Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So mbowe , he deserve to be there ?Nilisema tangu mwanzo kuwa Lisu is smart, lakini kwa haya ya juzi kuropoka nikam delete katika watu niliowapenda (wanasiasa)
Naunga mkono hoja TL is smart, ila smartes Tanzanian lazima kuwe na terms of comperators, wakashindanishwa, TL akaibuka the smartest Tanzanian tena kwenye specific field, siasa, sheria, kuhutubia, kuongea etc, hawezi kuwa smartest Tanzanian kwenye kila kitu!, kuna majitu smart, yanafanya mambo makubwa kimya kimya ila hawajulikani.Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.
Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
sure,Huo ndio ukweli, ukweli usiopingika.
Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
Definitely, I am referring to his field (s) as correctly you have mentioned them, not Prof Janabi's field 😀 😀 😀 😀 😀hawezi kuwa smartest Tanzanian kwenye kila kitu!,
Hongera angalau Kwa mbaaaali unaanza kurejeaHuo ndio ukweli, ukweli usiopingika.
Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
Hii ni Knock out punchWala siyo 'the smartest Tanzanian ever', hizo sifa kampeni Mbowe, siyo Lisu, kwetu Lissu anaaminika, labda tuiweke hivyo ndiyo mtaelewa.
Tunaomuunga mkono hatumuabudu bali tunatambua uwezo wake katika nyakati zilizopo.
Strength na mapungufu yake vyote vinahitajika kama hasi na chanya zinavyohitajka katika kuwasha umeme ili kupata nishati.
Mfa maji huyoRetired ume retire kuwa Pro Mbowe? Kulikoni kusema haya?
Hapana,.katu sirudi nyuma. Nimelisema muda wote kuwa Lisu ni smart, mwanasiasa niliyempenda kuliko wote. hilo la juzi kuropoka, kuwakana wenzake, kuwananga wenzake.Ho
Hongera angalau Kwa mbaaaali unaanza kurejea
Hapana. Tafuta threads na responses zangu kwenye threads za wengine. Nilisema from time immemorial kuwa Lisu is smart, very smart upstairs in politics and other fields. Lakini ya juzi kuwakana wenzake,.kuropoka, kuwananga wenzake, kutoa siri za ndani za wenzake.Ho
Hongera angalau Kwa mbaaaali unaanza kurejea
Mbowe ameshakuharibuHapana. Tafuta threads na responses zangu kwenye threads za wengine. Nilisema from time immemorial kuwa Lisu is smart, very smart upstairs in politics and other fields. Lakini ya juzi kuwakana wenzake,.kuropoka, kuwananga wenzake, kutoa siri za ndani za wenzake.
Hafai kabisa. Kesho na nyinyi atawaanika maana huko mnako kwenda naye tabia ni hiyo hiyo, atawageuka
Kama ulivyoharibiwa na LisuMbowe ameshakuharibu
Lisu haropoki ila hawezi kukaa na uchafuHuo ndio ukweli, ukweli usiopingika.
Tatizo ni kuwa Mgema akisifiwa, Tembo hulitia maji!
Mfuate umbusu😂😂😂😂😄😄😁😃🤣Hayati JPM yupo zake futi sita akiburudika vioja vya chadomo
Mfuate umbusu😂😂😂😂😄😄😁😃🤣
Wewe mfa Lisu, mimi mfa Maji.. is that correct?Mfa maji huyo