UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

UKAWA wapokea mabilioni ya pesa kutoka Ujerumani kuvuruga mchakato wa Katiba

Ujeruma wanafadhiri kikwete nae anataka aanzishe mazungumzo nao tena. Kweli ukawa itawapa mimba mwaka huu
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    43 KB · Views: 54
Unajidanganya bure kudhani nchi hii ni mali ya magamba,subirini dawa iwaingie vizuri ndo mtakapopata akili baada ya sembe kuwavuruga

Mlishazoeleka nyie UKAWA(zamani CHADEMA) kelele zenu za tulia dawa ikuingie hazitazuia Katiba kuandikwa
 
Ooooooooh kweli wewe ni debe tupu, umejipambanua kabisa kuwa uwezo wako wa kupambanua mambo haya ni mdogo sana aiseee!!!!.
Sasa wewe unajua nini au kuhongwa na wajerumani ndiyo ujanja watu wengine hasara kabisa kwenye taifa hili pole sana bavicha.
 
ULAFI HUZUZUA AKILI NA KUSAHAU UTU WA MWANADAMU...HAKIKA LAANA HII ITAKUWA JUU YA VIZAZI VYENU...
katuni.jpg
 
Afadhali Ukawa wanakula hela za Wajerumani ambao ni matajiri Kuliko ccm au tanzania kwanza ambao wanakula hela za watanzania maskini huko bungeni,huku wakitunga katiba ya ccm.
Kama mahela ya wajerumani yanaweza kusaidia kuzuia utungwaji wa katiba ya ccm huko BMK,basi mimi naunga mkono asilimia mia mahela hayo yaendelee kuwafikia Ukawa.
 
Ujeruma wanafadhiri kikwete nae anataka aanzishe mazungumzo nao tena. Kweli ukawa itawapa mimba mwaka huu
Rudi kwenye maada kwa nini mnahongwa kuvuruga nchi yetu nyie vibaraka weusi msiojitambua?
 
Ujeruma wanafadhiri kikwete nae anataka aanzishe mazungumzo nao tena. Kweli ukawa itawapa mimba mwaka huu

Inamaanisha Taasisi ya Othman Rashid haifanyi kazi ipasavyo mpaka kumuachia Rais afanye mazungumzo na wahujumu nchi (UKAWA)
 
Ni mambo yanayo kela japo hatuwezi kufanana kwa kufikiri ila si kupita kiasi mpaka hapa tulipo…!!!! Ni ujinga wa hali ya juu kuamini utumbo kama wakati kuamini UKAWA inavuruga mchakato wa katiba alafu ukakatetea CCM ndio inaenda sawa, hata ukawa unatumiwa kupost habar na kupigiwa hesabu yako umepost hbr ngap kwa siku then upate chako ila si kwa kuamini UKAWA wanavuruga mchakato wa katiba wakati wanaovuruga mwenyew unawajua.
 
Kazi ilishaisha mkileta ujinga katiba ya zamani ndiyo itakayotumika tena bila maboresho yoyote.
Housejizo...kama ilishaisha why wasting you times kwenye bunge la katiba si msaini tu hela kwa siku zilizobakia mkashibe na ndugu zenu kama mlivyozoea? nothing is new kwa watanzania jinsi mnavyotunyonya....everything has its beginning, so is its end!
 
Ujeruma wanafadhiri kikwete nae anataka aanzishe mazungumzo nao tena. Kweli ukawa itawapa mimba mwaka huu

Kwani upuuzi wa UKAWA unamnyima Jk usingizi? hata wakiwachukua wazungu wao wakaenda nao ikulu kwenye mazungumzo, JK atawapokea tu, ila anajua ni wapuuzi tu.
 
Jambo leo ni gazeti la udaku wa siasa wala huwezi kuliamini hata kama ni ukweli.

Je,CCM nao wanapokea wapi pesa au wao ni kwa kupitia kumnyonya Mtanzania?

Wao wanazoa ESCROW, EPA,MELEMETA,VIWANJA VYA MPIRA,NA MAJENGO YALIYOJENGA na wananchi wote.
 
Sasa umedhihirisha kweli wewe mtu viroba, watu tunataka kulinusu taifa kutoka kwa vibaraka wa wazungu wanaojiita UKAWA wewe unaleta bla bla zako. Inaonekana hauko serious wewe

TUMIA UBONGO KUFIKIRI NA SI MASABURI....
statoil_tanzania_cartoon.jpg
CIMG6289.JPG

TUME+YA+HAKI+ZA+BINADAMU+NA+UTAWALA+BORA+YAPOKEA+MSAADA+WA+MAKTABA+YA+ELEKTRONIKI_page4_image1.jpg

images

madini.jpg
 
Jamaa wajinga sana kwani wao wanadhani siyo watanzania au kwa sababu wamejenga nyumba dubai na kwingineko mambo yakichafuka watakimbilia dubai hawanaakili kabisa.

Wenye kufaa kulaaniwa na kuhukumiwa kwa matendo yao ni watawala wa CCM wanaofurahia maisha ya taabu na dhiki kwa watanzania na wanaoharibu maisha ya baadaye ya watoto wa taifa hili kwa kuwanyima kwa makusudi elimu na maisha stahili.

Wanafunzi wanaoonekana kwenye picha ni kutoka shule moja a msingi jijini Dar Es Salaam, jaribu kufikir hali huko mikoani ikoje kama DSM ndiyo hali kama hiyo.
 

Attachments

  • Wanafunzi - Shule ya Msingi Tandale Dsm.jpg
    Wanafunzi - Shule ya Msingi Tandale Dsm.jpg
    242.2 KB · Views: 48
  • Wanafunzi - Shule ya Msingi Tandale Dsm1.jpg
    Wanafunzi - Shule ya Msingi Tandale Dsm1.jpg
    225.8 KB · Views: 51
UPOFU WA UCHAMA HAUTATUFIKISHA POPOTE...
images
 
Back
Top Bottom