Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Uko sahihi.hawakuendelea ila walipokuja huku nakuona vitu tofauti na kwao wakaamua kuvitafiti.
Walipogundua vina faida ndipo wakaja kututawala lakini sisi hadi tuna malighafi nyingi lakini bado hatuvitumii kimaendeleo makubwa.
jivunie kuwa binadamu.Ni wewe tu ndo unajichukia kuwa mwafrika mimi unitoe kwenye hilo kundi nimeridhia na napambana na hali yangu
CCMHabari za humu wana JF.
Katika kupitia nyuzi mbalimbali humu jukwaani nimegundua watu wengi wamekuwa wakilalamika hususa kuzaliwa afrika na wengine wamefika mbali zaidi na kusema ngozi nyeusi imelaaniwa.
binafsi nakubaliana nao Kwa uafrika nina uchukia ila sio ngozi yeyote nyeusi imelaaniwa.
pia binafsi siamini chama kimoja kuongoza inchi
kwa muda mrefu ndiyo kunafanya maisha yawe magumu kwa sababu kuna taifa kama uingereza liliwahi kuongozwa na malkia kwa muda mrefu lakini uongozi haukukuteteleka na uchumi wao mkubwa had leo,taifa kama brunei sultan wao yupo madarakani tangia 1967 lakini hadi leo maisha mazuri na watu wanakula bata.
Ukiniambia Tanzania lina eneo kubwa na watu wengi ndiyo maana maisha magumu basi wewe huna akiri.
hii ardhi wanaoishi watu weusi inaonekana moja kwa moja kuna kitu hakipo sawa na hakitakuwa sawa kwa sababu ndiyo tulivyoumbwa.
ukiniuliza kitu gani chengine Nacho kichukia ni kuwa hadi leo nipo Tanzania.
sijui wewe mwana JF mwenzangu
yeah hata sisi wa huku tukibadilika mbona afrika nitaipendaUko sahihi.
Pointi ya msingi hapa ni je, kinachosababisha ujinga na uduni wa mtu ni rangi ya ngozi yake ama ni mazingira?
Jibu ni mazingira.
Baraka Obama na Benjamini Carson ni weusi, lakini kutokana na mazingira waliokulia, wanaheshimika duniani kote.
akiri zenu muda wote zinawaza ngono.Navopenda wadada black napata wapi ujasiri wa kuchukia uafrika wangu
Hata kama ni ww Kuna kitu gani cha kulinganisha na hicho Kwa utamu?akiri zenu muda wote zinawaza ngono.
Mkuu waafrica wote sisi ni Black wanaojiita white ni vile tu hawajui hii dhana ya ublack ipoje.Navopenda wadada black napata wapi ujasiri wa kuchukia uafrika wangu
Dhana ya "ublack" ipoje?Mkuu waafrica wote sisi ni Black wanaojiita white ni vile tu hawajui hii dhana ya ublack ipoje.
Hamia ulayaHabari za humu wana JF,
Katika kupitia nyuzi mbalimbali humu jukwaani nimegundua watu wengi wamekuwa wakilalamika hususa kuzaliwa afrika na wengine wamefika mbali zaidi na kusema ngozi nyeusi imelaaniwa. Binafsi nakubaliana nao Kwa uafrika nina uchukia ila sio ngozi yeyote nyeusi imelaaniwa.
Pia, binafsi siamini chama kimoja kuongoza nchi kwa muda mrefu ndiyo kunafanya maisha yawe magumu kwa sababu kuna taifa kama uingereza liliwahi kuongozwa na malkia kwa muda mrefu lakini uongozi haukukuteteleka na uchumi wao mkubwa had leo,taifa kama brunei Sultan wao yupo madarakani tangia 1967 lakini hadi leo maisha mazuri na watu wanakula bata.
Ukiniambia Tanzania lina eneo kubwa na watu wengi ndiyo maana maisha magumu basi wewe huna akiri.
Hii ardhi wanaoishi watu weusi inaonekana moja kwa moja kuna kitu hakipo sawa na hakitakuwa sawa kwa sababu ndiyo tulivyoumbwa.
Ukiniuliza kitu gani chengine Nacho kichukia ni kuwa hadi leo nipo Tanzania.
Sijui wewe mwana JF mwenzangu.
Sijawahi kujichukia kuwa mwafrika, napenda ngozi yangu na lifestyle nayoishi hapa TanzaniaHabari za humu wana JF,
Katika kupitia nyuzi mbalimbali humu jukwaani nimegundua watu wengi wamekuwa wakilalamika hususa kuzaliwa afrika na wengine wamefika mbali zaidi na kusema ngozi nyeusi imelaaniwa. Binafsi nakubaliana nao Kwa uafrika nina uchukia ila sio ngozi yeyote nyeusi imelaaniwa.
Pia, binafsi siamini chama kimoja kuongoza nchi kwa muda mrefu ndiyo kunafanya maisha yawe magumu kwa sababu kuna taifa kama uingereza liliwahi kuongozwa na malkia kwa muda mrefu lakini uongozi haukukuteteleka na uchumi wao mkubwa had leo,taifa kama brunei Sultan wao yupo madarakani tangia 1967 lakini hadi leo maisha mazuri na watu wanakula bata.
Ukiniambia Tanzania lina eneo kubwa na watu wengi ndiyo maana maisha magumu basi wewe huna akiri.
Hii ardhi wanaoishi watu weusi inaonekana moja kwa moja kuna kitu hakipo sawa na hakitakuwa sawa kwa sababu ndiyo tulivyoumbwa.
Ukiniuliza kitu gani chengine Nacho kichukia ni kuwa hadi leo nipo Tanzania.
Sijui wewe mwana JF mwenzangu.
Jitu lingine hili la hovyo kuwai kutokea Africa!!Habari za humu wana JF,
Katika kupitia nyuzi mbalimbali humu jukwaani nimegundua watu wengi wamekuwa wakilalamika hususa kuzaliwa afrika na wengine wamefika mbali zaidi na kusema ngozi nyeusi imelaaniwa. Binafsi nakubaliana nao Kwa uafrika nina uchukia ila sio ngozi yeyote nyeusi imelaaniwa.
Pia, binafsi siamini chama kimoja kuongoza nchi kwa muda mrefu ndiyo kunafanya maisha yawe magumu kwa sababu kuna taifa kama uingereza liliwahi kuongozwa na malkia kwa muda mrefu lakini uongozi haukukuteteleka na uchumi wao mkubwa had leo,taifa kama brunei Sultan wao yupo madarakani tangia 1967 lakini hadi leo maisha mazuri na watu wanakula bata.
Ukiniambia Tanzania lina eneo kubwa na watu wengi ndiyo maana maisha magumu basi wewe huna akiri.
Hii ardhi wanaoishi watu weusi inaonekana moja kwa moja kuna kitu hakipo sawa na hakitakuwa sawa kwa sababu ndiyo tulivyoumbwa.
Ukiniuliza kitu gani chengine Nacho kichukia ni kuwa hadi leo nipo Tanzania.
Sijui wewe mwana JF mwenzangu.