UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

ishu za magazeti ya udaku ziombwe msamaha na tz??....

Ufadhili wa nje watataka rais atoke dispora nyinyi furahieni misaada kama hiyo.watanzania hivi kwa nini hatutaki kujifunza yaliyotoke afrika ya kaskazini.?
 
Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza

- Wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini Ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko Uholanzi kuingia nchini.

- Inasemekana pesa hizo zinaingia kweneye akaunti za Katibu mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Harouna Lipumba na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe.

Source: Jambo Leo

hv jambo leo anamiliki ms.enge gani?
 
Mimi nashindwa kuelewa,CCM ndo yenye Serikali,kwa nini isichukue hatua kama ni kweli?.Je,hawaoni kama ni kuonyesha kwamba serikali wanayoiongoza imeshindwa kutekeleza wajibu wake kama katiba inavyosema?!.Nawashauri ndugu zangu CCM,tafakarini kwanza athari za tamko mnalotaka kutoa kwa umma,kwa sababu mnaongeza chuki,na kutokueleweka zaidi.
Kuripotiwa kwenye vyombo vya havri ni hatua moja na kuchukua hatua za kisheria ni hatua nyingine tafakari uone kuwa ni hatua kwa hatua.
 
Mimi nashindwa kuelewa,CCM ndo yenye Serikali,kwa nini isichukue hatua kama ni kweli?.Je,hawaoni kama ni kuonyesha kwamba serikali wanayoiongoza imeshindwa kutekeleza wajibu wake kama katiba inavyosema?!.Nawashauri ndugu zangu CCM,tafakarini kwanza athari za tamko mnalotaka kutoa kwa umma,kwa sababu mnaongeza chuki,na kutokueleweka zaidi.

Unajua chama kwa sasa imejaa washabiki (wachumia tumbo ) wengi na si makada, mtu analeta habari anafurahia kumbe anaivua nguo serikali inayoongozwa na chama kuonekana haitendi kazi yake ipasavyo.
 
Madai hao yametolewa na Kundi la Tanzania Kwanza

- Wamesema mabilioni hayo yanatoka katika taasisi mojawapo nchini Ujerumani na zinapitia akaunti iiyoko Uholanzi kuingia nchini.

- Inasemekana pesa hizo zinaingia kweneye akaunti za Katibu mkuu wa CHADEMA, Wilbroad Slaa, Mwenyekiti wa CUF, Ibrahim Harouna Lipumba na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe.

Source: Jambo Leo


Hivi jambo leo ni gazeti?, au ni kituo cha propaganda za ccm?,
Nchi hii tunavyombo vya usalama vizuri kwelikweli washindwe kubaini akaunti za uholanzi,na hapa nchini?
BOT kwa mujibu wa kanuni za kimataifa,fedha yeyote inayoingia nchini inataratibu zake,wao washindwe kuzijua, jambo leo wajue?
Haya,tuwekee hapa vielelezo ambavyo ikiwemo akaunti hizo na kiasi cha fedha hizo zilizoingia
Mwisho jambo leo waende mahakamani wakaweke vielelezo.jifunzeni propaganda si hizi zinazotishia uhai wa TISs na jeshi la polisi ambalo ndio kazi yake
 
Hivi jambo leo ni gazeti?, au ni kituo cha propaganda za ccm?,
Nchi hii tunavyombo vya usalama vizuri kwelikweli washindwe kubaini akaunti za uholanzi,na hapa nchini?
BOT kwa mujibu wa kanuni za kimataifa,fedha yeyote inayoingia nchini inataratibu zake,wao washindwe kuzijua, jambo leo wajue?
Haya,tuwekee hapa vielelezo ambavyo ikiwemo akaunti hizo na kiasi cha fedha hizo zilizoingia
Mwisho jambo leo waende mahakamani wakaweke vielelezo.jifunzeni propaganda si hizi zinazotishia uhai wa TISs na jeshi la polisi ambalo ndio kazi yake

Mmiliki wake ni yule jamaa aliyemsindikiza masogange na lile begi lililojaa kemikali za bilioni 6.
 
Ndio maana serikali ilimkataa yule balozi jasusi mwanamke aliependekezwa na serikali ya ujerumani aje nchini.
 
CCM ni kama watoto wanaojipikilisha,at the time wanataka suluhu na UKAWA,na matusi juu!ivi kuna matusi mageni zaidi ya yale mliotukana wakati sura ya 1 na 6 zinajadiliwa?
 
ufadhili wa nje watataka rais atoke dispora nyinyi furahieni misaada kama hiyo.watanzania hivi kwa nini hatutaki kujifunza yaliyotoke afrika ya kaskazini.?

unajua serikali tz inategemea ufadhili wa nje(misaada) asilimia ngapi katika bajeti yake???
Ndio ujiulize ulimrefer nani hapo kwenye red...
 
Hamchelewi kuwafafanya rais na mawaziri wenu kuomba msamaha,kwa habari zenu za kipuuzi kama hivi
 
Serikali haijawahi kuomba msaada Ujerumani. Ni wahuni tu wale
Songoro, Songoro Songoro, uwe na kumbukumbu kabla haujaandika!!!!! vinginevyo tutakuona unafanya mambo kishabiki, hapa JF hutakiwi kufanya mambo kishabiki, hebu kumbuka basi.

Unaikumbuka ile ziara ya Wabunge wa Ujerumani na maswali yao kuhusu misaada balimbali waliyoitoa kwa Tanzania? ikiwa n i pamoja na kwanini hampigi hatua za kimaendeleo wakati mmepokea fedha nyingi sana za msaada kutoka Ujerumani ambazo zingekuwa zimebadili maisha ya Watanzania? Je, unakumbuka majibu ya Mhe.Membe? TAFAKARI ACHA USHABIKI
 
shda iko wapi kama inchi yako tu inapewa mihela mingi toka inchi mbalimbali kama vile china marekani ujeruman nk
 
Songoro, Songoro Songoro, uwe na kumbukumbu kabla haujaandika!!!!! vinginevyo tutakuona unafanya mambo kishabiki, hapa JF hutakiwi kufanya mambo kishabiki, hebu kumbuka basi.

Unaikumbuka ile ziara ya Wabunge wa Ujerumani na maswali yao kuhusu misaada balimbali waliyoitoa kwa Tanzania? ikiwa n i pamoja na kwanini hampigi hatua za kimaendeleo wakati mmepokea fedha nyingi sana za msaada kutoka Ujerumani ambazo zingekuwa zimebadili maisha ya Watanzania? Je, unakumbuka majibu ya Mhe.Membe? TAFAKARI ACHA USHABIKI

Kashasahau huyo.
 
Back
Top Bottom