Ukiacha sifa ya uchapakazi, bwana yule si wa tofauti sana na wengine

Ukiacha sifa ya uchapakazi, bwana yule si wa tofauti sana na wengine

Uuaji unaendelea mpaka leo, kiasi cha wanaharakati kumlaumu Spika wakisema kaupinga umuhimu wa bunge kujadili juu ya suala la watu kutekwa na kuuawa.
Spika ana matatizo binafsi sijui kwa vile kile cheo kapewa bure na mpaka anamaliza muda wake sidhani kama kuna siku ataruhusu mijadala yenye tija kwa taifa ijadiriwe kwenye bunge lake, ana mihemko mingi sana.
 
Spika ana matatizo binafsi sijui kwa vile kile cheo kapewa bure na mpaka anamaliza muda wake sidhani kama kuna siku ataruhusu mijadala yenye tija kwa taifa ijadiriwe kwenye bunge lake, ana mihemko mingi sana.
Haongozwi na mihemko ya huku mitaani anaongozwa na sheria. Ni suala nyeti naamini wabunge wenyewe walichemka katika kuliwasilisha bungeni.
 
Kwani hauendelei?
Ndio maana ya mimi kuamini hakuwa tofauti sana na wengine, yaliyofanyika wakati wake yaliwahi kufanyika huko nyuma kabla yake na yanaendelea kufanyika kwa namna ile ile baada yake.
 
Jamaa yenu had gone too soon wakati makuruta wake wa ujahili wakiwa ndiyo kwanza wamenogewa na nyama na damu za watu.Kazi ipo!
Miaka 59 sio too soon ni mingi kwa mwafrika aliyefanya kazi nyingi na ngumu za urais. Marais waislam hawapendi kujipa presha nyingi katika awamu zao, Wanapumzika na kula maisha huku kazi ikiendelea.

Hayati JPM alifanya sana kazi na alikuwa nadhani na upweke mkubwa katika maisha yake binafsi.
 
Jamaa yenu had gone too soon wakati makuruta wake wa ujahili wakiwa ndiyo kwanza wamenogewa na nyama na damu za watu.Kazi ipo!
Jamaa yetu? Sina ujamaa na yeyote hasa kwenye huu mjadala uliopo.
Unaweza kuelezea mambo ya utekaji yalianza lini? Mwenendo wake ukawaje Hadi hapa tulipo?
 
Miaka 59 sio too soon ni mingi kwa mwafrika aliyefanya kazi nyingi na ngumu za urais. Marais waislam hawapendi kujipa presha nyingi katika awamu zao, Wanapumzika na kula maisha huku kazi ikiendelea.

Hayati JPM alifanya sana kazi na alikuwa nadhani na upweke mkubwa katika maisha yake binafsi.
Siyo umri wake wa kuishi.Ni tangu aanze kufanya recruitment ya kuzalisha wauaji,muda mfupi akakata rufaa ya maisha akawaacha vimbwenerehi wake bado wana kiu ya damu za watu.
 
Kile kilikuwa kichwa kingine, kufutika itachukua miongo kadhaa🤔🤔, alichapa kazi kwa manufaa ya taifa
 
Mie nashindwa kuelewa inakuwaje unashindwa kupambania maendeleo kwa watu wako? Maana hata ujenge hosp, shule, masoko, miundombinu, huduma za maji utoe ajira fursa hazijawahi kuisha.

Mbona ni raha sana kuona umetatua shida na kuweka mazingira mazuri ya raia kupata vipato halali,, kuwa salama katika maisha yao.

Duniani tunapita, tujitahidi kuacha alama nzuri kwa jamii yetu.
 
Aliwachukia matajiri bila ya kufahamu kwa kina madhara mapana ya hiyo chuki, hakujua ni kwa namna gani tajiri mmoja mkubwa anavyogusa maisha ya kila siku ya maskini zaidi ya mia moja.

Alikuwa mtaalam wa kemia na hakuwa na ufahamu mpana wa masuala ya uchumi na hilo liliwatesa watu, mwanzoni bila ya yeye kufahamu juu ya suala hilo.
Akili huna wewe!

Matajiri wengi huchukua hata kile kidogo cha wananchi ili wajilimbikizie mali

Unasema tajiri anagusa maisha ya masikini kwenye lipi kwa mfano?
 
Mie nashindwa kuelewa inakuwaje unashindwa kupambania maendeleo kwa watu wako? Maana hata ujenge hosp, shule, masoko, miundombinu, huduma za maji utoe ajira fursa hazijawahi kuisha.

Mbona ni raha sana kuona umetatua shida na kuweka mazingira mazuri ya raia kupata vipato halali,, kuwa salama katika maisha yao.

Duniani tunapita, tujitahidi kuacha alama nzuri kwa jamii yetu.
 
Back
Top Bottom