Ukiachana na dunia kulizunguka jua na kujizungusha kwenye muhimili wake nadhani kuna mzunguko mwingine ambao wanasayansi hawajaugundua

Ukiachana na dunia kulizunguka jua na kujizungusha kwenye muhimili wake nadhani kuna mzunguko mwingine ambao wanasayansi hawajaugundua

Mkuu ushahidi unataka uuonaje? Usiku na mchana huuoni? Majira ya masika na kiangazi huyaoni mkuu? Huo ndio ushahidi mkuu.
Mkuu huu ushahidi unaacha maswali mengi kwa sababu wanaoamini jua ndo linazunguka dunia pia wanatumia hoja hii hii.

Kwa hivyo hata dhana ya jua kuzunguka dunia pia tunaweza kupata usiku na mchana.

Kwa hiyo hii hoja inatumika kwa pande zote mbili,kuna hoja ipi ambayo pengine tunaweza kusema inajadilika na upande mmoja tu mkuu ?

Lengo ni kujaza maarifa
 
Mkuu huu ushahidi unaacha maswali mengi kwa sababu wanaoamini jua ndo linazunguka dunia pia wanatumia hoja hii hii.

Kwa hivyo hata dhana ya jua kuzunguka dunia pia tunaweza kupata usiku na mchana.

Kwa hiyo hii hoja inatumika kwa pande zote mbili,kuna hoja ipi ambayo pengine tunaweza kusema inajadilika na upande mmoja tu mkuu ?

Lengo ni kujaza maarifa
Sawa mkuu. Tusubiri wajuvi waje watuelimishe.
 
Kabisa mkuu. Huenda kuna cycle ya karne 23 au 24 kukamilika. Sasa hivi ndio inaelekea kukamilisha mzunguko wake kwa hiyo hizi ndio dalili za mwanzo kuanza kuingia kwenye cycle mpya.
Nawaza waTz wengi ambavyo kipato chetu ni kidogo sijui tutawezaje kuafford masweta mazuri, skaf, buti n.k kujikinga na baridi la namna hyo! Kama hali ya hewa itakuwa hvyo kwa maeneo mengi hapa [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848].
 
Yaani siku hizi Dar ni kama Mufindi nyakati za mchana jua linakua hafifu au limefunikwa na mawingu na kaubaridi kakutosha
 
Mpaka sleo sijaonna tafiti ya kuniridhisha inayonishawishi kyamini eti dunia inazunguka kutoka sehemu moja kwenda sehemu ingine.

Na utandawazi huu wote bado siamini kwamba dunia inazunguka....
Ushahidi fanya jitihada utoke nje ya dunia uone inavyozunguka kama huwezi tuliza mshono tule dagaa na mlenda..!
 
Mkuu huu ushahidi unaacha maswali mengi kwa sababu wanaoamini jua ndo linazunguka dunia pia wanatumia hoja hii hii...
Mkuu so jua liwe linazunguka sayari zote..🤣🤣🤣
 
Mpaka sleo sijaonna tafiti ya kuniridhisha inayonishawishi kyamini eti dunia inazunguka kutoka sehemu moja kwenda sehemu ingine..,
Mimi sikusoma ila ntajaribu. Jua kuhama eneo la kutokea na kuzama kunathibitisha hilo. Jua kushindwa kuzama kabisa kwa baadhi ya nchi za ulaya kipindi cha joto kinanifanya niamini hilo.

Utofauti wa mwonekano wa jua kwa kila nchi linathibitisha pia na utofauti wa urefu wa usiku na mchana na usiku kulingana na umbali kutoka ikweta pia inathibitisha
 
kuna kitu ki-science kinajulikana kama ' magnetic reversals' ambapo dunia kama dunia huwa inabadilishaa 'magnetic polarities' zake kila baada ya miaka 5000, yaani magnetic north pole inakuwa magnetic south pole and vice versa ( Geographical North /South poles zenyewe hazibadiliki) kila baada ya miaka 5000?

Na hii scenario iko proved kabisa scientifically. Sasa wakati inapokuwa wa mabadiliko haya ya ki 'magnetic' dunia inakumbwa na mabadiliko makubwa ya ki tabia nchi, hali ya hewa, volcanics, mitetemo, plate tectonics...……..
 
Mkuu so jua liwe linazunguka sayari zote..🤣🤣🤣
Yote yanawezekana kwa sababu jua linatoa mwanga pande zote za ulimwengu.

Hivyo popote itakapokuwa sayari itamulikwa na jua tu kwa sababu huo angani mwanga unasafiri katika mstari mnyoofu.
 
Dar es salaam haijawahi kuwa na majira ya baridi kwa muda mrefu hivi. Biharamulo nimeona clip kuna hadi barafu inadondoka kitu ambacho hakijawahi kushuhudiwa. Ulaya wanateseka na joto...
Sasa hapo Dar Kuna baridi gani nawewe, njoo huku njombe
 
Wanajimu tunaona picha zao wakiwa ooter space sijawahi kuona dunia ikizunguka.

Lskini pia hata ukiwa kwenye ndege umeuacha uso wa dunia huwezi kuona dunia ikizunguka hata siku moja.
Try to find knowledge for yourself!. Sioni haja ya wao kutuficha ati dunia inazunguka so wanapata nini wakisema hivyo..? Mkuu hoja zako zibajibika ila tafuta maarifa just kwa kukupa mwanga ielewe space na gravity kama alivyoielezea Albert Einstein inajibu vitu vingi sana na vyengine vingi tu. Ukishindwa tafuta hela toka kwenye uso wa dunia iangalie utuletee na mrejesho.. hilo ndo jibu zuri zaidi alasivyo hapa tutaumana tu..😅
 
Jua kuhama eneo la kutokea na kuzama kunathibitisha hilo
Umeshasema jua linahama na sio dunia ndo inahama,maana yake tunakubaliana kwamba jua ndio linatembea

Haiwezekani ukubali jua linahama alafu ukatae kwamba jua hitembei,hapo tumeelewana kwamba jua ndo linatembea,ni ngumu kutumia kauli nyingine zaidi ya hii.
Jua kushindwa kuzama kabisa kwa baadhi ya nchi za ulaya kipindi cha joto kinanifanya niamini hilo.
Naomba ufafanue kivipi jus kushindwa kuzama baadhi ya Nchi uwe uwe ni uthibitisho wa kutembea kwa dunia na sio jua
Utofauti wa mwonekano wa jua kwa kila nchi linathibitisha pia na utofauti wa urefu wa usiku na mchana na usiku kulingana n
Hata gari ikiwa mbali na wewe utaiona ndogo,ikiwa inakuja inasogea utazidi kuiona kubwa.

Hivyo na jua nalo linatembea likiwa mbali na chi yako utaliona dogo au kubwa likiwa karibu,naona hoja hii inatumika na pande zote mbili.
utofauti wa urefu wa usiku na mchana na usiku kulingana na umbali kutoka ikweta pia inathibitisha
Kipi kinazuia kuwepo urefu wa usiku na mchana endapo jua ndo linazunguka dunia ?
 
Back
Top Bottom