nadhani tatizo kubwa ni kwa vijana kwani nao wanawaza kama wazee wao vinginevyo wangewaambia wazee siku ni zama za digital watu wanauelewa mpana.
 
Akili yako yote iko kwenye viroba

bla-bla-emoticon.gif
bla-bla-emoticon.gif
bla-bla-emoticon.gif
bla-bla-emoticon.gif
bla-bla-emoticon.gif
bla-bla-emoticon.gif
 
Wewe unavyofikiri kwa ukawa walivyodinda, serikali kupitia usalama wa Taifa wangekubali hiko kitu ambacho kinaweka usalama wa nchi mashakani.Naomba tufikirie tuweke u vyama pembeni tuone kama hili swala kama linaweza kuwa kweli kwa kutumia akili zetu tulizoletwa nazo duniani.

Mkuu kwa hiyo wewe kwa akili zako ulizoletwa nazo duniani unawaamini UKAWA wako peke yao?
 
Mkuu, hilo ni swali muhimu sana. Ila kifupi ni kwamba, Ujerumani wanatamani sana wawe na ushawishi kwenye siasa za Tanzania. Ndani ya CCM inakuwa ngumu wao kujipenyeza. Kwa hali hiyo, wanawekeza kwenye vyama vya upinzani ili vifikie hatua ya kutwaa madaraka. Hiyo hawafanyi Tanzania tu bali nchi zote za Afrika
Ni kweli mkuu halafu waafrika watu wa ajabu sana sijui wataacha lini kutumiwa na wazungu wenzetu libwa wamechonganishwa na wazungu sasa hali si shwari tena wanachapana kila kukicha.
 
Kwani Tanzania ndiyo iliyosema ujinga huo? Ujinga usemwe na CCM na mawakala wake wewe unaisingizia Tanzania? Kwa taarifa yako chama chenu sio nchi bali ni kundi la watu wanaoiangamiza nchi.

MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA...
Katuni+July+30.jpg
 
madai hao yametolewa na kundi la tanzania kwanza

- wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko uholanzi kuingia nchini.

- inasemekana pesa hizo zinaingia kweneye akaunti za katibu mkuu wa chadema, wilbroad slaa, mwenyekiti wa cuf, ibrahim harouna lipumba na mwenyekiti wa chadema, freeman aikaeli mbowe.

Source: Jambo leo
habari za kijinga kwa watu wajinga...magazeti kama jambo leo,tazama hazihaminiki na wanaandika uzushi tu zenye lengo la kunufaisha kundi.na hii ni dalili ya kutapatapa
 
Sasa umedhihirisha kweli wewe mtu viroba, watu tunataka kulinusu taifa kutoka kwa vibaraka wa wazungu wanaojiita UKAWA wewe unaleta bla bla zako. Inaonekana hauko serious wewe
 
Unajidanganya bure kudhani nchi hii ni mali ya magamba,subirini dawa iwaingie vizuri ndo mtakapopata akili baada ya sembe kuwavuruga

ULAFI NI MBAYA SANA..KAMWE ALIYESHIBA HAMKUMBUKI MWENYE NJAAA..
Katuni+Nov+3.jpg
 
Ninapoangalia propaganda za kizamani kama hizi nashindwa kujua tatizo huko ccm ni vijana sna wazee. Kama ni wazee mbona vijana hawawakanyi wazee wao kwamba hizi propaganda ni za kizee. Hii haina tofauti na zile propaganda enzi za mwanzo wa vyama vingi kuonyesha sinema za vita huku wakisema wapinzani wataleta vita. Na ile nyingine ya kipuuzi kule igunga kuchoma banda likateketea lakini ikaokotwa karatasi inayoonyesha imeandikwa na cdm! Nadhani tatizo kubwa ni kwa vijana kwani nao wanawaza kama wazee wao vinginevyo wangewaambia wazee siku ni zama za digital watu wanauelewa mpana.
Sasa wewe kitasa hapa ccm wameingiaje hoja iliyopo hapa ni ukawa kuhongwa na wajerumani tarifa hii iko kwenye vyomno vingi vya habari sijui ukawa wanaingiaje sasa.
 
Linamilikiwa na nani siyo issue, issue ni limeandika habari gani muhimu. Hii taarifa imenigusa sana nimeona nitangulize uzalendo mbele. Kumbe kelele zote za UKAWA kuna weupe wako nyuma yao, hili haliwezi kuvumilika kabisa

Ooooooooh kweli wewe ni debe tupu, umejipambanua kabisa kuwa uwezo wako wa kupambanua mambo haya ni mdogo sana aiseee!!!!.
 
Back
Top Bottom