Ukiachana na "Kazime Taa" Ni kauli gani nyingine ya ndio unayoijua?

Ukiachana na "Kazime Taa" Ni kauli gani nyingine ya ndio unayoijua?

Wakuu,

Kuna kauli nyingi za hawa warembo wetu wanazisema tukiwa katika harakati za kusaka tunda..

Ni kauli gani ukizisikia tu, unajua hapa tayari mambo yametiki?

Mimi;
  • Kazime Taa
  • Huyu hapa bodaboda muelekeze

Shusha nyingine unazozijua..
"...tusali kwanza..."

Ujue hapo upo na mwana kondoo
 
Siku moja nimempanga Manzi aje getho,,On the way manzi yupo kwenye daladala,,, nasikia meseji kwa simu yangu kama ifuatavyo:-

Manzi: Nipo ........... Hapa baby
Mimi: Sawa mama karibu sana.
Manzi: Mmmh..!! sijui Leo ntarudi salama Mimi,, ntarudi me nyumbani..
Mimi: Usijari mama upo sehemu salama na upo na mtu makini...
Manzi: Mmmh nisije nkarudi nachechemea jomoni..
Mimi: Urudi unachechemea kwani unakuja kucheza mieleka huku..?
Manzi: Mhh haya bhana..

Baada ya mda kidogo nasikia meseji tena..
Manzi: Nimefika baby uko wapi..?
Mimi: Napiga jicho stand mtoto huyoo amevamia maeneo, kumuona tu mkuyenge ukasimama, nikawa nanyata mdogomdgo ili mashine ipoe...
Duuuuh huu ujana kweli maji ya moto..!!!!
 
Sisi vijana wa kale, ilikuwa ukikaa na mrembo karibu na kamti hivi au yale maua kitenge (sijui kama yapo sasa)...akipurura majani karibia robo ya mti basi unajua hapa tayari...venue ilikuwa mapagalani au migombani huko!!!
 
Siku moja nimempanga Manzi aje getho,,On the way manzi yupo kwenye daladala,,, nasikia meseji kwa simu yangu kama ifuatavyo:-

Manzi: Nipo ........... Hapa baby
Mimi: Sawa mama karibu sana.
Manzi: Mmmh..!! sijui Leo ntarudi salama Mimi,, ntarudi me nyumbani..
Mimi: Usijari mama upo sehemu salama na upo na mtu makini...
Manzi: Mmmh nisije nkarudi nachechemea jomoni..
Mimi: Urudi unachechemea kwani unakuja kucheza mieleka huku..?
Manzi: Mhh haya bhana..

Baada ya mda kidogo nasikia meseji tena..
Manzi: Nimefika baby uko wapi..?
Mimi: Napiga jicho stand mtoto huyoo amevamia maeneo, kumuona tu mkuyenge ukasimama, nikawa nanyata mdogomdgo ili mashine ipoe...
Duuuuh huu ujana kweli maji ya moto..!!!!
Unaleta story tena wabongo shida sana...upo nje ya mada.
 
Sisi vijana wa kale, ilikuwa ukikaa na mrembo karibu na kamti hivi au yale maua kitenge (sijui kama yapo sasa)...akipurura majani karibia robo ya mti basi unajua hapa tayari...venue ilikuwa mapagalani au migombani huko!!!
Kwenye matuta
 
Nje ya mada kuna jamaa yangu mjinga sana
Kamlilia manzi kitambo kinomaaaa
Sasa juzi kati manzi kakubari kutimba geto
Mwanangu akavimba kununua mguu wa mbuzi na kachumbal tata na pilipili kwa mbalii
Ile anakatakata kwenda nao geto akaonana na mshikaji wake
Mshikaji si katamani nyamaa ....kamganda jamaa yangu hadi geto
Mida flani demu katia timu ndani
Ikabidi jamaa afungue foil ya nyama na mazaga
Jamaa yake akasema oyooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akalukia stik
Kwahyo hapo wapo mtu tatu jamaa yangu kachukia kinomaa kashidwa hadi kula
Kumchek jamaa yake ananyonya hadi mifupa
Anatupia mikachumbali ile freshiii[emoji23][emoji23][emoji23]

Nyama zikaisha
Akajua jamaa ataamsha maana alichokua anafuata ashakula

Jamaa akalukia kitandan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji28] akafunua tumbo afu uyooooooo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
1, Boda boda
huyu hapa muelekeze
2.niko hapa nje njoo imlipe boda boda
3.Nakuja ila sikai sana
4.Kwani wewe unaishi nanani?
5........
 
Back
Top Bottom