Ukiacha ya juzi haya aliyoyakoroga kwa kuropoka hovyo, Lisu is smart! The smartest Tanzanian Ever

Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.

Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
Naunga mkono hoja TL is smart, ila smartes Tanzanian lazima kuwe na terms of comperators, wakashindanishwa, TL akaibuka the smartest Tanzanian tena kwenye specific field, siasa, sheria, kuhutubia, kuongea etc, hawezi kuwa smartest Tanzanian kwenye kila kitu!, kuna majitu smart, yanafanya mambo makubwa kimya kimya ila hawajulikani.

Kitu ambacho Lissu amewashinda Watanzania wote and be ni bingwa wa dunia, Tundu Lissu is the most miraculous human being, or survivor who cheated death miraculousily by surviving the 38 bullets direct hits of which 16 hit him and yet, survived!.
P
 
Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.

Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
sure,
the gentleman ni mnafiki smart mno hasa kwa kusingizia wenzake uongo na kuombaomba kuchangiwa kana kwamba ni mtoto yatima asie jiweza,

kwenye hilo la kupiga mdomo namkubali sana πŸ’
 
Hii ni Knock out punch
 
Ho

Hongera angalau Kwa mbaaaali unaanza kurejea
Hapana,.katu sirudi nyuma. Nimelisema muda wote kuwa Lisu ni smart, mwanasiasa niliyempenda kuliko wote. hilo la juzi kuropoka, kuwakana wenzake, kuwananga wenzake.
.amenikata maini...
 
Ho

Hongera angalau Kwa mbaaaali unaanza kurejea
Hapana. Tafuta threads na responses zangu kwenye threads za wengine. Nilisema from time immemorial kuwa Lisu is smart, very smart upstairs in politics and other fields. Lakini ya juzi kuwakana wenzake,.kuropoka, kuwananga wenzake, kutoa siri za ndani za wenzake.
Hafai kabisa. Kesho na nyinyi atawaanika maana huko mnako kwenda naye tabia ni hiyo hiyo, atawageuka
 
Mbowe ameshakuharibu
 
Hayati JPM yupo zake futi sita akiburudika vioja vya chadomo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…