Ukiachana na Pesa, unahitaji nini sasa hivi?

Mshangazi mmoja hivi wa dasalamu...
Anichukue nije kukaa nae..

Nishapachoka dodoma..
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
ngoj nhamie dar kwajil ako πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ngoj nhamie dar kwajil ako πŸ˜‚πŸ˜‚
Whaoooooo fanya hivo...πŸ€—πŸ€—πŸ€—
Tena kimya kimya si unajua kuna wanga humu...
Kina locha sijui πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nataka mvua ziache kunyesha kwa mfululizo, na umeme uache kukatika katika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…