Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

mmh hadi mate yanajaa mdomoni.
huyo ni mchafu period.mweleze tu ukweli kuwa unasumbuliwa na harufu yake mbaya hivyo ajisafishe.eboo!
 
nyie acheni kuponda ,mshaurini nini cha kufanya alaaaaaaaaaaaaaa . kijana jitaidi kumueleza huyo mpenzi wako ukweli ajitaidi kujisafisha aingize sana kidoke chake ndani ili atoe huo uchafuu ndo mapenzi kuelezana ukweliiii kijana.usifiche ugonjwa.
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii duh pole kaka natamani niongee naye mwenyewe apate darasa la usafi mwambie mpenzi wako ajaribu kuwa msafi katika mwili wake baada ya kuoga vizuri sehemu zake nyeti ajikaushe vizuri na umsaidie kununua rotion nzuri za kunukia taratibu na pefume
Gosh!
 

dada huko kuna ulinzi wake kwa asilia usisikilize mafunzo ya unyagoni eti kuingiza kidole huko...ongea na wataalamu watakwambia madhara mengi mnayaata wanawake siku hizi ni kutokana na doutche hiyo.kama unataka kuna vifaa maaaalum vya kusafishia huko but sio kidole.
 
anaweza kuwa na infection pia, amwone daktari na azidishe usafi.......
 
poleni nyote. cha msingi mtafute daktari mwende wote awape ushauri. pia kabla hamjaelekea sita kwa sita mshauri awe anaoga na kujikausha vizuri na pia kujifukiza au kupulzza perfume nzuri isiyo na harufu kali
 

pole sana bongemzito,huyo dada sio kwamba aogi vizuri kama wana jamvi wengine walivo jump into conclusion.atakuwa na matatizo kuna infection ambazo zikikutana na mchuzi tu harufu mbaya inaanza kutokea .mshauri mwende kwa daktari wa wanawake atapewa matibabu.
 

yaliyomo yamo
 
Mweleze ukweli kwan huyo c mpenz wako kama kweli unampenda bac msamin kwan kipendacho roho hula nyama mbichi ni hayo muheshimiwa
 
mhhh sikomnet hapa ..nisije nikakutana na maswali kwa mama gaude wangu
 
rosebella

Nimekusoma, ntajitahidi nimweleze ili tuweze kulipatia ufumbuzi ili tatizo..
 
Last edited by a moderator:
ehh jaman wewe chakununa usinifanyie ivo..ntakujibu
nipo mbali bwana ....lets mak t 2mrw ma dear mnunaji..
Kitu changu kipo?bla kitu jiandae kwa kinuno!!!!
tutakorofishana sasa hivi...........
 
Pole sana .....Tena usijaribu kabisa kwenda chumvini
 
Kwa hiyo hapa magriit thinkaz mnajadili miharufu ya vikojoleo vya watoto wakati wa michezo ya baba na mama? Siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…