konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,696
- 8,763
Dar es salaam haijawahi kuwa na majira ya baridi kwa muda mrefu hivi. Biharamulo nimeona clip kuna hadi barafu inadondoka kitu ambacho hakijawahi kushuhudiwa. Ulaya wanateseka na joto.
Nadhani haya hayatokei kwa bahati mbaya bali kuna universal system ambayo wanasayansi hawajaigundua kama walivyoigundua solar system inayoleta majira ya mwaka au dunia kujizungusha kwenye muhimili wake kunakosababisha kuwepo kwa usiku na mchana.
Nadhani miaka michache ijayo africa tutaanza kushuhudia majira ya baridi kama ilivyo ulaya na Marekani na huenda huko Marekani na Ulaya wakawa na majira kama tuliyo nayo huku Afrika.
Nadhani huu mfumo ambao ushaanza kuleta baridi hii Afrika upo kwenye stages za mwanzo kabisa, nikimaanisha kwamba stages za mwanzo kwenye huu mzunguko huenda ikawa miongo 2 au 3 depending how long the system is. Maybe this is just the tip of the iceberg.
If the system let's say takes 22 centuries to complete that means the world has never experienced such a system hence there is no such a discovery as it has been for a Solar system.
Kwa hiyo hii baridi ya muda mrefu tunayoiona Dar na barafu kudondoka huko Biharamulo ndio mwanzo wa majira ya huu mfumo ambao dunia haijawahi kuushuhudia. Tutegemee miaka ijayo Africa itakuwa na majira kama ya Ulaya na Ulaya itakuwa na majira kama ya Africa.
Nadhani haya hayatokei kwa bahati mbaya bali kuna universal system ambayo wanasayansi hawajaigundua kama walivyoigundua solar system inayoleta majira ya mwaka au dunia kujizungusha kwenye muhimili wake kunakosababisha kuwepo kwa usiku na mchana.
Nadhani miaka michache ijayo africa tutaanza kushuhudia majira ya baridi kama ilivyo ulaya na Marekani na huenda huko Marekani na Ulaya wakawa na majira kama tuliyo nayo huku Afrika.
Nadhani huu mfumo ambao ushaanza kuleta baridi hii Afrika upo kwenye stages za mwanzo kabisa, nikimaanisha kwamba stages za mwanzo kwenye huu mzunguko huenda ikawa miongo 2 au 3 depending how long the system is. Maybe this is just the tip of the iceberg.
If the system let's say takes 22 centuries to complete that means the world has never experienced such a system hence there is no such a discovery as it has been for a Solar system.
Kwa hiyo hii baridi ya muda mrefu tunayoiona Dar na barafu kudondoka huko Biharamulo ndio mwanzo wa majira ya huu mfumo ambao dunia haijawahi kuushuhudia. Tutegemee miaka ijayo Africa itakuwa na majira kama ya Ulaya na Ulaya itakuwa na majira kama ya Africa.