We naye utakuwa ni Mnukaji. Full stop . Povu kubwa la OMOHali yangu ya mahusiano ni njema na yana Afya tele ,yanayonisibu ni mengi ila sio ya udhalilishaji kiasi cha kuona wanawake ndio sehemu ya matusi yenu,mwanamke asipokua mama yako basi aweza kuwa mpenzi wako,Dada yako, shangazi yako au hata rafiki yako! Sasa ikiwa kila anayekuja anakuja na neno kunuka jua humdharirishi yeye tu bali umewatusi hata hao ndugu zako!
hahaha jf ni nomaHajatukana ujumbe wake mkubwa hapo n wanaume kuwauliza baba zao wamewezaje kuish na na mama zenu mana nyie kila siku malalamiko ulizen mpate mwongozo
Kama ni hivyo utakuwa umeizoea hiyo harufuMm nishakutana nayo na hadi Leo napiga mzigo mbna siisikii tena,,,,,so jijibu mwenyewe panya wewe
Broh ile ukisha piga anajielewa tu usafi lazimaKama ni hivyo utakuwa umeizoea hiyo harufu
Kama unamalengo naye unamsaidia tukiwatenga hawa viumbe inakuwa siyo vizuri.Broh ile ukisha piga anajielewa tu usafi lazima
Kwani wewe hunuki!? Mbona harufu inachefua wengi humu?Mbona Kama Umepanic hivyo... Au Na Wewe Unanuka...
Mtoa Mada Keshaweka Angalizo ...
Na mamako nae au ulikua hujui?We naye utakuwa ni Mnukaji. Full stop . Povu kubwa la OMO
We unanuka Tu ishajulikana .. kazi Kusema Mama mama.. bora Ukafuata Ushauri Aliotoa Jamaa Wa Bacteria Na Fungal ukaanza Jitibu Mapema Kuliko Kutoka PovuNa mamako nae au ulikua hujui?
Msungo hana nafasi katika maisha yangu wala hunipi presha,muokoe mama yako ili wasungo wenzio pia waokoleweWe unanuka Tu ishajulikana .. kazi Kusema Mama mama.. bora Ukafuata Ushauri Aliotoa Jamaa Wa Bacteria Na Fungal ukaanza Jitibu Mapema Kuliko Kutoka Povu
sio kweliKutokusheik tendo la ndoA mara kwa mara huleta hiz tatizo uke unavunda
Kuwasha kivipsababu yaweza kuwa uchafu au magonjwa, au kutembea na watu tofauti tofauti, wapo pia wanaume wanaokuwa na harufu na sperm zao kuwasha, jambo la muhinmu kutunza via vya uzazi
Umaskini BwanaWadau Wa Jf Naomba Kujua Chanzo,kinga Na Tiba Kwa Pussy Inayotoa Harufu Kali?