Uke kutoa harufu kali(Vaginal Odor): Chanzo, dalili na tiba zake


Kama unamuona anajihisi vibaya vibaya basi kwa mwanamke atakuwa ameshafanya mbinu zote za kujiweka katika hali ya usafi lakini imeshindikana. Inawezakana kabisa huyo ana ugonjwa za zinaa. Usiogope kumuuliza kwani nawe unajiweka katika hatari ya kuambukizwa. Ongea naye taratibu muende hospitali mkapime wote pamoja. Pole.
 


kaka pole sana, kama unampenda nenda nae hospital amwone mhusika wa magonjwa ya kike haswa haswa marie stopes
 
tutakorofishana sasa hivi...........

wewe asi nilishakupeleka mariedo jaman....
niaje ddddudddddddddddudddu ...misng u badly....wknd i bila kwenda rumba kwel stakuelewa...
 
OH POLE SANA, lazima atakua amepata maambukizi njia ya uzazi.anaweza kujisafi na bado hali ikaendelea.hebu mshauri atumie dawa za kusafisha mkojo full doze,na hali ikiwa bado amuone daktari. na pia kwa ushauri awe anavaa nguo za ndani kavu zisizo na unyevu na hata ikiwezekana za material ya pamba at the basic side.
 
Mimi ni daktari nitamsafisha vizuri kabisa, na kumuelekeza, mlete au mwambie aje kwangu. Hata nuka tena
 
Mimi ni daktari nitamsafisha vizuri kabisa, na kumuelekeza, mlete au mwambie aje kwangu. Hata nuka tena

:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 


Nimetapika.
 
Firstlady umeniacha hoi eti uwiiiiiiiiiiiiiiii,ni kweli kabisa ajisafishe tu unajua wanawake wengi wanadhani kuoga ni kuosha tu hapo juu mmmh ndani huko ndo kuoga jamani
 
Huo ni ugonjwa, nenda hospitali. Sio ugonja mkubwa kihivyo ila embarasment yake ni kubwa. Hata full dose ya flagly au ciproflaxin inaweza kufanya kazi, ila kwa ushauri zaidi mwambie aende hospitali
 
Watoto wameingiaje huku
Wewe nani kakufundisha mchezo huu mapema
Hiyo harufu ni safi inahamasisha mahisia
Subiri ukue duh
Umenikosha Thank You For This Useful Post:
Hiyo ndo mashine yenye uhalisia kunakitu umesahau je hakuna langi nyeupe kama mafuta ya siagi uliona??mlete kwangu ntakupa wakwangu wa mjini!
 

Mkuu vunja ukimya ongea naye na umshauri awaone wataalamu, hiyo wakati mwingine sio kwa sababu haoshi uchi, ni kama tu unavyo ona mtu anayenuka mdomo au makwapa sio kwasababu hapigi mswaki au haogi, ila kuna tatizo zaidi ambalo linahitaji wataalamu. Anaweza hata kwenda pharmacy na akapatiwa sabuni ya kujisafisha au maduka ya wachina kuna sabuni inaweza kumsaidia. Ila muhimu zaidi kuwaona wataalamu.
 
mh sipati picha ata ivyo unamoyo sana mana me cwezi yan hamu inakata hapo hapo
 

Hapo kwa nyekundu sasa!, mbona mwafanya mambo sivyo, mwatafuta mafungus mpaka kwenye magego!!!, utanuka mdomo hata upige mswaki wa mdaaa.......!!!!
 
Anza kumuogesha kabla ya kuingia kwenye tendo lenyewe..
 
ukome kuokota ngedere pori..na bado utakutana navyo sana mpk ukome!!!!!
Imenibidi nicheke tu!

Hivi ngedere mji wanajua kujisafisha!?

Ila pia inawezekana jamaa hajui harufu mbaya ni ipi na harufu ya uke ni ipi!!! Sina hakika sana kwani vikwapa vya uke vipo kama ilivyo kwa vikwapa vya kwapani, basi ni vema awe akitumia shabu anaweka kiasi kidogo sana katika maji na kujisafisha ili kufanya mazingira yawe safi. (tahadhari shabu asiiweke kavukavu ukeni) maana unaweza kumchochea shabu kwenye magazini mkazua jingine hatutakuwa na ushauri nalo hapa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…