Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake

Hv natumia mbinu gani kumwambia mtu kuwa ana smell bad? Hii kitu nimeshindwa kabisa
Hahahahaa nimechek ww cha kufanya mpe maneno matamu ya mahaba hata kama unamdanganya muweke karibu zaid kwa kumpet alafu baadae mtumie sms mwambie baby acha kutuchanganya wanaume wengi inapelekea k yako kunuka utaona next time haitanuka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Haaaaaahaaah
Umetishaaaaaa sana Mrembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…