Ukiacha sifa ya uchapakazi, bwana yule si wa tofauti sana na wengine

Ukiacha sifa ya uchapakazi, bwana yule si wa tofauti sana na wengine

Akili huna wewe!

Matajiri wengi huchukua hata kile kidogo cha wananchi ili wajilimbikizie mali

Unasema tajiri anagusa maisha ya masikini kwenye lipi kwa mfano?
Unapotaka kumuumiza Manji humuumizi yeye kama yeye pekee, unaumiza waajiriwa wake wote na familia zao.

Uchumi huwa na zile effects zinazoshuka chini, unapodhani unamkomoa tajiri, yeye anapanda ndege na kwenda kuishi Canada au Dubai anawaachia msala wote wenye kufaidika na bidhaa zake.

Maamuzi magumu bila hekima huwa mzigo kwa watu.
 
Unapotaka kumuumiza Manji humuumizi yeye kama yeye pekee, unaumiza waajiriwa wake wote na familia zao.

Uchumi huwa na zile effects zinazoshuka chini, unapodhani unamkomoa tajiri, yeye anapanda ndege na kwenda kuishi Canada au Dubai anawaachia msala wote wenye kufaidika na bidhaa zake.

Maamuzi magumu bila hekima huwa mzigo kwa watu.
Sheria haipaswi kuwa na macho kuangalia huyu ni tajiri au maskini, kama mtu anauza unga ashughulikiwe kulingana na sheria bila kujali ana watu wangapi nyuma yake, iwe tajiri, mwanasiasa au kiongozi wa dini. Hao watu wake watapata nafasi sehemu nyingine.
 
Sheria haipaswi kuwa na macho kuangalia huyu ni tajiri au maskini, kama mtu anauza unga ashughulikiwe kulingana na sheria bila kujali ana watu wangapi nyuma yake, iwe tajiri, mwanasiasa au kiongozi wa dini. Hao watu wake watapata nafasi sehemu nyingine.
Sheria kuwepo kitu kimoja na sheria kuweza kutenda haki kwa wote ni kitu kingine tofauti kabisa.

Huwezi kuwa na chuki dhidi ya matajiri na ukaweza kufika mbali, utakwamia tu njiani.
 
Bwana yule alipingwa na kuandamwa hasa na daraja la juu(elites) la ndani na nje kwa pamoja kwa sababu hakuwa polished, alikuwa mtu blunt. Mawazo yake yawe mabaya au mazuri alikuwa akiyasema kwa namna ile ile tu bila kuremba, akikichukia alikuwa hajitahidi kuonyesha anakupenda, akikasirika au akiwa frustrated na jambo alikuwa anaonyesha wazi wazi hadharani, hakuwa mzuri kwenye mawasiliano ya umma, hakuzijua vizuri lugha zote mbili kuu muhimu za mawasiliano za watu wake. Alikuwa akionekana kama mshamba zaidi, tofauti na watoto wa mjini.

Jambo lingine la pili hakuwa na mawelewano mazuri na matajiri, alikuwa katika mapambano nao zaidi ,hakuwa rafiki wao wa kuaminika.

Ukiacha haya bwana yule hana tofauti sana na wengine. Waliyoyafanya au yanayofanyika hayana tofauti kubwa sana. Hakika historia itawahukumu vibaya wanaharakati uchwara na haitawasamehe kamwe.
Tofauti na wengine yeye alikuwa kichaa zaidi
 
Utekaji ni jambo jema??
Alikuwa kiongozi wa nchi si kiongozi wa watekaji na ndio maana akasema mtamkumbuka kwa mema yake, ajabu wewe bado unakumbuka TUHUMA za utekaji.
 
Aliwachukia matajiri bila ya kufahamu kwa kina madhara mapana ya hiyo chuki, hakujua ni kwa namna gani tajiri mmoja mkubwa anavyogusa maisha ya kila siku ya maskini zaidi ya mia moja.

Alikuwa mtaalam wa kemia na hakuwa na ufahamu mpana wa masuala ya uchumi na hilo liliwatesa watu, mwanzoni bila ya yeye kufahamu juu ya suala hilo.
Naungana nawe hapa
 
Kuna matajiri wakwepa kodi pia, madhalimu na wahujumu uchumi.
Mwisho wa siku akaanza kujivuta kwa Rostam.

Kwa mataifa smart baadhi ya moves zake asingefanya abadani
 
Dah jana kwa mara ya Kwanza nimepita mitaa ya Wam darajani usiku duh mataa ya kumwaga usiku, nikajisemea duh kumbe ndio maana siku hizi sisikii ajali hapa?.

Lile Daraja miaka yote hakuna aliyekuwa hata na wazo la kujenga bwana yule kapita pale katoa amri moja tu 3yrs daraja limejengwa.

Bwana yule katoa amri moja Leo hii kwenye gridi tuna zaidi ya 2000MW.
Pale Mwanza Busisi Daraja linaelekea kukamilika, Mwanza -Geita-Bukoba-Kampala nk watu wanateleza tu kilaini kabisa.
Bwana Yule katoa amri moja tu, Leo hii SGR iko Mwanza.

Bwana yule pamoja na mambo yake, ila hii nchi ilimhitaji sana kuliko hawa wengine.
Bwana yule mazuri yake kwenye majukumu yake ya kiongozi yalikuwa ya kipekee na ndio kinachofanya akumbukwe.
 
Ni suala la muda tu hata Lema na Lisu watamkubali tu
 
Maamuzi ya kushughulika na wadhalimu yanahitaji kuongozwa na busara za hali ya juu vinginevyo utaumiza wasiohusika pia.

Jazba na kiburi, na uviondoe kichwani mwako ikiwa unataka kufanikiwa katika suala la uongozi wa taifa lenye watu milioni 64.
Sahihi.

Wenzetu wana board maalum ya kushughulika na mambo haya wakiwemo senior ministers.
 
Akili huna wewe!

Matajiri wengi huchukua hata kile kidogo cha wananchi ili wajilimbikizie mali

Unasema tajiri anagusa maisha ya masikini kwenye lipi kwa mfano?
Wewe unahitaji zaidi ya elimu
 
Sheria haipaswi kuwa na macho kuangalia huyu ni tajiri au maskini, kama mtu anauza unga ashughulikiwe kulingana na sheria bila kujali ana watu wangapi nyuma yake, iwe tajiri, mwanasiasa au kiongozi wa dini. Hao watu wake watapata nafasi sehemu nyingine.
Magufuli alikuwa hatumii sheria alikuwa anatumia hisia hii ni mbaya sana pale hisia zinapogeuzwa sheria.
 
R. I. P Mwamba Dr. JPM
Jiwe lenye Doctorate ya kusotea, sio wale wengine
 
Alikuwa kiongozi wa nchi si kiongozi wa watekaji na ndio maana akasema mtamkumbuka kwa mema yake, ajabu wewe bado unakumbuka TUHUMA za utekaji.
Ni moja ya mambo ya kukumbukwa aliyoacha.
 
Back
Top Bottom