Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Mkuu, wewe huna hiyo elimu ya kunipa mimi zaidi ya kutetea uovu wa maccm, huna kingineWewe unahitaji zaidi ya elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, wewe huna hiyo elimu ya kunipa mimi zaidi ya kutetea uovu wa maccm, huna kingineWewe unahitaji zaidi ya elimu
Sio hilo tu mkuu, hoja nyingi zinazoelekezwa kwa serikali utaona anavyokuja juu na kukasirika na yeye kuanza kuitetea serikali, ni spika wa ajabu.Haongozwi na mihemko ya huku mitaani anaongozwa na sheria. Ni suala nyeti naamini wabunge wenyewe walichemka katika kuliwasilisha bungeni.
Mambo mazito Sana hayaNilisoma mahali "Lengo la kuvuruga nakuahirisha mchakato wa katiba mpya lilikua ni kumuingiza ili afanye hayo yaliyofanyika"
Jpm hakua na roho mbayahivyo!kuhusu utekaji ilipangwa kutokea kama inavyotokea sasa!
Kifupi ni kwamba ukienda kinyume na Dola inavyotaka watafanya lolote Ili usikubalike kwenye jamii halafu ndio wacheze na wewe yaani wanatafuta uhalali wa kuku flash out of throne!!
NAAMINI LEO SAMIAH AKITANGAZA GHAFULA HATOGOMBEA NA UTEKAJI UTAISHA FASTER BIN VUU!!
NAWAZA KAMA JF MEMBER!
Kichaa sio lazima awe yule anaye vaa nguo kichwaniKwa nini unasema hivyo?
Kipi kinachokufanya useme hivyo?
Mwamba my foot!Huyu mwamba atakumbukwa sana.
Historia itamhukum katuachia mabalaaUtekaji ni jambo jema??
%100Matokeo ya uchaguzi wa 2020 yalionesha kuwa hakufaa kuwa rais.
AliyetekwaMfano nani??
S/gang sahauni basi jamani yalishaishaAliyetekwa
Hata saizi wanaotekwa wanatekwa na chadema?S/gang sahauni basi jamani yalishaisha
Kwahiyo unakubali kwamba, ushoga Pamoja na kuibiwa rasilimali zetu ni jambo jema?Utekaji ni jambo jema??
Sasa hivi hatutekwi?..Utekaji ni jambo jema??
Huyu dada ni msomi sana wa sheria, hivyo mara nyingi anayaelewa masuala kuliko hao wabunge. Unapokosea kanuni anayo haki ya kukurekebisha na ni kwa faida ya kwako na wabunge wenzako.Sio hilo tu mkuu, hoja nyingi zinazoelekezwa kwa serikali utaona anavyokuja juu na kukasirika na yeye kuanza kuitetea serikali, ni spika wa ajabu.
Huyo ni mwamba, japo siwezi kukuzuia kumchukia we mchukie tu bila kuchoka kila mtu ana anaamua atumie vp hisia zake.Mwamba my foot!