Ukiacha Dar es Salaam, mikoa iliyobaki ujanja wao ni mchana tu, ikifika saa tatu usiku kila mtu yupo kwake

Ukiacha Dar es Salaam, mikoa iliyobaki ujanja wao ni mchana tu, ikifika saa tatu usiku kila mtu yupo kwake

Arusha ni issue nyingine kwenye kipengele cha pisi kali.
Wanawake wa Arusha ukiachana na uzuri ila wanajua sana kuvaaa.
Huwa wananiacha hoi, unakuta manzi imetupia jinsi yake, blauzi kisha koti la barid refu mpaka magotin vifungo wazi na chini kapachika travota..

Ahh wale watu huwa wananipotezea sana muda nikiendaga Arusha huwa napoteza sana muda pale maeneo ya posta asubuh wanashuka magar kuingia kwenye majukum yao.

Arusha hatar kabisaa.
Itikadi zao tu za usela na ugum ndio zinaniachaga sina hamu
 
Wanawake wa Arusha ukiachana na uzuri ila wanajua sana kuvaaa.
Huwa wananiacha hoi, unakuta manzi imetupia jinsi yake, blauzi kisha koti la barid refu mpaka magotin vifungonwaI na china kapachika travota..

Ahh wale watu huwa wananipotezea sana muda nikiendaga Arusha huwa napoteza sana muda pale maeneo ya posta asubuh wanashuka magar kuingia kwenye majukum yao.

Arusha hatar kabisaa.
Itikadi zao tu za usela na ugum ndio zinaniachaga sina hamu
Ni tourist destination hawawezi kuwa washambawashamba.
 
Dar raha sana. Uwe na hela usiwe na hela.

Chalamila mwenyewe amelielewa jiji anaanza kufanya mikesha ya kazi.

Dar mipango mingi, binafsi huwa napenda zile pilika za kariakoo na posta. Unaweza uziwa TV na mtu asiye hata na duka 😂.
 
1. Asilimia 85 ya wakazi wa Dar hawajawahi kufika hayo maeneo pichani. Au kama wamefika ni ile kupita njia.
2. Ukiona sehemu yoyote ambapo wakazi wake wengi wanalazimika kufanya kazi usiku kucha, ujue hiyo ni sehemu yenye maisha magumu sana! Binadamu ameumbwa kufanya kazi mchana na kupumzika usiku.
Tatizo umekaa sehemu moja kama mkundu, tafuta hela utembee
 
Wanawake wote wazuri hikimbilia dar na wengine huletwa na wanaume wa vijijini maisha yakiwashinda wanatuachia.

Yaani Dar kila mwanamke ni mzuri.

Harafu wote nyashi
Ni kweli kabisa wanawake wazuri hukimbilia dar. Ila ambacho unasahau ni kwamba kabla hawajakimbilia dar wanakua wapo huku mikoani! Ukiona mwanamke kakimbilia dar ujue huku tumeshamla sana kaona soko halilipi tena maana huku wazuri wanazaliwa kila siku!

Kiufupi hao wanawake wazuri mnaowasifia dar ni MAKAPI ambayo mikoani huku hakuna anaehangaika nayo! Wakifika dar kazi ni kupaka mikorogo na make up ili wawaibie washamba washamba wa hapo mjini nanyie mko hapa mnajisifia mna wanawake wazuri 😀

Ndio maana huwezi kuta malaya anakimbia dar kwenda kujiuza mikoani, malaya wote wanakimbia mkoani kuja kujiuza dar. Tafakari.
 
Tatizo umekaa sehemu moja kama mkundu, tafuta hela utembee
Kila nikija dar, nikienda sehemu za starehe nika post picha. Watu walioko dar ndio wanaongoza kuuliza "mwanangu upo wapi? Kiwanja gani hicho?" Hua nabaki kushangaa. Mimi tena ndio nianze kuwaelekeza kwamba hapa ni sehem fulani
 
Ni kweli kabisa wanawake wazuri hukimbilia dar. Ila ambacho unasahau ni kwamba kabla hawajakimbilia dar wanakua wapo huku mikoani! Ukiona mwanamke kakimbilia dar ujue huku tumeshamla sana kaona soko halilipi tena maana huku wazuri wanazaliwa kila siku!

Kiufupi hao wanawake wazuri mnaowasifia dar ni MAKAPI ambayo mikoani huku hakuna anaehangaika nayo! Wakifika dar kazi ni kupaka mikorogo na make up ili wawaibie washamba washamba wa hapo mjini nanyie mko hapa mnajisifia mna wanawake wazuri 😀

Ndio maana huwezi kuta malaya anakimbia dar kwenda kujiuza mikoani, malaya wote wanakimbia mkoani kuja kujiuza dar. Tafakari.
Kuna jamaa aba bar yake dar huwa anachukua wale makapi toka babati kuuza bar yake,yakifika dar watu wanaona ni malaika kumbe kwa babati ni reject
 
Arusha yenyewe ikifika saa 2 tu watu wamelala
Mtu mwenye uthubutu wa kulala saa mbili ni mtu ambae hana shida ndogondogo za kimaisha. We unaezurura huko nje kama popo ndio tukushangae. Huna kwako? Usiku ni muda wa kupumzika na kulala sio kuzurura mitaani kama mwehu 😄
 
so hayo maisha ya dar wewe unahisi ni mazuri ???

sikuwahi penda harakati za mji wenu huo ni utafutaji ulinileta hapo
 
Mtu mwenye uthubutu wa kulala saa mbili ni mtu ambae hana shida ndogondogo za kimaisha. We unaezurura huko nje kama popo ndio tukushangae. Huna kwako? Usiku ni muda wa kupumzika na kulala sio kuzurura mitaani kama mwehu 😄
fun fact watu wa dar wanahisi wanaishi maisha mazuri kuliko wote hii Tanzania 😅
 
Kuna jamaa aba bar yake dar huwa anachukua wale makapi toka babati kuuza bar yake,yakifika dar watu wanaona ni malaika kumbe kwa babati ni reject
Unajua kwa huku mkoani ukikuta binti hata ni bar maid au ni malaya, unamuona kabisa mtoto mbichi hajachoka. Demu hata ukiamka nae asubuhi bado anatazamika!!

Lakini dar kutana na bar maid yaani ni ameungua uso, kafubaa masikini, kachoooka yani ukimtoa hizo make up ni kama jini. Kinachowabeba ni make up na kuvaa nusu uchi ila wanawake wa dar wamechoka balaa..
 
Unajua kwa huku mkoani ukikuta binti hata ni bar maid au ni malaya, unamuona kabisa mtoto mbichi hajachoka. Demu hata ukiamka nae asubuhi bado anatazamika!!

Lakini dar kutana na bar maid yaani ni ameungua uso, kafubaa masikini, kachoooka yani ukimtoa hizo make up ni kama jini. Kinachowabeba ni make up na kuvaa nusu uchi ila wanawake wa dar wamechoka balaa..
Yameshatoa mimba nyingi sana ,hana tofauti na mama aliyezaa watoto kumi
 
Back
Top Bottom